Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Mimi ni muumini wa maisha mengine na majini. Stri hii nilikuwa naanza kuimini hadi ulipandika mwaka wa kufika Wajerumani Tanzania kuwa ni 1076. Wakati hu hakukuwa hata na Ujerumani! Wazungu wengi walikuwa wanaishi mapangni! Uliksea kutaipu?
 
Hicho kitabu Arsis alishakiongelea kwangu sana tu. Nikumbushe nilete katika safu mpya zinazokuja za "vionjo vya Arsis".

Ngoja nitafute mkanda wake.
Udafo: Si kweli kuwa Sunni wanawachukulia Sufi kuwa watu wasio na akili. Wanawaheshimu sana.
 
hizi ni views zako tu.wala hupingwi unavyoamini. u dont know a thing. hujui hata kuwa miaka ya 1500 tu hapa juz juz ulaya yako unayoiabudia na kuona imestarabika ilikua na kitu clkinaitwa purge. ulaya ilikua inachoma moto wachawi.tena wanaoufanya uchawi kwa msaada wa majini. sasa ukisema majini yanafungamana na dini fulan unakosea.mana ulaya wala hawatumii maandish ya kiarabu unayoyaogopa wewe, na ukiona tu maandish ya kiarabu mbio mbio unasema hii kuruani.yan kwa ujinga hata ukiokota kipande cha pageya gazet la kutoka misri utasema umeokota kuruani? hebu soma soma bas uwage hata na elimu ya kutofautisha mambo.acha mhemko. kukusadia weng unaosema wanatumia dini kufuga majin may be yes sijui labda kwa sabab asil ya elimu ya kidunia inayotumika east africa nying imetoka mddle east ndio mana utaona wenye kufanya uganga wanatumia elimu kutoka huko.ila usifungamanishe dini na kitu ingawaje hata nyie mkiumwa ikishi dikana mnawafataga hao hao mashehe kwwa vile mnajua vinafanyaga kazi, uongo?
Nisahihisheni kama nakosea, lakini sisemi hivi kwa mihemuko, ila baada ya kufanya utafiti.
'Nimekuta Wakristo wengi Waafrika ni wajinga kupita kiasi, hasa inapokuja kwenye Uislamu, ambao uko kando yao tu. Ni kiasi cha kusoma tu. Badala yake wanaamini tu kikichwa kichwa wanayoambiwa Kanisani na Mapasta ambao wao pia ni wajinga. Si dhamira yangu kukashifu, bali ni dhamira yangu kuwaita kutumia akili. Akili ndiyo Mwenyezi Mungu ametutofautisha na viumbe wengine, na kwa sababu ya akili ndiyo atatuadhibu kwa kukosea. Akili ni kitu cha thamani sana sana sana. Usikubalii yeyote aitawale bila ya wewe kuitumia. Hata CCM!
Wajua katika Uislamu, Mwislamu anayejiita Muislamu kwa sababu tu baba yake au ukoo wake ni Waislamu, bila yeye mwenyewe kufanya utafiti na kuukubali....ana mapungufu makubwa. Mwenyezi Mungu amewakashifu watu hao aya : ' Wanasema, bali tunafuata tu yale tuliyowakuta wazee wetu wakiyafuata!"
 
