Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana Ngudu kwa kuacha kushabia MUFC.......karibu huku chamanii.Ngudu wanajamiiforum wenzangu kuanzia Leo nimeacha kushabia team ya Manchester united sababu haina mikakati madhubuti ya kutawala EPL na kutetea wanyonge ili kuondoa ile Spain domination kwenye champions League.
Na natangaza kuhamia Manchester city sababu wana mikakati na kikosi kipana cha kuweza kuichallange hata real Madrid sio man united inayofungwa hadi na Huddersfield itakuwaje tukikutana na Madrid si utapigwa kama ambavu huwa zinapigwa team zenye kiwango kama chetu ambazo huko Spain zimeshashuka daraja ambazo ni Valladolid na Osasuna.
Sababu nyingne iliyonisukuma kuhama ni ubovu wa kikosi chetu kuanzia kocha hadi wachezaji wote tukianza na goal keeper sio mbaya sana lakini beki za Manchester united hasa Bailly na Lendof ni wabovu na wamezidiwa viwango na Endru Vincent a.k.a Dante
Eneo la kiungo tatzo ni kubwa mno likichangiwa na pogba ambae kiwango chake hakimfikii hata Shaban nditi wa mtibwa
Katika eneo la ushambuliaji napo hovyo kabisa wenzetu wana Hazad sisi tuna Martial na Lingard ambao viwango vyao wote hawamfikii Geoffrey mwashuya wa yanga na katika umaliziaji ni bora angefanya scouting ya kumchukua samatta kuliko kuwa na mzigo Lukake ambaye hana tofauti sana na tambwe Hamisi
Sababu nyingne ni Manchester united kujaza rundo la mashabiki walio na viherehere kwa Madrid na wasiojua mpira
Kuanzia Leo nipo Manchester city team iliyokamilika kila idara na inayocheza sexy football
Hayo ni marekodi 2 kama ni hivyo liverpool kawazidiNani anaongoza kubeba mataji ya EPL mkuu,,, tuanzie hapo!!!
Any way kila la kheri uendako,,, ila sidhani kama uzi upo serious huu.... I guess n mamluki wa kuichafua timu,,,
Himawari?Umeichambua vyema sana Man U.., msimu huu imekuwa mbovu/butu haijawahi kutokea.., kwa kifupi Morinyo hana jipya zaidi ya kubahatisha!!
Done & DustedNenda kareport inamaana nisiisema team mbovu?
Ngudu wanajamiiforum wenzangu kuanzia Leo nimeacha kushabia team ya Manchester united sababu haina mikakati madhubuti ya kutawala EPL na kutetea wanyonge ili kuondoa ile Spain domination kwenye champions League.
Na natangaza kuhamia Manchester city sababu wana mikakati na kikosi kipana cha kuweza kuichallange hata real Madrid sio man united inayofungwa hadi na Huddersfield itakuwaje tukikutana na Madrid si utapigwa kama ambavu huwa zinapigwa team zenye kiwango kama chetu ambazo huko Spain zimeshashuka daraja ambazo ni Valladolid na Osasuna.
Sababu nyingne iliyonisukuma kuhama ni ubovu wa kikosi chetu kuanzia kocha hadi wachezaji wote tukianza na goal keeper sio mbaya sana lakini beki za Manchester united hasa Bailly na Lendof ni wabovu na wamezidiwa viwango na Endru Vincent a.k.a Dante
Eneo la kiungo tatzo ni kubwa mno likichangiwa na pogba ambae kiwango chake hakimfikii hata Shaban nditi wa mtibwa
Katika eneo la ushambuliaji napo hovyo kabisa wenzetu wana Hazad sisi tuna Martial na Lingard ambao viwango vyao wote hawamfikii Geoffrey mwashuya wa yanga na katika umaliziaji ni bora angefanya scouting ya kumchukua samatta kuliko kuwa na mzigo Lukake ambaye hana tofauti sana na tambwe Hamisi
Sababu nyingne ni Manchester united kujaza rundo la mashabiki walio na viherehere kwa Madrid na wasiojua mpira
Kuanzia Leo nipo Manchester city team iliyokamilika kila idara na inayocheza sexy football
Uisahau pia ndio timu yenye madeni makubwa kuliko timu zotesasa we unaona bora vipi, ukose makombe kabisa uwe coke zero au uchukue angalau ya mapinduzi?
na kama makombe ni hela basi Man u ndio timu bora ulimwenguni kwa sasa, sababu wana hela kushinda timu zote.
yaani unafananisha watu na maviNgudu wanajamiiforum wenzangu kuanzia Leo nimeacha kushabia team ya Manchester united sababu haina mikakati madhubuti ya kutawala EPL na kutetea wanyonge ili kuondoa ile Spain domination kwenye champions League.
Na natangaza kuhamia Manchester city sababu wana mikakati na kikosi kipana cha kuweza kuichallange hata real Madrid sio man united inayofungwa hadi na Huddersfield itakuwaje tukikutana na Madrid si utapigwa kama ambavu huwa zinapigwa team zenye kiwango kama chetu ambazo huko Spain zimeshashuka daraja ambazo ni Valladolid na Osasuna.
Sababu nyingne iliyonisukuma kuhama ni ubovu wa kikosi chetu kuanzia kocha hadi wachezaji wote tukianza na goal keeper sio mbaya sana lakini beki za Manchester united hasa Bailly na Lendof ni wabovu na wamezidiwa viwango na Endru Vincent a.k.a Dante
Eneo la kiungo tatzo ni kubwa mno likichangiwa na pogba ambae kiwango chake hakimfikii hata Shaban nditi wa mtibwa
Katika eneo la ushambuliaji napo hovyo kabisa wenzetu wana Hazad sisi tuna Martial na Lingard ambao viwango vyao wote hawamfikii Geoffrey mwashuya wa yanga na katika umaliziaji ni bora angefanya scouting ya kumchukua samatta kuliko kuwa na mzigo Lukake ambaye hana tofauti sana na tambwe Hamisi
Sababu nyingne ni Manchester united kujaza rundo la mashabiki walio na viherehere kwa Madrid na wasiojua mpira
Kuanzia Leo nipo Manchester city team iliyokamilika kila idara na inayocheza sexy football