Nillan sio Mtoto wa Diamond Platnumz, Wema Sepetu analala Madale

Nillan sio Mtoto wa Diamond Platnumz, Wema Sepetu analala Madale

Wabongo bwana wakishamuamini mtu basi hata aseme nini wanaamini.
Mange huyu huyu alituambia kuwa diamond baada ya kutoka clouds ataenda kwa hamisa na yale aliyosema kwenye interview wamepanga ili kumtuliza zari.
Akatuambia hata zile picha na video diamond ndiye kamwambia hamisa aziachie.
Leo hii yako wapi kama walipanga mbona wamefikishana mahakamani.
Yaa kuambiwa changanya na akili yako...
Umeona eeeh? Halafu huyo mtoto wa hamisa mwenyewe hata sioni km wanafanana na mondi, bora hata Nillan mdomo.
 
Zari Bado naamin ww ni jasiri sana. Na Bado najua haya yote utatakiwa salama. Jipe moyo mkuu usirudi nyuma no matter what let them say manake they aren't worth your energy and time maa. Kuwa mwanamke mtoshelevu ni raha sana. Kwasasa mwanaume ndio anajitekenya mwenyewe

Zari ni member hapa JF??
 
Mmh aiseee mna maneno makali kisa dini,dai mwenyewe wa zinaa hivyo ngoma droo. Acheni kuhukumu hivyo wakuu daah
Hapana siyo maneno makali Ndio ukweli huo ulio sahihi. Mtoto yoyote aliyezaliwa nje ya ndoa ni haramu kwa baba yake iwe Mimi au mwingine.
 
Nimewaza why Diamond anafanya ubinadamu huu kwa Zari
Mange hawafahamu wanaume! Mwanaume wa kweli lazima atafimchia mwanamke/mke wake jambo kama hilo!!! Hata baba zetu humu majumbani huwa wanafahamu kwamba huyu na yule sio wangu lakini kwa kumsitiri mkewe, wanaamua kuuchuna!!!!

Mwanaume hawezi kuonaa aibu eti kisa amelea mimba isiyo yake manake kuna wanaume kibao tu wanalea mimba ambazo sio zao!!
 
Inasemekana daimond alivyokwenda south akamchukua Nillan na kwenda kupima nae Dna kimya kimya majibu yakatoka 99%sio wake,,
Wabongo tulikataa kua mbona huyu mtoto anamfanana marehemu ivan,,

Team zari jiandaen kuja madale kwa kukimbiaa [emoji23][emoji23]
Zari kabadili profile name kwenye page za watoto na ndip ugomvi mkubwa kisa hilii, ,,we daimond nae kwenda kuzaa na bibi ukomegee

Halaf wema kajirudisha Madale ana wiki analala hapo,,duuu huko madale kutakua kutamu sana aisee

====

mange kimambi anasema;

Okay ni hivi hawa watu Dai na Zari ugomvi wao ni mkubwa mnoooooooooooooooo! Kwa kifupi it's over! Na labda Dai asilaumiwe sana! Haki yawezekana Dai kitombi Ila kwa hili Dai anamstiri Zari kushinda maelezo...

Mnakumbuka niliwahi kuandika kuwa Dai aliwahi Kumdai Zari DNA ya Nillan! Well guess what?? Hii juzi Dai alivyoenda SA, kampima Nillan DNA kisirisiri akakuta Nillan sio mtoto wake....... Unaambiwa kiliwakaaaaaa huko sauzi!! kumbe dogo alikuwa anaibiwa!!

Na jana baada ya Zari kuposti huko Tweeter kwamba hatokwenda Uganda na Diamond kwenye hiyo festival Unaambiwa Diamond kachukiaa mbayaaaa anamwaribia biashara sababu angekaaa kimya ili Watu wasijue kuwa haendi, basi Dai akaandika kwenye group la WCB huyu mwanamke nitamdhalilisha mpaka ashangae, meaning ataongea issue ya Nillan. Jamani screenshot ninayo naogopa kuposti coz inaweza julikana nani kamunch kwenye hilo group la WCB.

Alieniletea hiii habari ni mtu very credible. Sio habari za kuokota!! Yani haina chenga. Pia Kama we mjanja utakuwa umenoti kuwa Dai kamposti Tiffah tu alivyoenda Sauzi.
Nimewaza sana why Diamond anamstiri Zari?Imagine amesha-find out 100% Nillan sio mtoto wake na amekaaa kimya! Ndo maana Zari kabadilisha mpaka profile names za watoto,Dai anatishia atasema kakuta Nillan sio wake. Nimewaza why Diamond anafanya ubinadamu huu kwa Zari Ila jibu ni moja tu, sio kwamba anamprotect Zari tu ila anajiprotect na yeye mwenyewe kwa aibuuuuuu. Atachekwaaaaaaa kabambikiwa mtoto. Kalea mimba sio yake, kafanya arobaini ya mtoto sio wake!

Jamani mnaambiwa Dai kadai DNA kwa Zari mpaka kachoka Zari anagoma !!! Ndo hivyo kafanya juzi!

Sidhani kuna siku ningeona Dai sio mtu mbaya Ila kwa hili nampa pongezi aiseeee Dai anamstiri Zari.

Mniamini 100% kuwa Dai kampima Nillan DNA juzi Sauzi bila Zari kujua akakuta mtoto sio wake. Hao kina Hamornize wooote wanajua!

Kati ya vyote kilichonistua ni kuambiwa mdogo wangu Wema analala Madale hiii wiki nzima!!! Doh nimechoka kabisaaa, tunamwambia Zari aondoke mdogo wangu ndo anaenda kulala huko? . Unaambiwa Dai ni anaenda kula kwa Wema kila siku, anapikiwa mashatashata .Basi rudini kulala
Habar za Instagram waachie akina GIGGY money.
Unatafuta umaarufu huku GT's?
Tutakupuuza tu.
 
