Niliyoyashuhudia ziara ya Rais Obama 2013 sitayasahau

Niliyoyashuhudia ziara ya Rais Obama 2013 sitayasahau

Hili mie huwa nalikumbuka ki tofauti, kipindi siku Obama anatua kuna askari alinikamata pale ubalozi wa ufaransa (alipofia yule shujaa wa bunduki)

Nilikua naendesha gari, yule askari alivyonistopisha akasema kosa langu ninaendesha gari nikiwa naongea na simu.

Tulibishana sana mwisho ikawa utata, ikabidi aombe kuongezewa nguvu(alikua anataka kuchomoa ufunguo wa gari mie nikakataa nikamwambia huwezi kuja kuzima tu gari ghafla hujui imetoka umbali gani)

Basi ila jamaa kuona namzidi akili ikabidi aombe nguvu, wakaja askari wawili na bunduki kutokea pale kwenye kibanda Chao walipopigiwa risasi wenzao,

Tukaenda mpaka oysterbay polisi, duh!! Masiala masiala meza kuu naambiwa vua mkanda, nikaona masiala masiala hapa naweza kulala ndani, na nikiingia leo ni mpaka Obama aondoke ndio nitatolewa.

Nikaona isiwe tabu mjinga mpe cheo, ikabidi nitumie hela badala ya kudai haki yangu nikatoa 15k wakaniachia
Ulitumia akili usingetoka kweli mpaka aondoke
 
Niliyo yashuhudia ziara ya Rais Obama 2013 sitayasahau

Kwa mara ya kwanza nilishuhudia barabara za jiji la Dar zikipigwa deki.

Siku Obama anatua jijini ilikuwa kama siku ya kiyama,mji ulisimama,nakumbuka tulikuwa tunaenda kulipa mahari ya rafiki yetu maendeo ya msasani,tulitumia masaa kama nane kutoka Tabata mpaka msasani,kufika ukweni saa nne usiku,Baba mkwe akasema wajinga ninyi wapare mna dharau rudini hatupokei mahari yenu,tukamuelewesha akatuelewa,mahari ikapokelewa.

Miezi miwili kabla Hotel ya Kilimanjaro ilishafanyiwa booking hakuna mtu aliruhusiwa kuingia,watumishi wote wakifanyiwa vetting upya,wengine walioewa likizo fupi mpaka Obama alivyoondoka.

Ikulu yetu haikubaki salama ifanyiwa scanning sitazielezea kulinda heshima ya nchi ila kituko kimoja sitakisahau.

Kuna press conference iliandaliwa nje ya viwanja vya Ikulu ambapo Rais Kikwete na mgeni wake wangeongea na waandishi.

Ikulu ikatoa ratiba ya muda wa hiyo press,naofisa wa Obama wakaichana chana wakisema muda huo si rafiki maana kutakuwa na mvua viunga vya Ikulu wakaomba ratiba isogezwe mbele masaa mawili.

Mzungu ni hatari muda uleule uliokuwa umepangwa na maofisa wa ikulu lilitanda wingu mvua ikapiga kwa muda wa lisaa limoja na nusu,ilikatika nusu saa kabla ya muda waliopendekeza wasaidizi wa Rais Obama,kumbe mvua wakishaiona kitambo kwenye mitambo yao.
Miaka hii unashangaa prediction ya mvua mkuu?
 
nakumbuka kuna mtu fulani mchizi alikuwa analala chini ya daraja la reli karibu pale majani ya Chai, kuingia barabara ilipokuwa zamani Tigo makao makuu.. Sasa kumbe FBI washamfuatilia yule msela zaidi ya mwezi, anaenda kariokoo anachukua mabox matupu anakuja anatandika hapo analala chini ya kidaraja fulani kilikuwa pale...Jamaa wanazoom kama mwezi hivi, wakajua hana issue.. Basi ilivyokaribia ujio wa Obama, FBI wakawambia polisi wetu, kuna mtu analala pale kwenye daraja.. Tumemchunguza hana madhara, ila kamtoeni pale ... Polisi, unavyojua walimshukia kama mwewe, hinginja hingija, tupa kule, mtama , tanganyika jeshi.... Wale FBI wanawashangaa hawa polisi, wakawambia huyo hana madhara ...

