Dasvidaniya
Senior Member
- Sep 17, 2024
- 194
- 671
Ulipotea sana mkuuKazi yake ilifanyika na iliisha na yeye mwenyewe anafahamu tofauti aliyo nayo sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipotea sana mkuuKazi yake ilifanyika na iliisha na yeye mwenyewe anafahamu tofauti aliyo nayo sasa.
Soma sana aya tatu za mwisho za Qur'an.SImba kuna kitu bado hujajua kuhusu mimi mwambie Arsis akuelezee maana kuja inbox imekuwa katazo
Ila kukujibu swali Tangu naumwa hali yangu ya maisha imebadilika na kuwa mbaya sana na mpaka sasa inazidi tu kuwa mbaya
Sawa mkuu tunasubiri ila umepotea sanaTutaendelea na visa hivi karibuni.
Imebidi nicheke.LANGO LA KUZIMU LA DAR ES SALAAM
Lango kuu la kuingilia kuzimu la Upanga Dar es Salaam linajulikana kwa jina la MUSTALLAH. Ndani ya shimo la Mustallah kuna aina kumi na mbili za majini makatili sana yanayoangamiza jamii ya watu wa jiji la Dar es Salaam. Wachawi wa nchi huenda mara kwa mara shimoni kuongeza nguvu za uchawi wao, kabla ya kuingia shimoni ni lazima ufunge kwa siku tatu. Hapa tunajifunza kuwa shetani naye huwa anafunga.
Tuangalie sasa aina za haya majini ya Mustallah na kazi zao.
1. Ratafari ni jini linalosimamia laana zote za ukoo.
Wapo watu wanasema ukoo wetu unasumbuliwa sana na ugonjwa wa pumu, kisukari, presha, kutokuolewa na mambo mengi ambayo utakuta ukoo unakuwa na tatizo moja linalofanana kwa kila mwanaukoo, hili jini ndilo linasimamia laana hizo zimalize ukoo hadi kifo.
2. Muzaphari ni jini linalozuia mafanikio.
Ukitupiwa hili jini, hutaweza kufanya jambo lolote ukafanikiwa. Ukikopa shs 500,000 bank kwa ajili ya kuanza bishara, utafilisika na kuingia kwenye deni, na dhamana yako uliyoweka bank kuuzwa. Ukitaka kujiendeleza kimasomo yatatokea matatizo mengi yatakayosababisha kusimamisha masomo yako.
3. Latifu hili jini linasimamia mambo matatu, ufukara, mateso, na pesa zako kupotea katika mazingara ya ajabu ajabu.
4. Jujan ni jini linalosababisha watu kula udongo.
5. Jahad ni jini la kutorosha mali
Makarani wa bank ndio hasa wanaoadhirika na hili jini, utakuta karani anafanya kazi kwa uangalifu mkubwa, lakini kila siku ana shoti ya pesa. Pia kwenye maduka ya kawaida na hasa supermarket.
6.Hazinan hili jini linalosimamia pombe, uvutaji wa sigara, madawa ya kulevya na mirungi.
7. Jube ni jini linalosimamia utasa, vipimo vya hospitali vitaonyesha kuwa huna tatizo lakini mtoto kamwe hapatikani.
8. Sifafiru hili ni jini linalosimamia ukahaba. Likimwingia mtu yeyote, kwa siku atatembea na watu zaidi ya watano bila hamu ya mapenzi kumalizika.
9. Subian hili ni jini linalosimamia ajali. Chakula cha hili jini ni damu.
Linasababisha wanawake wasipate siku zao, wengine wanapata maumivu makali sana wakiwa katika hedhi, utasikia tumbo linakata kuanzia kushoto kwenda kulia na hali hiyo huendelea kwa muda hadi unanza kusikia maumivu makali ya mgongo.
10. Sumri jini hili linanyonga watoto wakiwa tumboni kabla ya kujifungua, pia linajihusisha na kuchukua watoto hospitali kichawi.
11. Munsar hili ni jini linalosimamia ndoa ya jinsia moja.
mwanamke kwa mwanamke au mwanamume kwa mwanamume.