Nisahihisheni kama nakosea, lakini sisemi hivi kwa mihemuko, ila baada ya kufanya utafiti.
'Nimekuta Wakristo wengi Waafrika ni wajinga kupita kiasi, hasa inapokuja kwenye Uislamu, ambao uko kando yao tu. Ni kiasi cha kusoma tu. Badala yake wanaamini tu kikichwa kichwa wanayoambiwa Kanisani na Mapasta ambao wao pia ni wajinga. Si dhamira yangu kukashifu, bali ni dhamira yangu kuwaita kutumia akili. Akili ndiyo Mwenyezi Mungu ametutofautisha na viumbe wengine, na kwa sababu ya akili ndiyo atatuadhibu kwa kukosea. Akili ni kitu cha thamani sana sana sana. Usikubalii yeyote aitawale bila ya wewe kuitumia. Hata CCM!
Wajua katika Uislamu, Mwislamu anayejiita Muislamu kwa sababu tu baba yake au ukoo wake ni Waislamu, bila yeye mwenyewe kufanya utafiti na kuukubali....ana mapungufu makubwa. Mwenyezi Mungu amewakashifu watu hao aya : ' Wanasema, bali tunafuata tu yale tuliyowakuta wazee wetu wakiyafuata!"
Arsisi Allah atamdhalilisha kwa kutaka binaadamu wawaendekeze majini baada ya Mungu mmoja
 
Inatokea post namba 92.

Baada ya kumaliza kula wale vijana hawajakaa sana, wakabeba vyo,mboi vya chakula wakaondoka navyo waksema tutarudi baadae kidogo tukavune kamba tuje kuchoma usiku. Nikawaaga mimi nikarudi pangoni.

Ile nimekaa kidogo, nikasikia hodo, kutoka nje nikamuona yule mwenye bakora kaja. Tukasalimiana bila kushikana mikono aknambia, leo nataka kuongea na wewe kwa kina kidogo.

Akaanza, "sikiliza bwana mkubwa", mimi nafahamu babu yako toka mdogo sana kama nnavyokufahamu wewe, lakini yeye aknijuwa mimi akiwa na umri wa miaka 4, wewe nakufahamu vile vile toka mdogo, lakini tumechelewa kidogo kukujulisha uwepo wangu na tyumechelewa kukukabidhi bakora yako.

Hiyo bakora inapokuwepo chukulia ni mimi nipo, usiichukulie kuwa ni bakora kwa sababu sichezi mbali na hiyo bakora. usiseme kitu, wewe nisikilize nikimaliza kuongea utauliza maswali yako, sawa? Nikamjibu sawa.

Mimi ni jinni, ni mtoto wa jinni wa ukoo ..., akanitajia koo yake pale na aksema yeye bado mdogo saana ana miaka kama 1300 tu. Baba na mama yake ambao wote wapo hai, ni mika sawa na huyo mwenye hiyo pete, wao ndio walinijulisha nae, ni rafiki yao kiukoo. Sisi kazi yetu kubwa ni moja tu, katiaka ukoo wetu, baba yangu aliwahi kufungwa kwa kuwa alikuwa anasaidia watu kwa kuwa alijaaliwa kujua mambo ya tiba. Aliufungwa na jini la kichawi lililotokea kumchukia kwanini anatibu watu. Basi ikapita miaka mingi kwenye kifungo chakem akatokea binadam mmoja mwenye elimu akmfungulia, ndipo walijuwana na akaahidi kuwa atawatumikia binaadam kwa kuwapa tiba anazozijuwa na kuwasaidia kwa kila hali kwenye matatizo kama alivyosaidiwa yeye, ndiyo ikaendelea hivyi akawarithiusha wanawe hilo jukumu mpaka limefikia kwangu. Nami nikakabidhiwa kwa babu yako, ilika nikabidhiwe kwa baba yako, lakini mwenyewe alikataa kazi za tiba kabisa, ana mabo yake mengine. Tukaona tuwe na wewe kuanzia mdogo, na wewe hauna ujanja wau kuweza kukataa kwa sababu ulirothishwa na babu yako majinni ya kikwao huko ukoo wa simba kuanzia mdoigo. Sisi ukoo wa simba wa babu yako ni marafiki zetu sana, tunaoleana lakini sisi sio ukoo wa simba. Sisi ni watu wa mitishamba, tunafahamu tiba nyingi sana za miti na mbegu aina nyingi sana. Wewe utazjua tu kidogo kidogo, sisi pia ni walinzi wazuri sana, kwani tunaelimu nyingi sana za tiba. Sio kama simba, simba ni ukoo hatari sana, ukiwaudhi wanakuua kabisa hawana mchezo. Lakini sisi tunasikilizana nao sana na tunawatibu na wao, kwa hio uwepo wetu una faida sana kwa ukoo wenu wa kibinadam. ikibidi vita basi simba wanakuwepo ni wakali sana simba wa ukoo wenu.

