Ubena Zomozi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,608
- 1,286
hahahaaaaaSquats huwa wanaita Viroba...
Zoezi jepesi lilikuwa ni hili ... Hapo mmepiga pushups za kutosha mkisikia viroba position mnapumua kabisa
Kambi yetu sisi ilikuwa na shamba la mahindi kubwa wenyewe wanasema hili shamba mwisho ni upeo wa macho yako😃tulivuna mahindi week nzima hayaishi