Nimeacha kusikiliza Wasafi Fm kwa sababu ya Zembwela

Nimeacha kusikiliza Wasafi Fm kwa sababu ya Zembwela

Itisha maandamano ya amani ya kupinga namna anavyosifia matangazo
Yaani zinaonekana kama bidhaa feki zinazopambwa ili zifae. Bahati mbaya kipindi Chao Kiko asubuhi wakati ambao watu serious wanataka kusikia vitu serious vya kuanzia siku, badala muda unaisha watangazaji wanapiga kelele na mayoe kama wehu. Siku zote lazima uijue audience (hadhira) yako.

Mfano, unapotangaza bidhaa ya sh. Zaidi ya laki 3 maana yake unaowalenga sio bodaboda na machinga wanaoiza mashati 2 barabarani, unawaambia watu wenye nguvu ya manunuzi. Watu wenye high purchasing power hawapendi lugha za kupayuka
 
Ana kelele sana, mambo yake muachie mwenyewe...
 
Zembwela ana saiti mbaya sana inakwaruza na ina makelele, inakera kumsikiliza

Mbaya zaidi anajiona bingwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndo iliyomfikosha pale mkuu
 
Zembwela ana saiti mbaya sana inakwaruza na ina makelele, inakera kumsikiliza

Mbaya zaidi anajiona bingwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hafai kwenye vipindi vya asubuhi kwa kweli, kuna watu kama Masoud Kipanya , Gerald Hando na wale jamaa watatu wa EA Radio , hao ndio wana sauti nzuri.
 
Zimbwela bwana.

Amenifanya nimeacha kusikiliza Redio ya Wasafi asubuhi.

Huyu jamaa anafanya comedy hata kwenye serious issues, anatengeneza kelele masikioni na kupoteza muda wa wasikilizaji wake akidhani kuwa wasikilizaji wako tayari kusikiliza kila kitu anachosema na kufanya kwenye studio, ananiboa.

Hata bidhaa anazozitangaza ninaziona kama zisizo na ubora kwa namna anavyopitiliza kuzinadi. Anasahau kuwa "kizuri kinajiuza na kibaya kinajitembeza na kupambwa mno".

Anachohitaji mtu kwenye bidhaa ni kujua jina la bidhaa, aina na ubora wake dhidi ya bidhaa nyingine zilizoko kwenye soko ova!

Sijui kama hii inanipata mimi tu.
Kujifanya ujuaji sema tu kwenye masuala yakielimu anakua mpole na mwwnye adabu sababu no school
 
anajiita beberu...anaboa sana aongei kwa mtiririko plus wenge anafaa akae karikoo ila spika hizi za kichina zimeharibu kazi kuna watu wangemudu hiyo kazi kwa ufanisi
 
anajiita beberu...anaboa sana aongei kwa mtiririko plus wenge anafaa akae karikoo ila spika hizi za kichina zimeharibu kazi kuna watu wangemudu hiyo kazi kwa ufanisi
Anawaboa hata watangazaji wenzake kwenye kipindi, ni hiyo watafanyaje tu.
 
Kumbe huyu jamaa ana elimu ndogo. Kuna kile kipind wasafi walikuwa wanasaka vipaji wa wachekeshaji yeye naye alikuwa judge maswali aliyokuwa anauliza kwa kweli kupitia huu uzi ndo nimepata majibu..Hata misemo aliyokuwa anaitumia iko very poor.
 
Anawaboa hata watangazaji wenzake kwenye kipindi, ni hiyo watafanyaje tu.
Radio zetu sahv zinataka watu aina hii
Maana hata mpoki kawa mtangazaji
Steve Nyerere mtangazaji,kuna yule wa cloud sjui mbwiga naye mtangazaji

Ova
 
Radio zetu sahv zinataka watu aina hii
Maana hata mpoki kawa mtangazaji
Steve Nyerere mtangazaji,kuna yule wa cloud sjui mbwiga naye mtangazaji

Ova
Zimbela Radio zake zilipaswa kuwa TBC, RFA, ITV kuliko hizi za vijana wadogo
 
Back
Top Bottom