Kwa ufupi, wewe ukinihitaji mimi isugue tu hiyo fimbo kidogo kidogo kwa mkono wako, na mimi utaniona lakiniw atu wengine hawataniona, miminina uwezo wa kutoonekana na wengine lakini wewe ukanioan. Utajifunza mengi sana kutoka kwangu. Leo nakupa dawa moja tu, utakuta mizizi mitatu pale kwenye mto wako, hio mizizi ukitaka asikuone mtu, tafuna kidogo mdomoni, kata au tafyna tafuna kwa meno, kidogi tu, basi hakuoni mtu mpaka uiteme. Hio utajua mwenyewe ikusaidie vipi, haina sharti lolote. Itumie upendavyo. Naona dawa alizokitia babu yako zinfanya kazi vizuri ndio kishafungua macho mpaka unaweza kuniona mimi. Ungekua hujafynguka macho usingeniona wala kunisikia. Una swali lolote?

Ndio, sasa nyinyi mnataka mimi niwe mganga, mimi siwezi mambo ya kutibu watu na siutaki uganganga. Akacheka sana, akasema wewe haui mganga wala hutotibu watu lakini watu watajua unafahamu dawa, kwani ukiwapa dawa itakua imetokea kwetu au ukiwaambie watumie kitu fulani itakua ni maagizizo yetu, unachotakiwa wewe usikatae kusikiliza shida za watu, na watume waende kwa babu ytako au waambie utawaulizia kwa babu yako, sio kazi kubwa wla hautaihisi kabisa. Endelea na maisha yako kama kawaida, sisi hatutaki ubadili maisha yako. Una swali lingine?

Nikamuuliza "babu anawezaje kuja mpaka Dar kukiwa na dharura bila sisi kujua kaja na nini? Akacheka sana jinni, akasema babu yako mtundu sana. Atakufundisha huo utaaalamu. usiwe na shaka ni jambo dogo sana hilo, usitake kuyajua yote mara mnoja. nI ujuzi tu ule. Nikamuuliza, wewe hauna ujuzi huo? Akasema mimi ndio nimemfundisha babu yako, na yeye ni jukumu lake akufundishe wewe. Atakufundisha, usiwe na shaka. wewe kwanza maliza yaliokuleta hapa, ni hayo macho yako, lakini ytayari yalikua wazi, basi hapa unafata ada ya kukaa kwa uchache siku tatu. Mimi hutoniona tena labda nikuletee dawa au ukiniita. Kwaheri, nikaagana nae akaondoka.


Itaendelea.
Mmmm makubwa haya
 
Nisahihisheni kama nakosea, lakini sisemi hivi kwa mihemuko, ila baada ya kufanya utafiti.
'Nimekuta Wakristo wengi Waafrika ni wajinga kupita kiasi, hasa inapokuja kwenye Uislamu, ambao uko kando yao tu. Ni kiasi cha kusoma tu. Badala yake wanaamini tu kikichwa kichwa wanayoambiwa Kanisani na Mapasta ambao wao pia ni wajinga. Si dhamira yangu kukashifu, bali ni dhamira yangu kuwaita kutumia akili. Akili ndiyo Mwenyezi Mungu ametutofautisha na viumbe wengine, na kwa sababu ya akili ndiyo atatuadhibu kwa kukosea. Akili ni kitu cha thamani sana sana sana. Usikubalii yeyote aitawale bila ya wewe kuitumia. Hata CCM!
Wajua katika Uislamu, Mwislamu anayejiita Muislamu kwa sababu tu baba yake au ukoo wake ni Waislamu, bila yeye mwenyewe kufanya utafiti na kuukubali....ana mapungufu makubwa. Mwenyezi Mungu amewakashifu watu hao aya : ' Wanasema, bali tunafuata tu yale tuliyowakuta wazee wetu wakiyafuata!"
Usipo taja ukristo unapungukiwa nini kama unaona uislamu unafaa acha kushupaza shingo komaa na dini yako mkuu itakupeleka peponi
 
