Nimeacha rasmi kushabikia Manchester United

Nimeacha rasmi kushabikia Manchester United

Mimi siyo shabiki wa Man U ila sikuwahi kusikia chakula kikikosekana home unahama familia.
Pole kwa kutaka kuwa na afya siku zote bila kuugua ila kumbuka kuugua ni kipindi cha mpito tu mkuu.
 
Ngudu wanajamiiforum wenzangu kuanzia Leo nimeacha kushabia team ya Manchester united sababu haina mikakati madhubuti ya kutawala EPL na kutetea wanyonge ili kuondoa ile Spain domination kwenye champions League.

Na natangaza kuhamia Manchester city sababu wana mikakati na kikosi kipana cha kuweza kuichallange hata real Madrid sio man united inayofungwa hadi na Huddersfield itakuwaje tukikutana na Madrid si utapigwa kama ambavu huwa zinapigwa team zenye kiwango kama chetu ambazo huko Spain zimeshashuka daraja ambazo ni Valladolid na Osasuna.

Sababu nyingne iliyonisukuma kuhama ni ubovu wa kikosi chetu kuanzia kocha hadi wachezaji wote tukianza na goal keeper sio mbaya sana lakini beki za Manchester united hasa Bailly na Lendof ni wabovu na wamezidiwa viwango na Endru Vincent a.k.a Dante

Eneo la kiungo tatzo ni kubwa mno likichangiwa na pogba ambae kiwango chake hakimfikii hata Shaban nditi wa mtibwa

Katika eneo la ushambuliaji napo hovyo kabisa wenzetu wana Hazad sisi tuna Martial na Lingard ambao viwango vyao wote hawamfikii Geoffrey mwashuya wa yanga na katika umaliziaji ni bora angefanya scouting ya kumchukua samatta kuliko kuwa na mzigo Lukake ambaye hana tofauti sana na tambwe Hamisi

Sababu nyingne ni Manchester united kujaza rundo la mashabiki walio na viherehere kwa Madrid na wasiojua mpira

Kuanzia Leo nipo Manchester city team iliyokamilika kila idara na inayocheza sexy football
Asante sana Ngudu kwa kuacha kushabia MUFC.......karibu huku chamanii.

Inaonekana uko frustrated kama mtu fudenge mpaka ndugu unaita ngudu....
 
Una moyo mwepesi sana mkuu, wengine tuko na Wenger toka invicibles mpaka sasa europa.
 
Nani anaongoza kubeba mataji ya EPL mkuu,,, tuanzie hapo!!!
Any way kila la kheri uendako,,, ila sidhani kama uzi upo serious huu.... I guess n mamluki wa kuichafua timu,,,
Hayo ni marekodi 2 kama ni hivyo liverpool kawazidi
 
Yaani ulipoanza tu "ngudu wanajamii forum".... Nikajua tu huyu ni mporipori wa NGUDU Kwimba.. Vipi unatokea Chasalawe , izizimba, mwamitinje, shilembo, MWABAYANDA, mwabuchuma, kiliwi, mwansweghele, mwaginghi, ndami au Mwanekeyi...... Wawapi mhalo, nyamatala, icheja, nyamigamba au ngogo au labda MWABOMBA.... Maana ndio wanaweza kuongea shombo la hivi afu
 
Weeee Jamaaaa hujielewii Huyo Madrid kama reference yako umepoteaaa kabisaa
Screenshot_2017-11-29-06-50-02.png
 
Jamaaa anamuacha mke wake kwa kuzidisha chumvi kwenye Mboga siku moja hujui soccer
 
Hiki ndio kitu siwaelewe mashabiki wa bongo yaani shabiki kama hapa kwetu wa yanga eti anahamia simba. Unajua chuki iliyopo kati ya timu mbili za Manchester .mimi sio shabiki wa timu za Manchester lakini inaelekea mashabiki wa mpira wa timu za ulaya hatujui historia ya timu zetu .mfano shabiki wa arsenal hawezi hamia spurs au Chelsea kwani kihistoria ndio mahasimu wakubwa wa arsenal wakifuatiwa na man u na Liverpool.
 
Ngudu wanajamiiforum wenzangu kuanzia Leo nimeacha kushabia team ya Manchester united sababu haina mikakati madhubuti ya kutawala EPL na kutetea wanyonge ili kuondoa ile Spain domination kwenye champions League.