MTOTO WA MWENZIO NI WAKO, DIAMOND AMLEE TU NILLAN, MBONA YEYE ALIMPORA ZARI KWA IVAN
 
Inasemekana daimond alivyokwenda south akamchukua Nillan na kwenda kupima nae Dna kimya kimya majibu yakatoka 99%sio wake,,
Wabongo tulikataa kua mbona huyu mtoto anamfanana marehemu ivan,,

Team zari jiandaen kuja madale kwa kukimbiaa [emoji23][emoji23]
Zari kabadili profile name kwenye page za watoto na ndip ugomvi mkubwa kisa hilii, ,,we daimond nae kwenda kuzaa na bibi ukomegee

Halaf wema kajirudisha Madale ana wiki analala hapo,,duuu huko madale kutakua kutamu sana aisee

====

mange kimambi anasema;

Okay ni hivi hawa watu Dai na Zari ugomvi wao ni mkubwa mnoooooooooooooooo! Kwa kifupi it's over! Na labda Dai asilaumiwe sana! Haki yawezekana Dai kitombi Ila kwa hili Dai anamstiri Zari kushinda maelezo...

Mnakumbuka niliwahi kuandika kuwa Dai aliwahi Kumdai Zari DNA ya Nillan! Well guess what?? Hii juzi Dai alivyoenda SA, kampima Nillan DNA kisirisiri akakuta Nillan sio mtoto wake....... Unaambiwa kiliwakaaaaaa huko sauzi!! kumbe dogo alikuwa anaibiwa!!

Na jana baada ya Zari kuposti huko Tweeter kwamba hatokwenda Uganda na Diamond kwenye hiyo festival Unaambiwa Diamond kachukiaa mbayaaaa anamwaribia biashara sababu angekaaa kimya ili Watu wasijue kuwa haendi, basi Dai akaandika kwenye group la WCB huyu mwanamke nitamdhalilisha mpaka ashangae, meaning ataongea issue ya Nillan. Jamani screenshot ninayo naogopa kuposti coz inaweza julikana nani kamunch kwenye hilo group la WCB.

Alieniletea hiii habari ni mtu very credible. Sio habari za kuokota!! Yani haina chenga. Pia Kama we mjanja utakuwa umenoti kuwa Dai kamposti Tiffah tu alivyoenda Sauzi.
Nimewaza sana why Diamond anamstiri Zari?Imagine amesha-find out 100% Nillan sio mtoto wake na amekaaa kimya! Ndo maana Zari kabadilisha mpaka profile names za watoto,Dai anatishia atasema kakuta Nillan sio wake. Nimewaza why Diamond anafanya ubinadamu huu kwa Zari Ila jibu ni moja tu, sio kwamba anamprotect Zari tu ila anajiprotect na yeye mwenyewe kwa aibuuuuuu. Atachekwaaaaaaa kabambikiwa mtoto. Kalea mimba sio yake, kafanya arobaini ya mtoto sio wake!

Jamani mnaambiwa Dai kadai DNA kwa Zari mpaka kachoka Zari anagoma !!! Ndo hivyo kafanya juzi!

Sidhani kuna siku ningeona Dai sio mtu mbaya Ila kwa hili nampa pongezi aiseeee Dai anamstiri Zari.

Mniamini 100% kuwa Dai kampima Nillan DNA juzi Sauzi bila Zari kujua akakuta mtoto sio wake. Hao kina Hamornize wooote wanajua!

Kati ya vyote kilichonistua ni kuambiwa mdogo wangu Wema analala Madale hiii wiki nzima!!! Doh nimechoka kabisaaa, tunamwambia Zari aondoke mdogo wangu ndo anaenda kulala huko? . Unaambiwa Dai ni anaenda kula kwa Wema kila siku, anapikiwa mashatashata .Basi rudini kulala
Umesahau kumpa credit [HASHTAG]#mangekimabi[/HASHTAG]
 
mkuu karibu hapa ndio celebrities, ukitaka ujasiliamali twende nikupeleke mahali husika....
hapa ni habari za celebrities tu....
Au akitaka Siasa pia mpeleke Jukwaa lake,
Kaja kufanya nini huku??
 
Miaka miwili mtu ajaingia jikoni halafu unasema una mpenzi? Bora niwe nanunua.
 
Watu bwana wakati wa tiffa walikua wanataka DNA sasa hv tifa ndio wa diamond ila nillan siyo wake
 
Wengi wanamchukia nillan kwa sababu ni mtoto wa kiume(tena wa zari) mwenye haki ya kurithi mali za baba yake kwa sheria za dini ya dai. Tiffa hawamtaji wala kumtukana kama zaman alipokua mchanga
Kwa mujibu wa dini ya Dai hakuna hata mmoja hapo mwenye haki ya kurithi mali za Dai, na kwa mujibu wa dini ya dai Tiffah na Nillan wote wanastahili kumrithi baba yao kama wangekuwa naye baba wa kisheria..!!
 
Diamond kummega Zari, na wanawake wengine HAIWEZI KUWA STORY. Ni wanawake zake.

Huyo mtoto kuwa wa sio wa Diamond, haiwezi kuwa story pia kwa sababu wana maisha yao na matumizi ya huyo mtoto hayajampunguzia chochote Diamond kwa utajiri alionao.

STORY NI PALE UNAPOSIKIA DIAMOND KAMLAMBA KIDUME CHOCHOTE CHA PALE WCB. Angekuwa kamlamba Harmonize, Rayvanny au yeyote ndo ingevutia. Ila kama ni hao wanawake, acha ale tu.
 
Back
Top Bottom