monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
dodo au
santeeeeeeeeWw ndyo mwanamke wa kwanza kuni-miss,nakupenda sana Laazizi wangu,nakupenda hata kivuli changu kinajua,nakupenda shahidi yangu hackerchief yangu inayofuta machozi yangu sababu yako ww 'Paulinray'
Nakupenda sana mtoto mzur...nipo tayar kufa kwaajili yako,endelea kuni-miss baby wangu Paulnaray!
Nilitaka kukuletea MAPOCHOPOCHOya kazi gani sasa???
Hahahaaa. Hebu niache best. Hivyo bila huu uzi hata nisingeyajua haya.[emoji3] [emoji3] [emoji3] kabisa na ni kama nilivyokumisimo wewe best
Natahitaji mwanaume nipo seriousnime wamis sana wanaume wa hum sjui kwanini
nime mis uchangamfu wenu.
Hahahaha, uchokozi huo[emoji23] [emoji23] [emoji23] umepewa jibu dry sana mkuuu
Mbona mimi sikujui mama karibu tujuane basi..!nime wamis sana wanaume wa hum sjui kwanini
nime mis uchangamfu wenu.
Hahaha,inawezekana aisee.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] itakuwa huwa mnachangamka sana Kaka ila ndio wengine hamjijui.
Hahahahahaahahaaaaaaa.sio wewe
wewe ni KE
mbona una tabia za KE????Hahahahahaahahaaaaaaa.
Mimi ni ME
sio weweMbona mimi sikujui mama karibu tujuane basi..!
Natahitaji mwanaume nipo serious
Mkuu, kwanza samahani kwa kuchelewa kufika kwenye huu Uzi..... Minaomba kwanza unijibu swali nililo kuuliza kwenye huo Uzi hapo juu.
Naomba kuwasilisha...
[emoji124] [emoji124] [emoji124]
sjaona swaliNatahitaji mwanaume nipo serious
Mkuu, kwanza samahani kwa kuchelewa kufika kwenye huu Uzi..... Minaomba kwanza unijibu swali nililo kuuliza kwenye huo Uzi hapo juu.
Naomba kuwasilisha...
[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hahahahaa hashindwi kuwa huyu pia,.[emoji23]Hahahahaha mambo ya grace haya
si wewe apo au unajifanya umesahau mambo ya Jana pale night clubpaulina ray wewe mtaje tu usizunguke mbuyuuuuu. Mtaje tu shem wetu hapa na kwamba umemiss mambo yake kwa nini uzunguka kote huko?
[emoji23] kwa nnHahahaha, uchokozi huo
na sishindwi kweliHahahahaa hashindwi kuwa huyu pia,.[emoji23]