Yap iko hivyo unakuwa uko protected na hivyo viumbe. Kuhusu kutibia hapo it depends una tawaliwa na majini wa race ipi na wana itikadi ipi ya kiimani kama race yao ni weusi watataka utibie kwa mitishamba and if race yao ni wazungu waarabu or wachina watataka utibie kwa culture zao ,mfano ukiwa na majini ya kizungu ambayo yana fuata itikadi za kikristo wata kutaka uponye watu kwa kutumia neno la mungu Refer kina mwamposa and the likes it's the same pia endapo kama majini hayo yatakuwa na itikadi za kiislam yatakutaka utibie watu kwa kutumia mifumo ya kiislam 😆😆😆 Mambo ndio yapo hivyo lakini wachungaji na mashekhe hawasemi ukweli 😆😆😆 wanaponya watu kwa nguvu za majini na mizimu then wana brain wash watu kuwa ni kwajina la yesu au allahHeee kumbe!! Ndiomana wachawi wanapotaka kumdhuru mtu huyo huwa anaoteshwa au hadhuriki ama???
Au ndiomana wakimjia kumdhuru huweza kuhisi uwepo wao na anaweza pambana nao??
Hapo kwenye uwezo wa kutibia kivipi???
Cc Smart911
😅😅😅 Majini huwa wanaitwa wafalme cause wao ndio wanatawala watu na sio watu ndio hutawala majini
Vipi kuhusu ile hali ya unakuta mtu akiwa na hofu au wasiwasi na kitu fulani basi lazima hicho kitu kinatatokea na kitakua na effect mbaya na endapo huyo mtu hana wasiwasi wala hofu Hakuna kitu kubaya kitatokea kwake au kwa anaowahofia!Yap iko hivyo unakuwa uko protected na hivyo viumbe. Kuhusu kutibia hapo it depends una tawaliwa na majini wa race ipi na wana itikadi ipi ya kiimani kama race yao ni weusi watataka utibie kwa mitishamba and if race yao ni wazungu waarabu or wachina watataka utibie kwa culture zao ,mfano ukiwa na majini ya kizungu ambayo yana fuata itikadi za kikristo wata kutaka uponye watu kwa kutumia neno la mungu Refer kina mwamposa and the likes it's the same pia endapo kama majini hayo yatakuwa na itikadi za kiislam yatakutaka utibie watu kwa kutumia mifumo ya kiislam 😆😆😆 Mambo ndio yapo hivyo lakini wachungaji na mashekhe hawasemi ukweli 😆😆😆 wanaponya watu kwa nguvu za majini na mizimu then wana brain wash watu kuwa ni kwajina la yesu au allah
Sasa kama wewe wasema hivyo wakristo waseme nn?maana sijaona dini iliyosifiwa na jamaa kama uislam na Quran.Nyie ndio wale wafia dini na wagumu kujifunza,tulitakiwa tuchemke ni sisi wakristo ambapo Kuna sehemu kasema hata sio dini ya kweli.Ndugu yangu, naona ulikurupuka kaanze upya.
Uzi wako nmeufatila mwanzo mwisho siku taka comment chochote mpaka nione hitimisho lako kwa sasa huna jipya.
Umesema Mtume Muhammad(S.A.W) Haja tafsiri Qur-an zaidi ya Aya20 huu ni uwongo wa dhahiri kabisa mtume (s.a.w) ame wafundisha maswahaba zake qur an na kuwa tafsiria ni shie hapo hakuna Arsis ulitaka kuuchafuwa uislam na umeshindwa,
Hii dini Allah ndie anaeilinda.
Huyo ni tapeli tuNdugu yangu, naona ulikurupuka kaanze upya.
Uzi wako nmeufatila mwanzo mwisho siku taka comment chochote mpaka nione hitimisho lako kwa sasa huna jipya.
Umesema Mtume Muhammad(S.A.W) Haja tafsiri Qur-an zaidi ya Aya20 huu ni uwongo wa dhahiri kabisa mtume (s.a.w) ame wafundisha maswahaba zake qur an na kuwa tafsiria ni shie hapo hakuna Arsis ulitaka kuuchafuwa uislam na umeshindwa,
Hii dini Allah ndie anaeilinda.
