Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuri sana na mwisho umemalizia vizuri sana.Mwanzoni mwansimulizi ulisema umehitimu form four tu, sielewi upande wa kidini una elmu kiasi gani?
Lakini kinachonishingaza una uelewa mkubwa wa mambo ambayo hauendani na elimu dunia uliyonayo, na jinsi unavyoifafanuwa Qur'an kuna masheikh weñgi tu wakubwa hawawezi kufanya ufafanuzi huu.
Sasa hapa nini siri yake wewe ndio mwenye ilmu na uelewa huu au unacopy kwa Arsis na kupaste hapa?
Kuna vitu unaandika hapa kwa elimu dunia mtu wa level ya form four hawezi kuvijuwa unless awe na bidii sana ya kujisomea.
bei gani unauza nikuchek nipo DARHuo udongo ninao nauuza tena ni original kama kuna mtu anauhitaji anicheck 0658651056..na unatibu magonjwa yote ya ngozi..
Upo sahihi, 99% ni majinni humu.Jini kwa lugha ya Kiarabu ni kitu kilichoficha, chukulia mfano hapa hapa Jamii Forums, asilimia kubwa tumejificha. Naamini Asilimia kubwa hapa tunampenda Yesu.
Simba.
Wajukuu hao? No way, sina wajukuu mapoyoyo kama hao.FF, hao chukulia ni wajukuu zako, wanakuchokoza makusudi upandishe.
Simba.
Wewe unaambiwa nini unajibu utumbo.Janja janja nyingi sana wewe jamaa majibu yako
Kama hujuwi umejuwaje kama hayajajibiwa "sawasawa"?Mimi hata sina majibu. Ingawa hiyo haiondoi the fact kwamba maswali yasiyojibiwa sawa sawa nitashindwa kujua
Tutaamini vipi orijino?Huo udongo ninao nauuza tena ni original kama kuna mtu anauhitaji anicheck 0658651056..na unatibu magonjwa yote ya ngozi..
Not really madam.Kama hujuwi umejuwaje kama hayajajibiwa "sawasa"?
Semanulikuwa na jibu unalolitarajia Simba kakustukia, kaku-switchoff.
Haya sawaWewe unaambiwa nini unajibu utumbo.
Kama unajuwa zaidi si elezea wewe.
Huo udongo ninao nauuza tena ni original kama kuna mtu anauhitaji anicheck 0658651056..na unatibu magonjwa yote ya ngozi..
Utumie mrejesho utaleta hapaTutaamini vipi orijino?
Elfu 15 tubei gani unauza nikuchek nipo DAR
Hilo la form 4 hata mimi nalifikiri mara mbili mbili, English yake, ingawa anatupia neno moja moja lakini anapoliweka na anavyoliweka tunaelewa kuwa huyo siyo form 4 kabisa. Kiarabu kama hajuwi hatoweza kuchambuwa kama afanyavyo, hicho siyo cha kusoma Qur'an pekee.hii kweli arsis kaitabaruku elimu hii kwa muda wa miaka elfu 5000. form 4 leaver haiwezekan uwe hivi. mzee kweli alsis alikaa kukufundisha au mlikua na darsa ya tafsil.?
Aah namba niwewapa mwenyewe hapa. Namjuwa sana Bi Mrembo anayeuza huo udongo orijino. Sema siku hizi anaishi mbali na mjini. alikuwa Sinza zamani. Ni member humu JF, lakini nadhani nyuzi zake anafunguwa miaka miwili au mitatu mara moja. Anaitwa bi Zainab Tamim.Utumie mrejesho utaleta hapa
Elfu 15 tu
Mambo ya Arsis hayo kwa maneno yake mwenyewe Simba.....Madame unakumbuka ule msemo wa "They've opened a can of worms", ila muda mwingine kuna watu unaona wameenda shule kukuzidi ila ukiwatazama vyema unaona fika huyu kanizidi kuandika notes tu ila co elimu....Kuna ule msemo wako maarufu "Shuleni mulienda kusomea ujinga?" Kiukweli vidato hivi muda mwingine ni deceivingHilo la firm 4 hata mimi nalifikiri mara mbili mbili, English yake, ingaws anatupia neno moja moja lakini anapoliweka na anavyoliweka tunaelewa kjwa huyo siyo form 4 kabisa. Kiarabu kama hajuwi hatiweza kuachambuqa kama afanyavyo, hicho siyo cha kusoma Qur'an pekee.
Umeona eeh?
Elimu yake ni ndogo lakini ana uelewa mkubwa Sana, Rafiki yake Arsis ana elimu kubwa ndio anampa elimu yote tunayosoma hapa. Ni mwanafunzi wa Arsis.Mwanzoni mwansimulizi ulisema umehitimu form four tu, sielewi upande wa kidini una elmu kiasi gani?