Mimi ni muumini wa maisha mengine na majini.
Hapa umemaanisha nini kwa kusema wewe ni muumini wao?
Kufika Wajerumani Tanzania kuwa ni 1076. Wakati hu hakukuwa hata na Ujerumani! Wazungu wengi walikuwa wanaishi mapangni! Uliksea kutaipu?
Kwa mujibu wa historia mwaka huo hauko sawa. Lakini miaka hiyo wazungu hawakuwa wakiishi mapangoni.
 
Nisahihisheni kama nakosea, lakini sisemi hivi kwa mihemuko, ila baada ya kufanya utafiti.
'Nimekuta Wakristo wengi Waafrika ni wajinga kupita kiasi, hasa inapokuja kwenye Uislamu, ambao uko kando yao tu. Ni kiasi cha kusoma tu. Badala yake wanaamini tu kikichwa kichwa wanayoambiwa Kanisani na Mapasta ambao wao pia ni wajinga. Si dhamira yangu kukashifu, bali ni dhamira yangu kuwaita kutumia akili.
Umefanya utafiti? 😆 Tueleze Hypothesis yako iliitwaje? Methodology ni zipi na sample ni zipi? Wakristo wapi, maana wako matabaka mengi kuna Catholics na Protestants, katika Protestants kuna Adventists, Lutherans, Anglican na mengine mengi sana.
Uli base wapi au uliwapitia wote, marejeleo yako ni yapi? Kama hauna hivyo vichache basi mkuu umetumia hisia na mihemko, na maneno ya kuskia skia.

Kama ulivyosema wakristo wengi ni wajinga hasa linapokuja suala la uislamu, pia na mimi naona waislamu wengi ni wajinga vilevile linapokuja suala la ukristo.
Akili ndiyo Mwenyezi Mungu ametutofautisha na viumbe wengine, na kwa sababu ya akili ndiyo atatuadhibu kwa kukosea. Akili ni kitu cha thamani sana sana sana. Usikubalii yeyote aitawale bila ya wewe kuitumia. Hata CCM!
Wajua katika Uislamu, Mwislamu anayejiita Muislamu kwa sababu tu baba yake au ukoo wake ni Waislamu, bila yeye mwenyewe kufanya utafiti na kuukubali....ana mapungufu makubwa. Mwenyezi Mungu amewakashifu watu hao aya : ' Wanasema, bali tunafuata tu yale tuliyowakuta wazee wetu wakiyafuata!"
Mkuu mimi case yangu na wewe ni pamoja na matumizi ya neno utafiti, wewe hauna resource za kufanya jambo hilo.
Nipe hata list ya vitabu vya kufafanua uislamu na vinavyounga mkono uislamu ambavyo umesoma ukiondoa kitabu kikuu Koran takatifu.

Pia nipe chapisho au kitabu ulichosoma kinachoupinga uislamu, haya mambo yangekuwa mepesi kama unavyoamini watu wasingekuwa katika mkanganyiko wa kiimani unaouona.

Kwa hiyo mkuu na wewe kuhusu ukristo bado hauujui,na pengine haupaswi kuusoma ukifatilia dini yako vizuri usije ukachanganya mambo. Ndio maana mataifa yanayoendeshwa kiislamu hayaruhusu pengine kirahisi shughuli za dini tofauti na yao.