Na natangaza kuhamia Manchester city sababu wana mikakati na kikosi kipana cha kuweza kuichallange hata real Madrid sio man united inayofungwa hadi na Huddersfield itakuwaje tukikutana na Madrid si utapigwa kama ambavu huwa zinapigwa team zenye kiwango kama chetu ambazo huko Spain zimeshashuka daraja ambazo ni Valladolid na Osasuna.

Sababu nyingne iliyonisukuma kuhama ni ubovu wa kikosi chetu kuanzia kocha hadi wachezaji wote tukianza na goal keeper sio mbaya sana lakini beki za Manchester united hasa Bailly na Lendof ni wabovu na wamezidiwa viwango na Endru Vincent a.k.a Dante

Eneo la kiungo tatzo ni kubwa mno likichangiwa na pogba ambae kiwango chake hakimfikii hata Shaban nditi wa mtibwa

Katika eneo la ushambuliaji napo hovyo kabisa wenzetu wana Hazad sisi tuna Martial na Lingard ambao viwango vyao wote hawamfikii Geoffrey mwashuya wa yanga na katika umaliziaji ni bora angefanya scouting ya kumchukua samatta kuliko kuwa na mzigo Lukake ambaye hana tofauti sana na tambwe Hamisi

Sababu nyingne ni Manchester united kujaza rundo la mashabiki walio na viherehere kwa Madrid na wasiojua mpira

Kuanzia Leo nipo Manchester city team iliyokamilika kila idara na inayocheza sexy football

Ww ulikua mancity sema united ulimfuataga ronaldo...nakukumbusha kidogo hao mancity hawana uefa hawana uropa ligikuu maranne!! Hawa man u ligi mara 20 uefa mara 3 na fa mara 12 internatonal trophlmara 8 FA13 i love united never separeted on me ww pambna na mAncity wako utawakataa so muda!!
 
hivi game ya jana umecheki jinsi tuliwanyanyasa watu kwa network yetu ya 4g
 
sasa we unaona bora vipi, ukose makombe kabisa uwe coke zero au uchukue angalau ya mapinduzi?

na kama makombe ni hela basi Man u ndio timu bora ulimwenguni kwa sasa, sababu wana hela kushinda timu zote.
Uisahau pia ndio timu yenye madeni makubwa kuliko timu zote

Top 10 clubs by debt

1. Manchester United - €536m

2. Benfica - €336m

3. Inter - €306m

4. Valencia - €285m

5. QPR - €279m

6. AC Milan - €249m

7. CSKA Moscow - €224m

8. Galatasaray - €222m

9. Juventus - €209m

10. Roma - €208m
 
Ngudu wanajamiiforum wenzangu kuanzia Leo nimeacha kushabia team ya Manchester united sababu haina mikakati madhubuti ya kutawala EPL na kutetea wanyonge ili kuondoa ile Spain domination kwenye champions League.

Na natangaza kuhamia Manchester city sababu wana mikakati na kikosi kipana cha kuweza kuichallange hata real Madrid sio man united inayofungwa hadi na Huddersfield itakuwaje tukikutana na Madrid si utapigwa kama ambavu huwa zinapigwa team zenye kiwango kama chetu ambazo huko Spain zimeshashuka daraja ambazo ni Valladolid na Osasuna.

Sababu nyingne iliyonisukuma kuhama ni ubovu wa kikosi chetu kuanzia kocha hadi wachezaji wote tukianza na goal keeper sio mbaya sana lakini beki za Manchester united hasa Bailly na Lendof ni wabovu na wamezidiwa viwango na Endru Vincent a.k.a Dante

Eneo la kiungo tatzo ni kubwa mno likichangiwa na pogba ambae kiwango chake hakimfikii hata Shaban nditi wa mtibwa

Katika eneo la ushambuliaji napo hovyo kabisa wenzetu wana Hazad sisi tuna Martial na Lingard ambao viwango vyao wote hawamfikii Geoffrey mwashuya wa yanga na katika umaliziaji ni bora angefanya scouting ya kumchukua samatta kuliko kuwa na mzigo Lukake ambaye hana tofauti sana na tambwe Hamisi

Sababu nyingne ni Manchester united kujaza rundo la mashabiki walio na viherehere kwa Madrid na wasiojua mpira

Kuanzia Leo nipo Manchester city team iliyokamilika kila idara na inayocheza sexy football
yaani unafananisha watu na mavi
 
Back
Top Bottom