12. Waidadat hili jini linasababisha vijana wa kiume kuvaa hereni, kusuka nywele na rasta.
(MOJA YA HAYO MAJINI NDIO ARSIS)
Hii story mbona haina muendelezo kisa cha MoroccoHatuyawezi yote, ukiona kuna vita vinavyoonekana elewa pia kuna vita visivyoonekana. Tunajitahidi kadiri ya uwezo wetu aliotujaalia Allah.
Kikubwa ni wewe binadam, kufanya mema na kuepukana na maovu.
Soma sana. usiwe na mipaka katika kusoma isipokuwa elewa mipaka ya mema na maovu.
Nafsi yako itakueleza hili ovu,ukishajua ni ovu, lisome kupingana nalo, kama unaweza lizuwie kwa mkono wako, ukishindwa lizuwie kwa mdomo wako, ukishindwa lizuwie kwa kulichukia.
Tuko pamoja.
Tutaendelea na visa hivi sawa mkuu kuna mtu pia kashauri kisa cha adam ukianzishie uzi wake pekeake maana ni kirefu
Ni Comorros sio Morocco.Hii story mbona haina muendelezo kisa cha Morocco
Sawa kiongoziNi Comorros sio Morocco.
Ni Comorros sio Morocco.
dini ni mfumo/ operating system OS ya maisha. wengine wanatumia android as their Os wengine apple wengine unlbuntu wengine linux yan mfumo wako utaojiwekea ndio dini yako.Imekuwa vizuri Arsis leo umeonekana hapa.
Kuna swali la muda mrefu Linanitatiza. Swali lenyewe:
Dini ni nini na beno "dini" linamaanisha nini?
Daaaah! Nilitaka nipite kimyakimya ila acha nitie neno. Umejifunzia wapi haya yote ndugu ?, unaweza toa referrence zinazo - support ulichoandika ?LANGO LA KUZIMU LA DAR ES SALAAM
Lango kuu la kuingilia kuzimu la Upanga Dar es Salaam linajulikana kwa jina la MUSTALLAH. Ndani ya shimo la Mustallah kuna aina kumi na mbili za majini makatili sana yanayoangamiza jamii ya watu wa jiji la Dar es Salaam. Wachawi wa nchi huenda mara kwa mara shimoni kuongeza nguvu za uchawi wao, kabla ya kuingia shimoni ni lazima ufunge kwa siku tatu. Hapa tunajifunza kuwa shetani naye huwa anafunga.
Tuangalie sasa aina za haya majini ya Mustallah na kazi zao.
1. Ratafari ni jini linalosimamia laana zote za ukoo.
Wapo watu wanasema ukoo wetu unasumbuliwa sana na ugonjwa wa pumu, kisukari, presha, kutokuolewa na mambo mengi ambayo utakuta ukoo unakuwa na tatizo moja linalofanana kwa kila mwanaukoo, hili jini ndilo linasimamia laana hizo zimalize ukoo hadi kifo.
2. Muzaphari ni jini linalozuia mafanikio.
Ukitupiwa hili jini, hutaweza kufanya jambo lolote ukafanikiwa. Ukikopa shs 500,000 bank kwa ajili ya kuanza bishara, utafilisika na kuingia kwenye deni, na dhamana yako uliyoweka bank kuuzwa. Ukitaka kujiendeleza kimasomo yatatokea matatizo mengi yatakayosababisha kusimamisha masomo yako.
3. Latifu hili jini linasimamia mambo matatu, ufukara, mateso, na pesa zako kupotea katika mazingara ya ajabu ajabu.
4. Jujan ni jini linalosababisha watu kula udongo.
5. Jahad ni jini la kutorosha mali
Makarani wa bank ndio hasa wanaoadhirika na hili jini, utakuta karani anafanya kazi kwa uangalifu mkubwa, lakini kila siku ana shoti ya pesa. Pia kwenye maduka ya kawaida na hasa supermarket.
6.Hazinan hili jini linalosimamia pombe, uvutaji wa sigara, madawa ya kulevya na mirungi.
7. Jube ni jini linalosimamia utasa, vipimo vya hospitali vitaonyesha kuwa huna tatizo lakini mtoto kamwe hapatikani.
8. Sifafiru hili ni jini linalosimamia ukahaba. Likimwingia mtu yeyote, kwa siku atatembea na watu zaidi ya watano bila hamu ya mapenzi kumalizika.
