Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Endelea na kisa cha adam hapa hapa usifunguwe uzi mwingine,pia Maliza hiki kisa cha Adam ndio urudi kwenye zile hadith za vibuki ndio tutaelewa,tatzo watu wanpendq vitu laini laini
 
Mimi swali langu je kweli kuna hela za majini yani mtu anaenda kwa mganga ,halafu kuna mashart anapewa akiyaweza anakuwa tajiri kuna ukweli hapo?
 
Swali zuri sana na mwisho umemalizia vizuri sana.

Kwangu mimi elimu ni elimu, sijajua namna ya kuzitenganisha. Mimi bado mwanafunzi wa elimu.
Simba.
 
hii kweli arsis kaitabaruku elimu hii kwa muda wa miaka elfu 5000. form 4 leaver haiwezekan uwe hivi. mzee kweli alsis alikaa kukufundisha au mlikua na darsa ya tafsil.?
Hilo la form 4 hata mimi nalifikiri mara mbili mbili, English yake, ingawa anatupia neno moja moja lakini anapoliweka na anavyoliweka tunaelewa kuwa huyo siyo form 4 kabisa. Kiarabu kama hajuwi hatoweza kuchambuwa kama afanyavyo, hicho siyo cha kusoma Qur'an pekee.

Umeona eeh?
 
Utumie mrejesho utaleta hapa
Aah namba niwewapa mwenyewe hapa. Namjuwa sana Bi Mrembo anayeuza huo udongo orijino. Sema siku hizi anaishi mbali na mjini. alikuwa Sinza zamani. Ni member humu JF, lakini nadhani nyuzi zake anafunguwa miaka miwili au mitatu mara moja. Anaitwa bi Zainab Tamim.

Weka picha tuuone tutaujuwa.
 
Elfu 15 tu

Mambo ya Arsis hayo kwa maneno yake mwenyewe Simba.....Madame unakumbuka ule msemo wa "They've opened a can of worms", ila muda mwingine kuna watu unaona wameenda shule kukuzidi ila ukiwatazama vyema unaona fika huyu kanizidi kuandika notes tu ila co elimu....Kuna ule msemo wako maarufu "Shuleni mulienda kusomea ujinga?" Kiukweli vidato hivi muda mwingine ni deceiving
 
Elimu yake ni ndogo lakini ana uelewa mkubwa Sana, Rafiki yake Arsis ana elimu kubwa ndio anampa elimu yote tunayosoma hapa. Ni mwanafunzi wa Arsis.
 
Nimeipenda hii..Maana kuna rafiki yangu mada zake zote n nyie waislam na ndo mmeleta majini ,,sijui hakuna jinn mzuri wala mbaya ..naicopy kabisa nimtumie😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…