Kuna waarabu wakristo pale Lebanon zama na zama na wao pia unafikiri kwa miaka yote ya mwamko wa uislamu mbona wanabaki katika ukristo wao? Unataka kusema kule pia wanafundishwa na wajinga
 
Umefanya utafiti? 😆 Tueleze Hypothesis yako iliitwaje? Methodology ni zipi na sample ni zipi? Wakristo wapi, maana wako matabaka mengi kuna Catholics na Protestants, katika Protestants kuna Adventists, Lutherans, Anglican na mengine mengi sana.
Uli base wapi au uliwapitia wote, marejeleo yako ni yapi? Kama hauna hivyo vichache basi mkuu umetumia hisia na mihemko, na maneno ya kuskia skia.

Kama ulivyosema wakristo wengi ni wajinga hasa linapokuja suala la uislamu, pia na mimi naona waislamu wengi ni wajinga vilevile linapokuja suala la ukristo.

Mkuu mimi case yangu na wewe ni pamoja na matumizi ya neno utafiti, wewe hauna resource za kufanya jambo hilo.
Nipe hata list ya vitabu vya kufafanua uislamu na vinavyounga mkono uislamu ambavyo umesoma ukiondoa kitabu kikuu Koran takatifu.

Pia nipe chapisho au kitabu ulichosoma kinachoupinga uislamu, haya mambo yangekuwa mepesi kama unavyoamini watu wasingekuwa katika mkanganyiko wa kiimani unaouona.

Kwa hiyo mkuu na wewe kuhusu ukristo bado hauujui,na pengine haupaswi kuusoma ukifatilia dini yako vizuri usije ukachanganya mambo. Ndio maana mataifa yanayoendeshwa kiislamu hayaruhusu pengine kirahisi shughuli za dini tofauti na yao.

Kuna waarabu wakristo pale Lebanon zama na zama na wao pia unafikiri kwa miaka yote ya mwamko wa uislamu mbona wanabaki katika ukristo wao? Unataka kusema kule pia wanafundishwa na wajinga
Neno utafiti lisikufanye ukakosa hekima na kulifasiri tu kwamba ni lazima liwe na zana 1234. Utafiti unawezekana kuwa ni kufuatilia kauli za viongozi, wahusika na maamuma wa madhehebu kwa muda fulani na kutokana natija inayofanana.
Unazungumzia Wakristo Waarabu na mimi niliweka wazi kwa kusema 'Waafrika'. Hakuna Mkristo Mwarabu anayefunzwa Kanisani kuwa Uislamu ni dini ya Mapepo! Au Qur'an ina uhusiano wowote na Mapepo. Haya ni ya Wakristo wa Kiafrika tu. Hata Wazungu hawaamini hivyo.
 
Hapa mimi itabidi unielimishe zaidi. Mimi ni Muislam, Sufism shirk yake ni ipi wakati jina "sufi" linaashiria wepesi na usafi wa kuwa karibu na Allah.

Tupe ilm na ushahidi siyo kurusha tuhuma.

Mimi ni Muislam nisiyekuwa na dhehebu isipokuwa Uislam tu, naamini sufism" siyo dhehebu bali ni lugha tu ikimaanisha njia za wenye kuabudu(tariqa t ibadi). Madhehebu ni yale yenye kufata majina ya watu kama Ukristo.

Mtazamo wangu huo.
Eeeh, hulka yangu kila nionapo kosa katika lugha ya Kiswahili ni kusahihisha. Nina maana, na hadithi ndefu juu ya hilo. Kifupi, kosa lolote katika lugha huenda likaharibu fahiwa au maana iliyokusudiwa na wazungumzaji aslia wa lugha hiyo.
Faiza: Ni kosa kusema 'dhehebu' hakuna 'singular form' ya madhehebu. Sababu: neno hili limeazimwa kutoka lugha ya Kiarabu namna hiyo hiyo- madhehebu. Hivyo: Madhehebu ya Sunni, Shia, Katoliki....nk. Kamwe hakuna dhehebu, kama ambavyo hakuna 'dini' kuwa ni singular ya 'madini' au 'ji' kuwa singular ya maji.
Najua matatizo yako na ya wengi ni kwamba aghalabu Kiswahili kinaunda 'plural' (wingi) kwa kuongeza 'ma'
Ila hapa si mahali pake.
 