9. Subian hili ni jini linalosimamia ajali. Chakula cha hili jini ni damu.
Linasababisha wanawake wasipate siku zao, wengine wanapata maumivu makali sana wakiwa katika hedhi, utasikia tumbo linakata kuanzia kushoto kwenda kulia na hali hiyo huendelea kwa muda hadi unanza kusikia maumivu makali ya mgongo.
10. Sumri jini hili linanyonga watoto wakiwa tumboni kabla ya kujifungua, pia linajihusisha na kuchukua watoto hospitali kichawi.
11. Munsar hili ni jini linalosimamia ndoa ya jinsia moja.
mwanamke kwa mwanamke au mwanamume kwa mwanamume.
12. Waidadat hili jini linasababisha vijana wa kiume kuvaa hereni, kusuka nywele na rasta.
(MOJA YA HAYO MAJINI NDIO ARSIS)
Mtupe muendelezo wa ComorosDaaaah! Nilitaka nipite kimyakimya ila acha nitie neno. Umejifunzia wapi haya yote ndugu ?, unaweza toa referrence zinazo - support ulichoandika ?
Binafsi nikisoma hiyo comment yako naona wewe ni comedian, Unakipaji cha kuchekesha sana.
Kila la kheri akhy katika safari yako ya kufungua jicho la tatu.Nimekuja kutoa shukraan za dhati kwa Simba na Arsis...... Hizi darsa zenu zilizokaa kama story zimenifunza mengi ya ajabu😭
Japo nilikuwa tayar nishaanza kupika hatua kidogo kabla sijaja humu, ila hivi sasa nimefika level kubwa kidogo japo bado naendelea kukua na kujifunza!!
Katika mafundisho yote ya Arsis mm nilideal na kitu kimoja pekee.... (MLANGO WA MAWASILIANO)
Alhamdulillah huu nimefanikiwa kuumaster vizuri japo kwa 45%
Mwanzo niliweza kuzungumza na majinn nilionao karibu, ikafata kuzungumza na asili ya nyumban na ikafikia kuzungumza na majinn wa mtu mwingine pia nikaweza mpaka kuwasiliana na viumbe wengine ambao wapo angani mbali Sana japo Hawa siwafaham sana ila huwa naweza kuwafikia nikikaa kwenye mlango wa mliman.......
Pia sahv nipo kwenye process ya kufungua jicho la tatu (hapa nishaweza kulifungua zaidi ya 30%)
Ila ndo naendelea kufanya ibada zaidi mpaka lifunguke pia
Kuna siku huko nyuma uliwah kusema mtu ukifanya ibada na kuacha maaswi ndo password ya kila kitu..... Hapo nakubaliana na wewe
Maana hizi power zote mm zimefunguka sababu niliongeza kufanya ibada (nikafunga mwezi mzima bila kula vyakula vyenye roho,,, nikawa mda mwingi nipo ndani sichanganyiki na watu🤝
Hatimaye hali ikawa Kama hvyo!!
Nimekuja tu kutoa shukraan kuwa elim uloitoa wapo walonufaika nayo
Na hapa kwanzia Jana nimenuia tena kufunga mwezi mzima... Kuweka nafsi sawa pia nahakika on process jicho la tatu litafunguka🤝🤝🤝
Ngoja niwaibie Siri... Mwanaadam anauwezo wa kutizama popote anapotaka akiwa hapohapo alipo,,, Yan unauwezo wa kufumba macho na kutizama vilivyo nyuma yako, unauwezo wa kukaa ndani na kutizama nje na popote unapopataka....
Unauwezo wa kumfikiria mtu na kumuona alipo
(Hii ilinitokea mara moja kipindi nipo kwenye funga ya kwanza)
Haya nimemuandikia Simba na Arsis wao wataelewa vizuri zaidi hapa, Allah awabaarik sana 🚶🚶
Pia kwa ambao mlikuwa na mashaka kias kuhusu haya mambo... Ni ya kweli na ambao bado mnaendelea kujifunza kama mm msikate tamaa
Inshallah
Level ya kujibizana nao kam hvyo sijaifikia bado.....!!Kila la kheri akhy katika safari yako ya kufungua jicho la tatu.