Lakini kinachonishingaza una uelewa mkubwa wa mambo ambayo hauendani na elimu dunia uliyonayo, na jinsi unavyoifafanuwa Qur'an kuna masheikh weñgi tu wakubwa hawawezi kufanya ufafanuzi huu.
Sasa hapa nini siri yake wewe ndio mwenye ilmu na uelewa huu au unacopy kwa Arsis na kupaste hapa?
Kuna vitu unaandika hapa kwa elimu dunia mtu wa level ya form four hawezi kuvijuwa unless awe na bidii sana ya kujisomea
Nimeipenda hii..Maana kuna rafiki yangu mada zake zote n nyie waislam na ndo mmeleta majini ,,sijui hakuna jinn mzuri wala mbaya ..naicopy kabisa nimtumie😀😀Sawa ngoja nikufundishe kuhusu majini, Hawa ni viumbe wa mungu katika quran wameitwa majini na katika biblia wameitwa mapepo wanaweza kuwa wabaya au wazuri kama tulivyo binadamu wakiwa wabaya sisi waislamu tunawaitwa mashayatwin kama vile binadamu akiwa mbaya ataitwa shetani kwa hiyo shetani ni sifa ya kiumbe kibaya aweza kuwa binadamu au jinn ndio maana katika biblia Imeeleza katika MARKO 1:23 Inasema "Na mara palikuwa ndani ya sinagogi lao mtu mwenye pepo mchafu akapaza sauti"
Sasa swali kwako biblia inavyosema pepo mchafu kwani kuna pepo msafi? jibu baki nalo, Ngoja niendelee kukupa elimu bwana kanali mjivuni usiependa ukweli au wewe ni mwanga nini?
Unamjua Mariam magdalena ? huenda humjui maana wewe ata biblia inaonekana husomi, Mariam magdalena huyu alikuwa ni mmoja wa wanawake wa karibu na yesu na alikuwa mfuasi wake mwaminifu sasa kivipi mfuasi mwaminifu na yesu aingiwe na pepo kama ilivyoandikwa katika MARKO 16:9
inasema "Naye alipofufuka alfajiri siku ya kwanza ya juma, alimtokea kwanza Mariamu magdalena , ambaye kwamba alimtoa pepo saba"
Hapo utaona ata watu wa karibu na yesu walikumbwa na pepo je kipindi hicho muhammad alikuwa kaja duniani mpaka useme uislamu na majini ni ndugu? jibu ni hapana sasa kama hapana hawa pepo walikuwa wanaushirika na kina nani hali ya kuwa uislamu haukuwepo jibu baki nalo pia.
Mwisho nikurudishe katika Mambo ya Nyakati wa pili hapo kuna kisa cha Mikaya mwana wa imla na Yehoshafati mfalme wa yuda kuwa makini hapa uchote elimu bure bwana kanali sawa?
Katika kisa hiki Mfalme Ahad wa israeli alitaka kujua kama atashinda vita dhidi ya Remoth-gileadi hivyo akataka manabii wamwambie kama ataweza shinda manabii wakasema ndio atashinda, Lakini Yehoshafati akasema yupo nabii wa kweli ambaye ndie Mikaya tumsikilize nayeye mikaya atasemaje.
Sikiliza majibu ya mikaya sasa, Katika nyakati wa pili yaani 2 Mambo ya nyakati 18:20-22 Inasema"
Akatoka pepo akasimama mbele za bwana, akasema mimi nitamdanganya, bwana akamwambia jinsi gani?akasema nitaondoka nakuwa pepo wa uongo vinywani mwa manabii wake wote,bwana akasema ondoka ukafanye hivyo, Basi sasa angalia bwana pepo wa uongo vinywani mwa manabii wako hawa, naye bwana amenena mabaya juu yako"
Sasa bwana kanali huyo pepo aliesema ataenda kuwa pepo wa uongo kwani kuna pepo wa ukweli? alafu ujue huyo pepo alikuwa mbele za BWANA yaani mungu alikusanya mapepo akayatuma ili wakamdangaje mfalme wa izraeli kupitia kinywa cha manabii wake huyo mFalme sijui unaelewa au mada imeanza kuwa ngumu kwako.?
Kwakifupi ni kuwa huyo pepo alienda kwenye kinywa cha manabii kwa amri ya mungu hiyo inaonesha pepo ni viumbe wa mungu wanaweza kuwa wabaya au wazuri ndio maana huyo pepo apo anasema yeye ataenda kuwa pepo wa uongo that means wapo wakweli. Are we travelling in the same boat?
Ungemuuliza hao waislamu wanaleta majini wanayatoa wapi?Nimeipenda hii..Maana kuna rafiki yangu mada zake zote n nyie waislam na ndo mmeleta majini ,,sijui hakuna jinn mzuri wala mbaya ..naicopy kabisa nimtumie😀😀