T
This is the Truth in Christianity Doctrine.
The faith has northing to do with the demons but to cast them out wherever we contact them.
This is the Command from our Lord and Saviour Jesus Christ.
Mathayo (Mat) 10:8
Heal the sick, cleanse the lepers, raise the dead, cast out devils: freely ye have received, freely give.
Kuna tofauti kati ya 'demons' (mashetani, mapepo) na Majini (Jinns). Kwa ufupi, demons ni Majini waliomwasi Mwenyezi Mungu wakafuatana na Iblis (Mkuu wa Demons). Ama Majini ni wale walioendelea na hulka yao. Wao ni kama watu, kuna wema na wabaya.
Waislamu wanapozungumzia Majini ni tofauti kabisa na Wakristo wanapozungumzia Mapepo.
 
Ahsante mkuu Faiza.
But...
Msingi wa imani yetu ya kikristo ni Kristo (Yesu) mwenyewe. Na imani hii chanzo au msingi wake ni Neno la Kristo au maandiko ya Biblia.

Na Biblia yenyewe inakiri wazi kuwa kuna mambo meengi sana ambayo hayakuwekwe kwenye Bible maana isingelitosha. Ni mengi mnoo. Probably ndio hayo maandiko na vijitabu vingine mnavyohangaika kusoma na kutafuta tafuta elimu kuvihusu.

But as a matter of fact kwamba Bible was written under INSPIRATION of God (kama ambavyo inasemekana kuwa Q'uran ilishushwa), tuna kila sababu ya kuwa na uhakika kwamba yale yaliowekwa ndani yake (Bible) ndio hasa yalikusudiwa kama Fundisho Mungu alilenga kusema nasi (tunaomuamini kupitia Kristo Yesu).

NA kwasababu hii (hapo jjuu), katika theology (right one) , tuna jenga doctrine upon what was WRITTEN of the old and new testament alone na si nje ya hapo. Doctrine yetu haijengwi juu ya kile ambacho biblia haisemi /haijakijumuisha kwenye vitabu vyake..

Kwahiyo bas, maadam, Biblia imetamka Jina Yesu, ina maana jina lake ni Yesu.

Habar za translation hizo ni vitu obvious kabisaa.

Unapozungumzia kigiriki ,ni kwasababu hii.

Biblia iliandika katika lugha 3 lakin lugha 2 kubwa zaid ndio zime dominate.
Agano la kale limetumia Kiebrania na hiyo ulioitaja wewe kwa kiasi.

Wakat agano jipya limeandikwa kwa Kigiriki kama oringinal language..

All other translation kuja kingereza mpaka kiswahili, tafsiri yake inatoka kwenye original manual script ya lugha hizo 3 hasa kiebrania na kigiriki.

Kwahiyo Yesu ni tranlation ya jina toka huko whatevet was used to Address Jesus, He still is the same and the name is just the same Powerful name.
Sijui Wakristo wanajua hakuna 'Gospel' (Injili) ya aslia popote pale, zilizopo ni tafsiri tu. Na hao waliofasiri hawakuwa na 'Gospel' ya asli kabisa.
Gospel ni utunzi wa Mark, Luke, Matthew na John. Ukifungua Gospel Utasoma This is Gospel according to (kwa mujibu wa) St. Mark, au, according to St. Luke au according to St Matthew, au according to St. John.
Nataka Mkristo aniambie kwa nini ikaandikwa 'kwa mujibu wa'
 
