Nime wamiss sana wanaume wa humu

Mmhhhhhh , nilipokua mdogo tukienda kwa bibi tulikua tukitaka kukamata njiwa wa Jiran.. Basi tunapanga punje za mahindi, kuanzia nje mpaka ndan,,, so njiwa akifika, anaanza kudonoa punje moja baada ya nyingine moja mpaka anakuja kustuka Yupo ndan na mlango umefungwa !!

Ndio nayoyaona. Mimi sijakumis Mkuu.
 
Usijal wanakuja Pm muda si mrefu. Wanaume twategeka sana ila warusha wanasema GASTUKA NAMACHALI KUNDESAA
 
Mkuu nimekuelewa
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…