Nimeacha rasmi kuishabikia Yanga SC

Karibu Chama kubwa la Msimbazi, ni mwendo wa raha tu! Hata hivyo wana Yanga muyafanyie kazi haya mapungufu aliyoyabainisha mkuu ni ya kweli kabisa! Tatizo kubwa la Yanga wana mashabiki wengi kwenye media hivyo utakuta kajambo kadogo tu, magazeti ya michezo yanapamba na kukuza kwa sauti kubwa sana lakini mkija kwenye uwajibikaji unakuta ziro! Kasumba hii imewajenga viongozi na wanachama wengi wa Yanga kuwa watu wa maneno meeengi kuliko matendo! Suala la timu kutokuwa na future shida ni uongozi umeshindwa uache lipi, ushike lipi! Wanajaribu kuwa wa matukio kwamba wakisikia Simba tumefanya hiki ndio utasikia nao wakichimba mkwara lakini mbaya zaidi kubakia katika maneno tu huku wenzao Simba tukienda na utekelezaji! Kwa mtindo huo Yanga itasubiri sana mabadiliko ya kweli!
 
Pale shabiki wa simba anapokuwa msemaji wa yanga...

mtoa mada mbona hujatukumbusha post yako ya kujiunga yanga??
 
Dah... Sasa mbona kama haibadilishi kitu mmemtimua kocha wenu? Na vilio kama vyote
Hahahaaaa. Umefanya nimecheka ulichokiandika.

Pambana na simba yako Mkuu. Ya Yanga tuachie Yanga.

Na Ukishajiona unaishabikia Racism katika hii dunia ya sasa basi ujue we una matatizo na labda nikueleweshe kilicholeta shida ni lile neno Monkey na si zile takataka zingine alizoongea ambazo kwangu kwa 100% hazinibadilishi.

#Tuacheniushabikimandazi.
 

Hello[emoji16]
 
Ndiyo maana Lipumba alirudi tena CUF kwasababu ya akili za watu kama wewe
 
Punguza kulalamika/kutoridhika.View attachment 1520904View attachment 1520905
View attachment 1520908View attachment 1520907
 
doleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Attachments

  • 2480289_IMG-20200808-WA0027.jpg
    59.5 KB · Views: 1
  • 2480291_IMG-20200808-WA0026.jpg
    63.4 KB · Views: 1
mkiambiwa gsm ni wapigaji muelewe yaani mupo kama mazezeta,ndio maana mkaitwa manyani na mambwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