Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stori ya Khumbu ni stori ya kweli ya maisha yangu na Khumbu hivyo wasingeweza kunitoa kwenye reli. Kwanza watu waliokuwa wanataka kunitoa kwenye reli walikuwa wanapambana na wasomaji, mimi nilikuwa hata sihangaiki nao.
Mbona nimesha kuambia wewe ni mjuaji ....na reasoning yako ipo low Sana ...... Yaani una apply akili nyingingi kwenye vitu simpo tu.Acha kutetea wewe,hoja hujibiwa kwa hoja na sio kuingia mitini,kama hataki kuulizwa awatumie die hard fans wake stori yake huko whatsapp ili hata ikiwa chai asiulizwe
Kwa yale makaburi yaliyofukuliwa na utetezi wake kuhusu kutumia ID ya mtu mwingine nabaki njia panda.Point iko hapa, story ya Khumbu ilikuwa story ya kweli, hatukukutoa kwenye reli.
Vipi una maoni gani kuhusu story ya huyu mwamba ambaye ametoka kwenye reli?
Mkuu baada ya mazishi kuna ile nyingine uliitolea utangulizi..usisahau.Stori ya Khumbu ni stori ya kweli ya maisha yangu na Khumbu hivyo wasingeweza kunitoa kwenye reli. Kwanza watu waliokuwa wanataka kunitoa kwenye reli walikuwa wanapambana na wasomaji, mimi nilikuwa hata sihangaiki nao.
Hiyo nyingine nitakuwa naihadithia kwenye kampeni zangu 2025 ili kujaza watu maana sitakuwa na hela ya kusomba watu kwenye magari kuwaleta kwenye mikutano yangu hahahahahaha! Kwa hiyo njoo kwenye mikutano yangu mkuu ufaidi uhondo wa mtoto mwenye ngozi ya kahawia, sauti kama ya Sepenga. Nitakuwa natupia vipande vifupifupi kubalance duration ya kampeni ili stori isiishe mapema nikakosa wahudhuriaji.Mkuu baada ya mazishi kuna ile nyingine uliitolea utangulizi..usisahau.
Kwa yale makaburi yaliyofukuliwa na utetezi wake kuhusu kutumia ID ya mtu mwingine nabaki njia panda.
Mkuu baada ya mazishi kuna ile nyingine uliitolea utangulizi..usisahau.Stori ya Khumbu ni stori ya kweli ya maisha yangu na Khumbu hivyo wasingeweza kunitoa kwenye reli. Kwanza watu waliokuwa wanataka kunitoa kwenye reli walikuwa wanapambana na wasomaji, mimi nilikuwa hata sihangaiki nao.
Kila la kheri MkuuHiyo nyingine nitakuwa naihadithia kwenye kampeni zangu 2025 ili kujaza watu maana sitakuwa na hela ya kusomba watu kwenye magari kuwaleta kwenye mikutano yangu hahahahahaha! Kwa hiyo njoo kwenye mikutano yangu mkuu ufaidi uhondo wa mtoto mwenye ngozi ya kahawia, sauti kama ya Sepenga. Nitakuwa natupia vipande vifupifupi kubalance duration ya kampeni ili stori isiishe mapema nikakosa wahudhuriaji.
Umesahau matako ya kuning'inia kama anakung'uta kunguniHiyo nyingine nitakuwa naihadithia kwenye kampeni zangu 2025 ili kujaza watu maana sitakuwa na hela ya kusomba watu kwenye magari kuwaleta kwenye mikutano yangu hahahahahaha! Kwa hiyo njoo kwenye mikutano yangu mkuu ufaidi uhondo wa mtoto mwenye ngozi ya kahawia, sauti kama ya Sepenga. Nitakuwa natupia vipande vifupifupi kubalance duration ya kampeni ili stori isiishe mapema nikakosa wahudhuriaji.
Yeah, tutakuwa tunaweka na kibwagizo cha kukung'uta siafu.Umesahau matako ya kuning'inia kama anakung'uta kunguni
Unapenda mwenyewe AmericaMichigan[emoji122][emoji122]
Trust me huyu hata chuga hajawahi kufika sembuse marekaniHuligani la Michigan [emoji23][emoji23][emoji23]
Teh teh teh teh,msomiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,mbona kama umepanic vile mkuu?Mbona nimesha kuambia wewe ni mjuaji ....na reasoning yako ipo low Sana ...... Yaani una apply akili nyingingi kwenye vitu simpo tu.
Kabla hauja critsize ilitakiwa ujiulize kwanza vijimaswali vyenye some facts and ungepata unacho taka ila kwa hapa mzee kajipange.
Mbona mm mwenyewe nimesoma Kama wewe ila nikajiuliza Kama wewe ila nikapata jibu ya kuwa huenda jamaa degree yake kuichukulia hapahapa na huku kwingine atakua alifata masters/ phd and whatever.......nikatulia na kusubiri utamu uendelee...[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Next time soma uelewe sio usome kwa ajili ya kubisha ....Ndio maana jamaa akili nyingi kaona wewe zwazwa kakuacha uendelee kubisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
poa poaHello my People;
Samahani sana kwa kupotea kama kwa wiki mbili hivi.
Msiba wa Mzee umenitesa sana na niko Chato mkoani Geita kushiriki mazishi.
Niwaahidi, Kesho baada ya mazishi tutaendelea tulipo ishia.
Iwe ukweli au Chai yote nayajua mimi.
Asanteni
Naona jamaa aliweka hadithi zake za udsm Leo anahadithia ya ughaibuni watu wanajifanya wenyewe ndio wafukunyufu na kukomaza ubongo Kama kichwa Cha kambale ...
Kama unajikuta wewe mfukunyufu yaani unajua kupekenyua Mambo si ujitolee ukaisaidie serikali yako kumtafuta kigogo....?
Na nikuweke wazi kwa ujuaji wako huu wewe ni limbukeni Kama malimbukeni wengine yaani unajifanya staa kumbe poyoyo tu huna udasisi wowote ila unacho fanya wewe ni ujuaji.
Bila hata ya kuuliza ...huanda udsm alisoma hadi ngazi ya digree then mastars akaenda kuichukulia huko Michigan ....? Ila kwa ujuaji wako wa kipumbavu umefanya wote tukose story ..., Kwa sababu ya uwandawazimu wako.
Oi Kaka naomba msamaha kwa noaba tuletee story sisi wengine tumeipenda hivohivo achana na Hawa ma IT wa kuunga unga na kuja kutusumbua huku.kujifanya ma haker kumbe maushuzi tu....[emoji3][emoji3]