Nimeacha kudharau wanaosoma vyuo tofauti na UDSM

Nimeacha kudharau wanaosoma vyuo tofauti na UDSM

Course za kienyeji enyeji hizo mpk data star na eagle wing wanazo...

Ukitaka kujua utamu wa udsm, kamata m/funzi wa CoET, CoNAS au kitivo cha sheria, then compare na m/funzi wa chuo kingine...

Nilikua field Puma Energy na w/funzi udom 3rd yr petro. Eng. M/funzi hajui kbs hata zile essentials ndogo ndogo, ukimwambia drilling rigs, blowout preventer, drilling bits, pipe tongs, drill pipe elevator, stingers, swellable packers, phase separation gas/oil mixture, oil dehydration and desalting, ata ukimwambia 2nd phase separation of oil-water emulsion anabaki anakutumbulia mijicho...

Hadhi ya UDSM ipo pale²
Dogo acha uongo hakuna 3rd hata moja acyeijuwa BOP au drilling rig hata awe kilaza vp!inaonekana we ni first year huwezi kujilinganisha hata cku 1 na mwanafunzi wa mwaka wa 3!c ajabu umezitaja tu hujui hata zinafanyaje kazi!kawaida first yr ukishafundishwa introduction tu ya kozi flan unajiona ushajuwa, kuna vitu vingi sana dogo bado unatakiwa kujifunza nikikuuliza tofauti ya BOP na wellhead au x-mas tree utashindwa kunijibu so ts better ukanyamaza kuliko kuongeya uongo!UDOM ni mwaka wa 4 sasa inatoa petroleum na wanafunzi wakimaliza kazi wanapata kwa mfano mwaka huu wamegraduate wanafunzi 17!hata kabla ya UE wanafunzi wa5 walichukuliwa na Pan-african energy!so usimdharau m2 kisa katoka chuo flan ni uwezo wa mtu binafs tu!
 
Kwa kweli,nilikua nadharau sana watu ambao hawasomi au hawajasoma udsm ila ulikua ni utoto tu,sasa imetokea nimeenda kufanya field practical pale TRA makao makuu,ebana nimekutana na vijana wanasoma kachuo flani kadogo tu kanaitwa ITA{Institute of tax administration}hata cjui kako wapi kwa hapa dar,vijana wako vizuri sana ktk masuala ya kodi,na tra wanaonekana kuwakubali sana,kuna vijana wana diploma tu lakini mkwanja wanaovuta ni balaa.ninachotaka kuwashauri wadogo zangu ni hvi,usikimbilie kusoma udsm au chuo kingne chenye jina hapa bongo likozi la ajabu ili tu nawe uonekane eti unasoma udsm au chuo flan maarufu.kozi za udsm ni zle zle kama zinazotolewa na vyuo vingne hvo ushndani ni mkubwa sana katka soko la ajira,angalieni kozi ambazo zina channel za moja kwa moja ktk ajira..sasa we kimbilia bcom,bba,baf na zingne za aina hyo then uje usugue soli mtaani mpaka ufurahi.

Institute of Tax Administration ni chuo kinachoendeshwa na TRA kiko mikocheni dar, hata wakufunzi wa hicho chuo wengi ni wafanyakazi wa TRA, wanafunzi wako vizuri sana kwa kuwa wanafundishwa kazi siyo theories kama vyuo vingine
 
Dogo acha uongo hakuna 3rd hata moja acyeijuwa BOP au drilling rig hata awe kilaza vp!inaonekana we ni first year huwezi kujilinganisha hata cku 1 na mwanafunzi wa mwaka wa 3!c ajabu umezitaja tu hujui hata zinafanyaje kazi!kawaida first yr ukishafundishwa introduction tu ya kozi flan unajiona ushajuwa, kuna vitu vingi sana dogo bado unatakiwa kujifunza nikikuuliza tofauti ya BOP na wellhead au x-mas tree utashindwa kunijibu so ts better ukanyamaza kuliko kuongeya uongo!UDOM ni mwaka wa 4 sasa inatoa petroleum na wanafunzi wakimaliza kazi wanapata kwa mfano mwaka huu wamegraduate wanafunzi 17!hata kabla ya UE wanafunzi wa5 walichukuliwa na Pan-african energy!so usimdharau m2 kisa katoka chuo flan ni uwezo wa mtu binafs tu!
Kwanza 3rd yr wote wamefanyia field mtwara (STATOIL) sa cjui ni 3rd wap unao wazungumziya wewe!
 
Kwanza 3rd yr wote wamefanyia field mtwara (STATOIL) sa cjui ni 3rd wap unao wazungumziya wewe
 
Acha bangi wewe, ishi maisha yako na sio kuishi kwa hisia pwagu wewe.

Dogo mziki wangu huuwezi hata nukta....