Sheikh Njiwa uje tu utufahamishe kuhusu Qareen kwa uelewa wako, mana bahthi yangu ndogo tu nimekuta Qareen kaelezwa tofauti na wanazuoni tofauti...kama jini, shetani na malaika, pengine mzizi wa mjadala baina yenu ni jibu la swali hiliUmejitahidi lakini bahati mbaya unajichanganya sana na badot unahitaji elimu zaidi.
Ili kuendelea kuelimishana; Umeelewa maana ya Qareen na walivoielezea waliojibu wawili ulipokua bado hujaielewa? kutoka watafsiri wa Qur'an, wengne wamesema "Jini", wengine "Malaika", wengine "shetani". Au sivyo?
Wewe umeelewa vipi mpaka sasa kuhusu Qareen?
Simba.
Asalaam Alykum Simba , ni jumatatu iliyonjema Alhamdullilah Allah katuepusha na Dhahama ya maandamano kutoka kwa ndugu zetu wa Chadema, kwa hili nampa hongera sana amir jeshi mkuu mama samia suluhu hasani kwa kuimarisha ulinzi ...
Akhi hakuna swali ambalo sijajibu ... sema majibu yangu hayajakuridhisha and i can do nothing about that .. ndio Allah amekadiria uelewa wako ufikie hapo ..
Hamna hoja hapa, zaidi ni manneno tu It seems you're engaging in circumlocution, avoiding a clear and direct response. Let's approach the matter with straightforward clarity, shall we?"
Alhamdullilah Allah kaniepusha ni shirki za aina hiyo ,, kulala mapangoni, na ulozi ... simply nimesema mimi ni mwenyeji wa Tanga , wilaya ya Mkinga .. kijiji si mbali na mombasa ..na katika story yako hapo juu ilianza ukiwa maeneo ya hukohuko, nashangaa wanizulia mimi elimu yangu nachukulia mapangoni.. ila sishangai uzushi ni kitu cha kawaida kwa ahalul Bidaa..
Ittaqullah ewe Mja wa Allah , Toa elimu iliyosahihi kama aliyotoa Rasullah Allah kwa wanafunzi wake, na wanafubnzi wa wanafunzi wake katika zile karne tatu Bora usiopeteze Ummah wa kiislam katika Shirki akhi..
Asalaam Alykum Simba , ni jumatatu iliyonjema Alhamdullilah Allah katuepusha na Dhahama ya maandamano kutoka kwa ndugu zetu wa Chadema, kwa hili nampa hongera sana amir jeshi mkuu mama samia suluhu hasani kwa kuimarisha ulinzi ...
Akhi hakuna swali ambalo sijajibu ... sema majibu yangu hayajakuridhisha and i can do nothing about that .. ndio Allah amekadiria uelewa wako ufikie hapo ..
Hamna hoja hapa, zaidi ni manneno tu It seems you're engaging in circumlocution, avoiding a clear and direct response. Let's approach the matter with straightforward clarity, shall we?"
Alhamdullilah Allah kaniepusha ni shirki za aina hiyo ,, kulala mapangoni, na ulozi ... simply nimesema mimi ni mwenyeji wa Tanga , wilaya ya Mkinga .. kijiji si mbali na mombasa ..na katika story yako hapo juu ilianza ukiwa maeneo ya hukohuko, nashangaa wanizulia mimi elimu yangu nachukulia mapangoni.. ila sishangai uzushi ni kitu cha kawaida kwa ahalul Bidaa..
Ittaqullah ewe Mja wa Allah , Toa elimu iliyosahihi kama aliyotoa Rasullah Allah kwa wanafunzi wake, na wanafubnzi wa wanafunzi wake katika zile karne tatu Bora usiopeteze Ummah wa kiislam katika Shirki akhi..
Hio mitaani wanasema "mbwa kala mbwa".
