Niliyoyashuhudia ziara ya Rais Obama 2013 sitayasahau

Yaani unaweza kusema walituvua nguo kabisa
 
Labda jamaa walipuliza hewa ya kufubaza ubongo
 
Ile mvua, shikamoo …(…..)
 
Yaani unaweza kusema walituvua nguo kabisa
Pamoja na yote hayo kufanyika, hakuna kiongozi aliyehoji hali hiyo kutokea, kisababishi pamoja na impact yake.

Waafrika saazingine tuna akili kama za ngiri.

Ngiri akifukuzwa na simba, akapiga chenga na kusevu, huwa hana muda wa kutafakari, ama hata angalao tu dakika moja ya kusimama kusikilizia hofu inavyodundisha moyo, hakuna.

Akisimama ni muda huo huo kuanza kuchakurachakura udongo kutafuta minyoo chakula chake pendwa, keshasahau.
 
Hii kali aisee
 
Teh teh 😃 😃 😃 dah!...maisha haya..
 
Aisee mi nakumbuka nilikuwa nakaa migomigo wapangaji wenzangu wote wakatoka kwenda barabarani kwenda kuuona msafara wa obama mi nikasema upuuzi huo siufanyi nikawasha feni nikalala usingizi wa maana nimekuja kuamka bado wako barazani wanasimuliana kuhusu msafara wa obama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…