Yaani hiyo kitu ilikuwa hatari tupu..
 
nakumbuka kuna mtu fulani mchizi alikuwa analala chini ya daraja la reli karibu pale majani ya Chai, kuingia barabara ilipokuwa zamani Tigo makao makuu.. Sasa kumbe FBI washamfuatilia yule msela zaidi ya mwezi, anaenda kariokoo anachukua mabox matupu anakuja anatandika hapo analala chini ya kidaraja fulani kilikuwa pale...Jamaa wanazoom kama mwezi hivi, wakajua hana issue.. Basi ilivyokaribia ujio wa Obama, FBI wakawambia polisi wetu, kuna mtu analala pale kwenye daraja.. Tumemchunguza hana madhara, ila kamtoeni pale ... Polisi, unavyojua walimshukia kama mwewe, hinginja hingija, tupa kule, mtama , tanganyika jeshi.... Wale FBI wanawashangaa hawa polisi, wakawambia huyo hana madhara ...

Yaani hiyo kitu ilikuwa hatari tupu..
Polisi wetu vichekesho
 
Niliyoyashuhudia ziara ya Rais Obama 2013 sitayasahau.

Kwa mara ya kwanza nilishuhudia barabara za jiji la Dar zikipigwa deki.

Siku Obama anatua jijini ilikuwa kama siku ya kiyama, mji ulisimama, nakumbuka tulikuwa tunaenda kulipa mahari ya rafiki yetu maeneo ya Msasani, tulitumia masaa kama nane kutoka Tabata mpaka Msasani, kufika ukweni saa nne usiku.
B
aba mkwe akasema wajinga ninyi wapare mna dharau rudini hatupokei mahari yenu, tukamuelewesha akatuelewa, mahari ikapokelewa.

Miezi miwili kabla Hotel ya Kilimanjaro ilishafanyiwa booking hakuna mtu aliruhusiwa kuingia, watumishi wote wakifanyiwa vetting upya, wengine walipewa likizo fupi mpaka Obama alivyoondoka.

Ikulu yetu haikubaki salama ikafanyiwa scanning sitazielezea kulinda heshima ya nchi ila kituko kimoja sitakisahau.

Kuna press conference iliandaliwa nje ya viwanja vya Ikulu ambapo Rais Kikwete na mgeni wake wangeongea na waandishi.

Ikulu ikatoa ratiba ya muda wa hiyo press, na ofisa wa Obama wakaichana chana wakisema muda huo si rafiki maana kutakuwa na mvua viunga vya Ikulu wakaomba ratiba isogezwe mbele masaa mawili.

Mzungu ni hatari muda uleule uliokuwa umepangwa na maofisa wa Ikulu lilitanda wingu mvua ikapiga kwa muda wa lisaa limoja na nusu, ilikatika nusu saa kabla ya muda waliopendekeza wasaidizi wa Rais Obama, kumbe mvua walishaiona kitambo kwenye mitambo yao.
Makazi mwenge by then pale mitaa ya mpakani mwenge umati mkubwa wa watu mabarabarani tukiwa tuna bung'aa / shangaa shangaa na gari zilipita kwa mwendo wa speed Kali..

Inasemwa Kuna nyambizi pia ma monuary za kivita ziliweka kambi baharini pia angani kulikua na dege kubwa lisilo onekana limesimama kwa ulinzi..

😊
 
Makazi mwenge by then pale mitaa ya mpakani mwenge umati mkubwa wa watu mabarabarani tukiwa tuna bung'aa / shangaa shangaa na gari zilipita kwa mwendo wa speed Kali..

Inasemwa Kuna nyambizi pia ma monuary za kivita ziliweka kambi baharini pia angani kulikua na dege kubwa lisilo onekana limesimama kwa ulinzi..

😊
Kuhusu nyambizi inawezekana
 
Back
Top Bottom