Trump hayupo MadarakaniJKNIA control tower waliweka mtu wao pia na vifaa vyao. Jamaa walizagaa kwenye mapaa(rooftops) ya majengo na silaha zao.
Cha kushangaza walishindwa kumlinda Trump kwao.
Basi RFK angesalimika kuuwawa.Trump hayupo Madarakani
Angekuwa madarakani lile eneo hata nzi hasogei
Kuhusu Mvua hii ni kweli kabisa!Ya kwel ayo?
Baada ya Kennedy kuuawa ndio USA wakaamka usingizini na kuwekeza resources kwenye ulinzi wa incumbent oresident,maana ilikuwa aibu if and only if kifo chake kana hakukupangwa na watu wa system,maana USA hawaaminiki kwa maigizoBasi RFK angesalimika kuuwawa.
Nchi ilikuwa chini ya ulinzi wa CIA,hawa polisi wetu waligeuka migamboMimi nilikua pale junction ya mabibo na mazense tulikua chini ya ghorofa Moja pale ghafla tukashangaa njemba Moja lakimarekani lipo kule juu Ghorofani na Darubini hatujui lilipitia wapi na lilipita saa ngapi..lenyewe lina scan barabarani tu.
HakikaNchi ilikuwa chini ya ulinzi wa CIA,hawa polisi wetu waligeuka migambo
Nafikiri anachoshangaa ni wao kuwa na exactly time.Miaka hii unashangaa prediction ya mvua mkuu?
Polisi wa Bongo nguvu nyingi akili kidogo.nakumbuka kuna mtu fulani mchizi alikuwa analala chini ya daraja la reli karibu pale majani ya Chai, kuingia barabara ilipokuwa zamani Tigo makao makuu.. Sasa kumbe FBI washamfuatilia yule msela zaidi ya mwezi, anaenda kariokoo anachukua mabox matupu anakuja anatandika hapo analala chini ya kidaraja fulani kilikuwa pale...Jamaa wanazoom kama mwezi hivi, wakajua hana issue.. Basi ilivyokaribia ujio wa Obama, FBI wakawambia polisi wetu, kuna mtu analala pale kwenye daraja.. Tumemchunguza hana madhara, ila kamtoeni pale ... Polisi, unavyojua walimshukia kama mwewe, hinginja hingija, tupa kule, mtama , tanganyika jeshi.... Wale FBI wanawashangaa hawa polisi, wakawambia huyo hana madhara ...
Yaani hiyo kitu ilikuwa hatari tupu..
Mwaka juzi tuliambiwa kuna tsunami tutoke maeneoya karibu na bahari,tulifunga ofisi saa sita,mpaka leo tsunami haijaja,mara kadhaa watabiri wanapredict uongo,mwaka huu tu walisema mvua za vuli zitaanza septermbermwishoni.mara october mwishoni,jana imenyesha mvua mwanza haijakata mpaka leo.hawako accurateUtabiri wa hali ya hewa upo toka miaka ya awali huko au a quick google search inakuonyesha a 10-days weather forecast na 2013 google tayari ipo kila kona. Hii ni chai.
Kikubwa ni kwamba DSM yote ilipuliziwa dawa ya mbu, mbu wote waliisha zile siku kadhaa hadi Obama alipoondoka bongo ikarudi kwenye default settings mbu, nzi, kunuka.
Mwaka juzi tuliambiwa kuna tsunami tutoke maeneoya karibu na bahari,tulifunga ofisi saa sita,mpaka leo tsunami haijaja,mara kadhaa watabiri wanapredict uongo,mwaka huu tu walisema mvua za vuli zitaanza septermbermwishoni.mara october mwishoni,jana imenyesha mvua mwanza haijakata mpaka leo.hawako accurate
Ila kwa wenzetu accuracy rate yao uko vizuri,ukitoa boko sana mji mzima ukabeba miavuli na lisipige hata tone la mvua Kazi unayoNdo maana unaitwa utabiri wa hali ya hewa kwa kimombo the weather forecast. Hii ndo kazi pekee unayoweza kutoa boko repeatedly na bado ukaendelea kuwa na kibarua chako.
Wengi wao wanakula kodi kwenye nyumba za urithi.....Tena vile vya karume ilala mitaa ya tff.
Pale wajuaji wengi kuliko walimu wa vyuo vikuu...Hiki kijiwe chake cha buguruni wajinga sana wale..
JFKBasi RFK angesalimika kuuwawa.