Nimeacha kuishabikia Arsenal

Nimeacha kuishabikia Arsenal

Kwa kuwa wewe ni shabiki basi sikushangai.sie wengine sio washabiki,ni wapenzi.mie ni mpenzi wa kibibi kizee cha turin tangu 1992 na nimeshuka nacho daraja 2006 nikawa nafuatilia matokeo yao ya seria b kwenye internet,nikaumia nayo kwa miaka yote hadi hivi leo tunaipiga chelsea na Celtic goli tatu,machozi yananitoka kwa furaha.nakushauri uwe mpenzi!
 
Kwa wanaomkejeli ngongo eti ni glory hunter niwaulize ni nani hapa asiye glory hunter?

Mashabiki wa arsenal mmeanza lini kushabikia timu yenu kama si nyakati za invincibles?

Prior mourinho era kuna yeyote alikuwa shabiki wa chelsea?

Unajua kwanini mashabiki wengi wa liverpool ni watu wazima?

Mimi mwenyewe nilikuwa shabiki wa liverpool enzi za gazeti la mfanyakazi na mzalendo ukinunua gazeti kurasa za michezo unakuta ian rush katupia 3 john barnes 2

Miaka kama 19 iliyopita machale yakanicheza kama yalivyomcheza ngongo nikahamia man utd,nina furaha siku zote

Vishabiki mburula vya barca viulize kama vilikuwa vinashabikia barca nyakati madrid inatamba na kina fernando hierro
 
:biggrin1: karibu sana kwenye chama chetu hapa huwezi kupata pressure za maisha hata siku na sisi ni wakarimu welevu na wapenda amani kama ulivosema mwenyewe hapo juu....nimeshakutayarishia kadi yako ya uanachama na naomba uje na Viper Richard MwafrikaHalisi Wacha1 kashengo na wengineo ambao kucha wanakosa usingizi kwa sababu ya policies za kijinga arsene wenger na ivan gazidis wanazofanya....WELCOME TO OLD TRAFFORD....BEST CLUB IN THE WORLD AND MOST SUCCESSFULL IN ENGLAND

Mtoto wa Mjini,

Mimi ni Arsenal damu na sijawahi kufikiria hayo ya kuhangaika huku na kule.
 
welcome to the old traford...the place where people are happy every day!
 
Van-Persie-Stoke-City.jpg
 
Mkuu Wacha1 wakati huo nilikuwa Man kwa mkopo au unajifanya hujui maana ya mkopo,ngoja nikupe darsa kidogo Fabio ni mchezaji wa Man Utd kapelekwa QPR kwa mkopo msimu mzima sasa kama mchezaji anaweza kwenda club nyingine kwa mkopo shabiki inashindikana nini !,ha ha ha ha ha tangu nimejiunga Mau Utd nimeongezeka kilo kadhaa.
 
Pole kwa kuhamia club ya Rose Muhando (Club NIBEBE NIBEEBE!!)
 
hukua shabiki wa kweli,wenzio twafa na tai shingoni!
hakuna kukata tamaa,one day yes bna!
 
Karibu katika nyumba ya makombe mkuu wangu Ngongo, msimu huu tunachukua ubingwa wa 20 kama # ya jezi ya RvP. kule Arsenal maisha yako yangekuwa mafupi sana kuishi duniani, umefanya uamuzi wa kupongezwa mkuu
 
Last edited by a moderator:
Wewe ni mamluki (plastic Fan). Hao Manyoo wakianza kufanya ovyo utahamia wapi? Man city au.
 
Wakuu nimeamua kwa hiyari yangu na pasipo kulazimishwa na mtu yoyote kuitosa club ya Arsenal.Nina sababu nyingi za kuitosa The Gunners.

[1] Kukwepa magonjwa ya moyo.

[2] Imeshindwa kutwaa kikombe chochote kwa muda mrefu sana.

[3] Arsenal imekuwa gulio la kuuza wachezaji wake mahiri kwa Club nyingine

Baada ya kutafakari kwa kinaa na bila kushawishiwa au kulazimishwa na mtu au kikundi chochote nimeamua kujiunga na Club ya Manchester United yenye kutumia uwanja Old Trafold.Zipo sababu kibao lakini nitazitaja chache.

[1] Manchester United inaongozwa na manager mwenye mafanikio makubwa kuliko makocha wote wa UK.

[2] Manchester United imechukua ubingwa wa ligi kuu ya UK mara 19,timu inayoikaribia ni Liverpool pekee yake imechukua ubingwa mar 18 tu.

[3] Manchester United inakaribia kuweka rekodi mpya kwa kuchukua ubingwa mara 20, mpaka leo hii inaongoza ligi kwa tofauti ya point 12.

[4] Ukiishabikia Mancheter United uwezekano wa kupatwa na magonjwa ya moyo na kisukari ni mdogo sana.Kila wakati una kuwa ni mtu wa kucheka na kufurahia maisha duniani.

[5] Mwaka 1999 iliweka historia kwa kuchukua vikombe vitatu.Ubingwa wa ulaya.ubingwa wa Uk na Kombe la ligi.

[6] Mashabiki wa Manchester United ni wakarimu, wapole na wenye kujua kuchambua soka. Sifa hizo zinanihakikishia kwamba nitapokelewa vizuri.

Wapenzi wa Arsenal mtanisamehe sana kuhama club ni jambo la kawaida kwa mashabiki kama ilivyo kawaida kwa wachezaji. Siwezi kuendelea kusononeka hapa duniania kisa kupenda Club mbovu.

Nakala: Wacha1 Idimi Belo Steve Dii Mphamvu Dark City gfsonwin The Boss BAK Rejao Viper mfarisayo MwafrikaHalisi Kibunango Maxence Melo EMT Balantanda Mwita Maranya
Sidhani kama wewe ni shabiki wa Gunners,iweje uifaguilie Man U kihivyo?
 
Mkuu wangu Ulimakafu nilikuwa shabiki namba moja wa The Gunners lakini kadri siku zilivyokuwa zikisonga mbele uzalendo ukawaunanishinda kama unabisha muulize Wacha1 siku tulipochapwa na Man Utd goli 8 tulilia wote kwa uchungu mkubwa sana mwenzangu ana roho ya Paka mpaka leo bado yuko na Mr Bean.

Sidhani kama wewe ni shabiki wa Gunners,iweje uifaguilie Man U kihivyo?
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha King2 siwezi hama Man U umri umeshasonga mbele sana.

Wewe ni mamluki (plastic Fan). Hao Manyoo wakianza kufanya ovyo utahamia wapi? Man city au.
 
Last edited by a moderator:
Kwa kusoma comments zote, Arsenal kimewatachi kwelikweli yaani wanashusha presha zao ipasavyo....!!! khe khe khe Wacha1, pole mkuu!!
 
Last edited by a moderator:

Hii picha ni moja wapo ya sababu zilizonifanya nijiunge na hili chama kubwa.


images
 
Kwa kusoma comments zote, Arsenal kimewatachi kwelikweli yaani wanashusha presha zao ipasavyo....!!! khe khe khe Wacha1, pole mkuu!!

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kumbe hata wewe ulikuwa hujui kwamba ngongo ni shoga khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee chacha mimi iniume nini wakati m k * n d * ni wake khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kumbe hata wewe ulikuwa hujui kwamba ngongo ni shoga khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee chacha mimi iniume nini wakati m k * n d * ni wake khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Yuck!! EWW!!...This is not coming from you mkuu??!!!..me didn't like it Wacha1..
 
Back
Top Bottom