Nime wamiss sana wanaume wa humu

Nime wamiss sana wanaume wa humu

Mmhhhhhh , nilipokua mdogo tukienda kwa bibi tulikua tukitaka kukamata njiwa wa Jiran.. Basi tunapanga punje za mahindi, kuanzia nje mpaka ndan,,, so njiwa akifika, anaanza kudonoa punje moja baada ya nyingine moja mpaka anakuja kustuka Yupo ndan na mlango umefungwa !!

Ndio nayoyaona. Mimi sijakumis Mkuu.
 
Mmhhhhhh , nilipokua mdogo tukienda kwa bibi tulikua tukitaka kukamata njiwa wa Jiran.. Basi tunapanga punje za mahindi, kuanzia nje mpaka ndan,,, so njiwa akifika, anaanza kudonoa punje moja baada ya nyingine moja mpaka anakuja kustuka Yupo ndan na mlango umefungwa !!

Ndio nayoyaona. Mimi sijakumis Mkuu.
Mkuu nimekuelewa
 
Mmhhhhhh , nilipokua mdogo tukienda kwa bibi tulikua tukitaka kukamata njiwa wa Jiran.. Basi tunapanga punje za mahindi, kuanzia nje mpaka ndan,,, so njiwa akifika, anaanza kudonoa punje moja baada ya nyingine moja mpaka anakuja kustuka Yupo ndan na mlango umefungwa !!

Ndio nayoyaona. Mimi sijakumis Mkuu.
 
Back
Top Bottom