Niliyoyashuhudia ziara ya Rais Obama 2013 sitayasahau

Niliyoyashuhudia ziara ya Rais Obama 2013 sitayasahau

Niliyoyashuhudia ziara ya Rais Obama 2013 sitayasahau.

Kwa mara ya kwanza nilishuhudia barabara za jiji la Dar zikipigwa deki.

Siku Obama anatua jijini ilikuwa kama siku ya kiyama, mji ulisimama, nakumbuka tulikuwa tunaenda kulipa mahari ya rafiki yetu maeneo ya Msasani, tulitumia masaa kama nane kutoka Tabata mpaka Msasani, kufika ukweni saa nne usiku.
B
aba mkwe akasema wajinga ninyi wapare mna dharau rudini hatupokei mahari yenu, tukamuelewesha akatuelewa, mahari ikapokelewa.

Miezi miwili kabla Hotel ya Kilimanjaro ilishafanyiwa booking hakuna mtu aliruhusiwa kuingia, watumishi wote wakifanyiwa vetting upya, wengine walipewa likizo fupi mpaka Obama alivyoondoka.

Ikulu yetu haikubaki salama ikafanyiwa scanning sitazielezea kulinda heshima ya nchi ila kituko kimoja sitakisahau.

Kuna press conference iliandaliwa nje ya viwanja vya Ikulu ambapo Rais Kikwete na mgeni wake wangeongea na waandishi.

Ikulu ikatoa ratiba ya muda wa hiyo press, na ofisa wa Obama wakaichana chana wakisema muda huo si rafiki maana kutakuwa na mvua viunga vya Ikulu wakaomba ratiba isogezwe mbele masaa mawili.

Mzungu ni hatari muda uleule uliokuwa umepangwa na maofisa wa Ikulu lilitanda wingu mvua ikapiga kwa muda wa lisaa limoja na nusu, ilikatika nusu saa kabla ya muda waliopendekeza wasaidizi wa Rais Obama, kumbe mvua walishaiona kitambo kwenye mitambo yao.
Mambo mawili muhimu uliyoyasahau kuyaeelezea ni kuhusu mtandao wa mawasiliano ya simu za mkononi kukatwa na walinzi wa taifa kuwekwa kando.

Simu zilibakia kuwa ni culculator na torch mode.

Wakazi wote wa Dsm walifanywa wachumba kimawasiliano, wakawa wanatembea kwa miguu kupeana taarifa maana kitendo cha bwana mkubwa kutia mguu, simu zikawa ni makopo ya kuchezea gemu na midori, hakuna chanzo kilichoeleza simu zimekatwa na nani na zimekatiwa wapi.

Na jeshi letu la nchi kugeuzwa migambo pale jeshi la Marekani liliponza kufanya doria na wanajeshi wetu kutakiwa wajiweke kando, mbali kabisa na shughuli hizo hadi ziara ya wakubwa itakapomalizika.
 
Niliyoyashuhudia ziara ya Rais Obama 2013 sitayasahau.

Kwa mara ya kwanza nilishuhudia barabara za jiji la Dar zikipigwa deki.

Siku Obama anatua jijini ilikuwa kama siku ya kiyama, mji ulisimama, nakumbuka tulikuwa tunaenda kulipa mahari ya rafiki yetu maeneo ya Msasani, tulitumia masaa kama nane kutoka Tabata mpaka Msasani, kufika ukweni saa nne usiku.
B
aba mkwe akasema wajinga ninyi wapare mna dharau rudini hatupokei mahari yenu, tukamuelewesha akatuelewa, mahari ikapokelewa.

Miezi miwili kabla Hotel ya Kilimanjaro ilishafanyiwa booking hakuna mtu aliruhusiwa kuingia, watumishi wote wakifanyiwa vetting upya, wengine walipewa likizo fupi mpaka Obama alivyoondoka.

Ikulu yetu haikubaki salama ikafanyiwa scanning sitazielezea kulinda heshima ya nchi ila kituko kimoja sitakisahau.

Kuna press conference iliandaliwa nje ya viwanja vya Ikulu ambapo Rais Kikwete na mgeni wake wangeongea na waandishi.

Ikulu ikatoa ratiba ya muda wa hiyo press, na ofisa wa Obama wakaichana chana wakisema muda huo si rafiki maana kutakuwa na mvua viunga vya Ikulu wakaomba ratiba isogezwe mbele masaa mawili.

Mzungu ni hatari muda uleule uliokuwa umepangwa na maofisa wa Ikulu lilitanda wingu mvua ikapiga kwa muda wa lisaa limoja na nusu, ilikatika nusu saa kabla ya muda waliopendekeza wasaidizi wa Rais Obama, kumbe mvua walishaiona kitambo kwenye mitambo yao.
Mimi nakumbuka ubungo yote mdudu wa malaria ayeyeitwa mbu alitoweka kwa wiki mbili. Hapo ndipo nikajifunza malaria na mradi wa watu.
 
Niliyoyashuhudia ziara ya Rais Obama 2013 sitayasahau.

Kwa mara ya kwanza nilishuhudia barabara za jiji la Dar zikipigwa deki.

