- Thread starter
-
- #3,881
Naam, nimekuuliza sana jina "mtanashati" maana yake nini na limenzia wapi. Nikakuuliza elimu ya Antropolijia unaifahamu? Naona yote yamekushinda kujibu msomi wetu.Kumbe ninapoteza muda na mtu aliyeishia kidato cha nne.
Ndio maana basi..
Sasa ngoja form IV nikupe kidogo nikijuacho kwa ufupi kuhusu hayo mawili.
1) Antropolojia; Ni somo, sana linakua kl utafiti wa kujua chanzo cha maneno au tabia fulani au mchezo fulani. Nilikuuliza wewe kwa ajili ya hili neno "mtanashati".
Uzuri katika elimu ya Uislam ndio mabingwa wa antropolojia kwa sababu Uislam sio elimu butu, ni lazima kila neno kila tabia au mwenendo wa Kiislam ufahamike chanzo chake.
2) Mtanashati; Hili neno lilianzia huko Mvita (natumai unapafahamu) Kwa Kwa Kiswahili cha mvita hawawezi kusema mchana, wao husema "mtana" sasa unganisha "mchanashati" ujielezee kwaninni mpaka uwe 'mtanashati"?
Huu sisi tunauita uchokozi wa kielimu, kama mvita tungesema "utokozi wa kiilm".
Simba.