Kijana walikuwepo wenzio akina Perry... holygrail Mpigamsuli Darius na wengine wengi but tunashukuru wamekuwa wastaarabu now kwa exposure waloipata

Endelea kwa sasa sitahangaika nawewe nenda kajue kwanza chuo kikoje halafu urudi
 
Last edited by a moderator:
Dogo acha uongo hakuna 3rd hata moja acyeijuwa BOP au drilling rig hata awe kilaza vp!inaonekana we ni first year huwezi kujilinganisha hata cku 1 na mwanafunzi wa mwaka wa 3!c ajabu umezitaja tu hujui hata zinafanyaje kazi!kawaida first yr ukishafundishwa introduction tu ya kozi flan unajiona ushajuwa, kuna vitu vingi sana dogo bado unatakiwa kujifunza nikikuuliza tofauti ya BOP na wellhead au x-mas tree utashindwa kunijibu so ts better ukanyamaza kuliko kuongeya uongo!UDOM ni mwaka wa 4 sasa inatoa petroleum na wanafunzi wakimaliza kazi wanapata kwa mfano mwaka huu wamegraduate wanafunzi 17!hata kabla ya UE wanafunzi wa5 walichukuliwa na Pan-african energy!so usimdharau m2 kisa katoka chuo flan ni uwezo wa mtu binafs tu!


Mkuu humu unaobishana nao wengi ni first year au ndo wanaotarajia kujiunga na chuo so be careful
 
Dogo acha uongo hakuna 3rd hata moja acyeijuwa BOP au drilling rig hata awe kilaza vp!inaonekana we ni first year huwezi kujilinganisha hata cku 1 na mwanafunzi wa mwaka wa 3!c ajabu umezitaja tu hujui hata zinafanyaje kazi!kawaida first yr ukishafundishwa introduction tu ya kozi flan unajiona ushajuwa, kuna vitu vingi sana dogo bado unatakiwa kujifunza nikikuuliza tofauti ya BOP na wellhead au x-mas tree utashindwa kunijibu so ts better ukanyamaza kuliko kuongeya uongo!UDOM ni mwaka wa 4 sasa inatoa petroleum na wanafunzi wakimaliza kazi wanapata kwa mfano mwaka huu wamegraduate wanafunzi 17!hata kabla ya UE wanafunzi wa5 walichukuliwa na Pan-african energy!so usimdharau m2 kisa katoka chuo flan ni uwezo wa mtu binafs tu!


Mimi ni shahidi mwezi wa nane nilikuwa safarini nikakutana na graduate wa UDOM petroleum akasema tayari keshapata kazi sasa wewe kalia na udsm yako uone itakufikisha wapi!!
 
unawadharau wa chio flan halafu hata ww hujamalza! dah kuna watu wanafikiria kwa kamasi sio ubongo
 
narudia kusema..me sidharau tena mtu na chuo anachosoma
 
Dogo mziki wangu huuwezi hata nukta....

Kijana walikuwepo wenzio akina Perry... holygrail Mpigamsuli Darius na wengine wengi but tunashukuru wamekuwa wastaarabu now kwa exposure waloipata

Endelea kwa sasa sitahangaika nawewe nenda kajue kwanza chuo kikoje halafu urudi

With all due respect, sorry mkuu lusungo let it be passed and gone. Tusonge mbele.
 
Last edited by a moderator:
Shardcolhebu jaribu kuachana na utumwa wa kuamini chuo jaribu kuweka jitihada binafsi kwa kile unachokifanya then[/QUOTE said:
Hii ndiyo hoja!!!
Institutions will never think on behalf of U BT some1 must develop & cultivate his/her own way of embracing knowledge, skills, attitudes, values & personalities!!
The society do not need institutions bt an individual efforts to bring some positive changes & relief of lyf!!
IT IS RIDICULOUS DISCUSSING DENOMINATIONS INSTEAD OF PREACHING GOOD DEEDS!!!
 
Kwa kweli, nilikua nadharau sana watu ambao hawasomi au hawajasoma UDSM ila ulikua ni utoto tu, sasa imetokea nimeenda kufanya field practical pale TRA makao makuu, ebana nimekutana na vijana wanasoma kachuo flani kadogo tu kanaitwa ITA {Institute of tax administration} hata cjui kako wapi kwa hapa Dar, vijana wako vizuri sana katika masuala ya kodi, na TRA wanaonekana kuwakubali sana, kuna vijana wana diploma tu lakini mkwanja wanaovuta ni balaa.

Ninachotaka kuwashauri wadogo zangu ni hvi,usikimbilie kusoma udsm au chuo kingne chenye jina hapa bongo likozi la ajabu ili tu nawe uonekane eti unasoma udsm au chuo flan maarufu.kozi za udsm ni zle zle kama zinazotolewa na vyuo vingne hvo ushndani ni mkubwa sana katka soko la ajira,angalieni kozi ambazo zina channel za moja kwa moja katika ajira..

sasa we kimbilia bcom,bba,baf na zingne za aina hyo then uje usugue soli mtaani mpaka ufurahi.

Hahaha muda umefika by mpigamsuli
 
Back
Top Bottom