Ukiisoma moja katika sura ndogo za Qur'an iitwayo An-Nas (Q 114:4) kwenye aya ya 4 inawataja hao kua ni "Al khannasi" مِن شَرِّ ٱلْوَسْوَاسِ ٱلْخَنَّاسِ ٤ Isome aya yote hio ni kinga kubwa ya wasiwasi, aya zake ni fupi tu, naamini hakuna Muislam aliesoma madrasa ambae hajaihifadhi. Ina aya 6 fupi fupi. Link hii hapa; An NasVipi kuhusu ile hali ya unakuta mtu akiwa na hofu au wasiwasi na kitu fulani basi lazima hicho kitu kinatatokea na kitakua na effect mbaya na endapo huyo mtu hana wasiwasi wala hofu Hakuna kitu kubaya kitatokea kwake au kwa anaowahofia!
Hio hali inatokana nanini?? Na ni kwanini??
Cc Smart911
In shaa Allah tutajitahidi tulete zaidi na zaidi.Nimeona comment nyingi kuhusu hili swali ''JE UISLAMU UNARUHUSU KUSHIRIKIANA NA MAJINI ? Na hiki ndio watu wengi wanatamani kujua, Lakini ukiangalia kitaalamu swali hili linaleta swali lingine ambalo ni 'USHIRIKIANO UPI?, WA KHERI AU WA SHARI?
Vyovyote itakavyokuwa swali la msingi linabaki Je uislamu unaruhusu kushirikiana na majini?, Hapa ni pagumu kidogo hasa katika nyakati hizi ambazo elimu imechezewa sana kila mtu atasema lake lakini Binafsi nashauri kwamba embu tuwe na subra, Kwanza tuwafahmu hao majini ni viumbe gani tukishawajua ndio tuje sasa je yafaa kushirikiana nao?.
Hivyo bwana Arsis nakuomba uendelee na kisa cha adamu kwa angalau episode 3 kwa siku maana umesema katika kisa hiko tutawafahamu majini ni viumbe gani. uzuri katika kisa hicho anatembea na aya za quran hivyo natumai tutapata jibu tu.
Ili tusije sema haifai kumbe tunashirikiana nao kila siku ila sisi ndio hatujui kuwa tunashirikiana nao au tuseme yafaa kumbe haifai mwisho tukawa wenye hasara.
Narudia, Tuwe na Subra hasa ukizingatia uzi huu una jumuisha mada nyingi sana tofauti tofauti.
Weka ushahidi acha porojo, naona huelewi maana ya "telepathy".Kuna page huyu bwana aliandika baada ya kurudi Dar, alihitaji kumuita Arsis akakosa pahala.
ikabidi Arsis amwingie kichwani basi wakawa waongea Arsis yuu kichwani akawa hauliza maswali Arsis akasema siwezi kaa sana hapa ntakumiza, Huu ni ushahidi kwamba atumia majini
Malaika siyo waasi.
Kimeanza kisa cha Adm kwa mujibu wa Qur'an, kinaamsha hisia nyingi.Naona uzi ushageuka kuwa wa kiilslam pekee sasa
Na kwenu hiz habar za wongofu zipo??Q 45:20. Hizi ni dalili zilizo wazi kwa watu wote, na ni uwongofu, na rehema kwa watu wanao yakinisha. 20
ChaiYap iko hivyo unakuwa uko protected na hivyo viumbe. Kuhusu kutibia hapo it depends una tawaliwa na majini wa race ipi na wana itikadi ipi ya kiimani kama race yao ni weusi watataka utibie kwa mitishamba and if race yao ni wazungu waarabu or wachina watataka utibie kwa culture zao ,mfano ukiwa na majini ya kizungu ambayo yana fuata itikadi za kikristo wata kutaka uponye watu kwa kutumia neno la mungu Refer kina mwamposa and the likes it's the same pia endapo kama majini hayo yatakuwa na itikadi za kiislam yatakutaka utibie watu kwa kutumia mifumo ya kiislam 😆😆😆 Mambo ndio yapo hivyo lakini wachungaji na mashekhe hawasemi ukweli 😆😆😆 wanaponya watu kwa nguvu za majini na mizimu then wana brain wash watu kuwa ni kwajina la yesu au allah
uduvi ni jamii ya kamba wadogo, upo wa aina nyingi.