Siku Obama anatua jijini ilikuwa kama siku ya kiyama, mji ulisimama, nakumbuka tulikuwa tunaenda kulipa mahari ya rafiki yetu maeneo ya Msasani, tulitumia masaa kama nane kutoka Tabata mpaka Msasani, kufika ukweni saa nne usiku.
B
aba mkwe akasema wajinga ninyi wapare mna dharau rudini hatupokei mahari yenu, tukamuelewesha akatuelewa, mahari ikapokelewa.

Miezi miwili kabla Hotel ya Kilimanjaro ilishafanyiwa booking hakuna mtu aliruhusiwa kuingia, watumishi wote wakifanyiwa vetting upya, wengine walipewa likizo fupi mpaka Obama alivyoondoka.

Ikulu yetu haikubaki salama ikafanyiwa scanning sitazielezea kulinda heshima ya nchi ila kituko kimoja sitakisahau.

Kuna press conference iliandaliwa nje ya viwanja vya Ikulu ambapo Rais Kikwete na mgeni wake wangeongea na waandishi.

Ikulu ikatoa ratiba ya muda wa hiyo press, na ofisa wa Obama wakaichana chana wakisema muda huo si rafiki maana kutakuwa na mvua viunga vya Ikulu wakaomba ratiba isogezwe mbele masaa mawili.

Mzungu ni hatari muda uleule uliokuwa umepangwa na maofisa wa Ikulu lilitanda wingu mvua ikapiga kwa muda wa lisaa limoja na nusu, ilikatika nusu saa kabla ya muda waliopendekeza wasaidizi wa Rais Obama, kumbe mvua walishaiona kitambo kwenye mitambo yao.
Wenzetu wapo mbele ya muda sana🤠🤠😀😀😐😐
 
Waafrika bado sana asee uyu uyu bwege akienda Uk.russia .China shughuli zinaendelea kama kawaida..ata south Africa sizani kama ni maboya kama sisi
Jambo kubwa uelewe ni kwamba, hatuaminiki kwa sababu ya rushwa na ufisadi.

Kwa hiyo wakiingia kwenye nchi za namna hiyo, hawataki kabisa Rais wao ahudumiwe na staff ama walinzi wa kwetu, kazi zote za kiutawala na kiulinzi hufanya wao, maana nchi za mafisadi ni rahisi sana kwa staff kufika bei kununuliwa na kufanya madhara.
 
kuna wanafunzi wa azania walikuepo kwenye kumpokea obama

alikuwepo uncle wangu hapo.. aliniambia hivi

uncle alipokuwa akitusogelea obama kutupungia mkono wanafunzi wote tulihisi kama mazonge hivi,

kama wamekula madawa kiasi kwamba huwezi fanya chochote kupiga kelele wala sijui kama unataka kuleta fujo

aliniambia alizani ni yeye tu sasa kwenye kushare na wanae wakamwambia sisi pia tulijisikia hivyo hivyo

mpaka leo nashindwa kuelewa ilikuwa ni issue gani hapo
 
Hofu tu amna kitu cha ajabu ni kama uone dude kubwa mbele yako
kuna wanafunzi wa azania walikuepo kwenye kumpokea obama

alikuwepo uncle wangu hapo.. aliniambia hivi

uncle alipokuwa akitusogelea obama kutupungia mkono wanafunzi wote tulihisi kama mazonge hivi,

kama wamekula madawa kiasi kwamba huwezi fanya chochote kupiga kelele wala sijui kama unataka kuleta fujo

aliniambia alizani ni yeye tu sasa kwenye kushare na wanae wakamwambia sisi pia tulijisikia hivyo hivyo

mpaka leo nashindwa kuelewa ilikuwa ni issue gani hapo
 
nakumbuka kuna mtu fulani mchizi alikuwa analala chini ya daraja la reli karibu pale majani ya Chai, kuingia barabara ilipokuwa zamani Tigo makao makuu.. Sasa kumbe FBI washamfuatilia yule msela zaidi ya mwezi, anaenda kariokoo anachukua mabox matupu anakuja anatandika hapo analala chini ya kidaraja fulani kilikuwa pale...Jamaa wanazoom kama mwezi hivi, wakajua hana issue.. Basi ilivyokaribia ujio wa Obama, FBI wakawambia polisi wetu, kuna mtu analala pale kwenye daraja.. Tumemchunguza hana madhara, ila kamtoeni pale ... Polisi, unavyojua walimshukia kama mwewe, hinginja hingija, tupa kule, mtama , tanganyika jeshi.... Wale FBI wanawashangaa hawa polisi, wakawambia huyo hana madhara ...

Yaani hiyo kitu ilikuwa hatari tupu..
Umenifanya nimecheka sana🤣🤣
 
Tukumbuke kwamba Tanzania wana historia nayo mbaya katika masuala ya ugaidi. Ubalozi wao ulishawahi kukumbwa na tukio.

Kituko zaidi walikiona watumishi wa airport kule, kwani wao waligeuzwa kuwa kama abiria tu, shughuli zote walihodhi USA, hadi uwanja wa jeshi ulikuwa chini yao. Chochote walichokiona ni tishio kiliondolewa hata kama kilikuwa kwenye eneo la jeshi, Ile miti ilipunguzwa matawi yaani wakazi wa eneo lile hakuna rangi walikosa kuiona.
 
Back
Top Bottom