Zingatia kila palipo na kheri kuna shari japo ndogo isiyoweza kuonekana, Hivyo katika safari yako hii ya kiroho hakikisha unachunga mpaka wa mabaya na mema, Quran na sunnah ziwe muongozo wako. ALLAH akutangulie.
Nina swali hapo uliposema umeongea na viumbe wa angani japo wapo mbali sana, Unaweza kufafanua kidogo mazungumzo yenu yalihusu nini hasa? mfano labda wanakazi gani, wapoje , wanaitambuaje dunia na wanachukuliaje n.k
Inavutia sanaaa..!Level ya kujibizana nao kam hvyo sijaifikia bado.....!!
Unajua haya mambo yanaenda kwa daraj ya uchamungu, wale n very powerful kuliko hata hawa majinn wa kawaida🤔🤔
Huwa medium of communication ikifunguka.... Nikisema kitu wao wanajibu kwa ishara ila hawazungumz lolote, pia Hawa jamaa huja siku mojamoja Sana... Siku ukifunga halafu hukuzungumza sana, (maana ongea Sana kupunguza nguvu ya nafsi), hukutizama Sana yasiyofaa (Yani hapa simu weka mbali au tumia kisimu cha batani n salama zaidi),,,,,,,,, halafu pia huja pindi unafanya ibada pekeee tena pale kipindi ibada imekolea,
Ni darsa refu kiasi(ila nashindwa kuzungumza Sana sabb haya mambo sijayasoma sehem kwahy huenda ntajitukanisha hapa maan weny elim hum n wengi🤝
Ila kwa hawa majinn wa angan baadhi yao Kama buruhan n.k. Wao ndo tunajibizana kawaida, tena wanahekima kuliko sisi binaadam 🤝
Kias kwamba washanipa mpk addiction yani nikipata Jambo linahitaj hekima nyingi nawauliza wao n marafiki wazuri sana!!!
1. Yah wao wanamfaham Mungu tena hata kutuliko sisi binaadam ni wachamungu sana,,,, wameishi miaka mingi na wanakarama kubwa!!!Inavutia sanaaa..!
Samahani nazidi kuwa na maswali zaidi na nina sababu za kwanini nahitaji kufahamu zaidi kwakuwa umesema hawa majini wa angani kama buruhan unajibizana nao kawaida na wana hekima nisaidie haya maswali.
1. Je ulishawahi kuwauliza juu ya muumba, yaani wao wanatambua muumba wa ulimwengu?
2. Wanakaa katika anga kwa maana ya anga hilihili la kwetu ama anga ni lugha tu imetumika wao wana ulimwengu wao tofauti na huu wa kwetu.
1. Wanamfahamu Mungu kuliko sisi...., Wao wanamtambua Mungu muumba kwa jina gani ambalo mungu amejifunua nalo kwao?1. Yah wao wanamfaham Mungu tena hata kutuliko sisi binaadam ni wachamungu sana,,,, wameishi miaka mingi na wanakarama kubwa!!!
Baadhi yao wanayo elim ya kiungu na wanazijua Siri nyingi ambazo sisi hatuzijui
2. Ulimwengu wa kiroho unataswira ambayo ni tofauti na binaadam wanavyofikiria.....
Majinn wanaishi hapa dunian ila dunia imegawanyika sehem tatu
Maji, ardhini na angani
(Hizo sehemu zote tatu Kuna miji ya majinn )
Kwahyo wanaishi kimatabaka wanamiji yao baharini, ardhin na angani pia ila n hapahapa Dunian
(Ila hii elim ya makaz yao hasa angani naona hawajazama zaid itakuwa Kuna kitu kinafichwafichwa hapa, sabb alitaka kuanza eleza kuhusu mambo ya Mbingu ya kwanza n.k nikaona huko tutafikishana mbali.... Anyway Arsis huenda akawa na maelezo mazur zaidi)
Halafu Kuna kitu kweny comment za mwanzo huko juu nilikosea kidogo.... Nimepata maelezo yake hapa, ila sitokirekebisha maana hakina madhara mpk itokee mtu akigusie🤐