Nime wamiss sana wanaume wa humu

Nime wamiss sana wanaume wa humu

Ww ndyo mwanamke wa kwanza kuni-miss,nakupenda sana Laazizi wangu,nakupenda hata kivuli changu kinajua,nakupenda shahidi yangu hackerchief yangu inayofuta machozi yangu sababu yako ww 'Paulinray'
Nakupenda sana mtoto mzur...nipo tayar kufa kwaajili yako,endelea kuni-miss baby wangu Paulnaray!
 
Bonjour
Nakupata tokea France niko na Mbappe
Kakumis pia
 
Ww ndyo mwanamke wa kwanza kuni-miss,nakupenda sana Laazizi wangu,nakupenda hata kivuli changu kinajua,nakupenda shahidi yangu hackerchief yangu inayofuta machozi yangu sababu yako ww 'Paulinray'
Nakupenda sana mtoto mzur...nipo tayar kufa kwaajili yako,endelea kuni-miss baby wangu Paulnaray!
santeeeeeeee
 
paulina ray wewe mtaje tu usizunguke mbuyuuuuu. Mtaje tu shem wetu hapa na kwamba umemiss mambo yake kwa nini uzunguka kote huko?
 
Back
Top Bottom