Bo
Ni bora niharibu huu Uzi ili kuwaokoa watu na mafundisho potofu ya Majini.
Ni bora huu Uzi ufe.
Niliwaonya pale Mwanzo hamkutaka kunisikia.
Mkaishia kuukashifu Ukristo na kufurahi.
Pitia maneno yangu.
Hatuwezi kuendelea kuyasikiliza na kuyaamini Majini
So bloody.........(ongeza adjective)
 
Mkuu
Unazungumzia Wakristo Waarabu na mimi niliweka wazi kwa kusema 'Waafrika'. Hakuna Mkristo Mwarabu anayefunzwa Kanisani kuwa Uislamu ni dini ya Mapepo! Au Qur'an ina uhusiano wowote na Mapepo. Haya ni ya Wakristo wa Kiafrika tu. Hata Wazungu hawaamini hivyo.
Mkuu wakristo waafrika wa dhehebu gani?
Ndiyo maana nikasema huo uliouita ujinga, upo kila upande juu ya dini ya mwenzake. Isingekuwa hivyo probably watu wangefuata imani moja.

Mfano unaanzaje kuufanya uislamu thabiti ukiri dhana ya utatu mtakatifu na haipo katika kitabu chao, na unaanzaje kuufanya ukatoliki ukiri Mtume Mohammed (S.A.W) ni mtume wa mwenyezi Mungu na hayupo katika biblia, na kama yupo hawaoni jina?
Au Wayahudi na dini yao wakubali Yesu ni kristo, na hawakubali habari zake?

Jambo kama hili utaweza kulifanya kirahisi kwa muislamu mmoja mmoja na mkristo mmoja mmoja.

Biblia ina mistari mingi inazuia ushirikiana na viumbe wengine wa kiroho bila kujali ni wazuri au wabaya, sasa utawezaje kumfanya mtu alieshika biblia akubali kuwa ni sawa.

Hata humu unaona kuna baadhi ya waislamu nimeona kama wanasita pia kukubaliana na hii issue ya Arsis.

Lakini ukija kwa mtu mmoja mmoja kama mimi, napenda kujifunza maarifa naweza kusoma na kusikiliza nikiwa katika neutral ground
 
Ndio najua. Simba alishauliza zamani ataleta kisa chake hapahapa.

Simba anajua mambo mengi sana.
Nikusaidie, tena kwa elimu ya kusoma, si ya mazingaombwe! Kasha la Agano (Ark of Covenant) ambalo katika Qur'an limeitwa 'Tabuut' liko katika Kanisa moja la zamani sana kule Ethiopia. Kanisa hilo limechimbiwa chini ardhini. Au lilijengwa kutokana na kupasuliwa kwa mwamba. Hakuna ruhusa ya yeyote kulifungua kasha hilo isipokuwa makuhani watatu tu, hivi kwamba Condoleeza Rice, Waziri wa Marekani wa zamani wa Usalama, aliwahi kulifungia safari kutaka afunguliwe aone mabaki ya waliyaacha watu wa Musa (Moses), kama ilivyosema Qur'an.....lakini hata yeye alikataliwa!
 
Kwa faida ya wengi hizo sura saba za mwisho ni kuanzia Surat kawthar mpaka suratul nnas yaani. 1. Suratul kauthar 2.Suratul kafirun 3.Suratul Nasr 4. Suratul Lahab 5. Suratul ikhilasw 6. Suratul Falaq 7. Suratul Nass
Nasuratul fatiha Ni sura ya kwanza katika qur an maarufu kama alhamdu na ayatul Mursi ni aya ya 255 katika suratul baqara
Ayatul Kursi (Aya ya Ufalme wa enzi, kiti) Siyo Mursi! Huyu alikuwa rais wa Misi, akauawa na rais wa sasa Al-Sisi, ambaye mama ana urafiki naye, hata ameleta Wamisri wengi kuwekeza. Ni dikteta mkubwa, lakini: 'birds of same feather flock together'!
 
Back
Top Bottom