LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
1. Ushabiki wa mpira ni Aina Fulani hivi ya uwendawazimu, inahitaji akili ya mwendawazimu kuwa shabiki wa mpira wa miguu. Kwa mfano : Mashabiki wa timu kuomba mpira uishe pindi timu Yao inapokuwa inaongoza . Kwanini unataka mechi iishe haraka wakati wewe umeenda kuangalia mpira?
2. Tofauti Kati ya roho ya uchawi na mindset ya shabiki WA mpira wa MIGUU Ni sifuri. Ukitaka kujua wachawi huwa Wana waza Nini kuhusu wewe , wewe jitazame unawaza Nini kuhusu timu yako pinzani.. HII roho ya uchawi miongoni mwa shabiki WA mpira wa MIGUU inafanya mpira usiwe mchezo WA furaha. Kwa mfano shabiki WA Yanga kuchukia Simba kufika robo fainali au shabiki WA Simba kufurahia Yanga kutolewa makundi. I don't want to share my energy with these kind of people.
3. Mashabiki wa mpira kutokuubali ukweli Kwa Sababu ya roho ya KICHAWI inayo fanya Kazi ndani yao. Kwa mfano shabiki WA Yanga anaweza kusema Huyu Mikson au Chama Ni bonge la garasa au kumsikia shabiki WA Simba akisema " Aucho nae mchezaji? Ukitumwa mchezaji unaweza kumpeleka Aucho Kweli? I am not feeling comfortable to stay around people who think this way.
Hivi ndivyo wachawi wanavyo kataaga Kwa maneno mafanikio ya watu wengine... Mwaka 97 Kuna ndugu yangu Fulani alipata nafasi ya kwenda kusoma Scotland mtaani ikawa inasemwa anaenda kusoma Uingereza basi mchawi mmoja WA mtaani akawa anasema " Nyie Uingereza mnapajua au mnapasikia? Huyu mwanafudenge kaenda kusoma Scotland, Scotland sio Uingereza, unafanya mchezo Na Uingereza wewe..
One year later jamaa akamtumia mama Ake picha zake akiwa Scotland, Bahati mbaya picha zikavuja wachawi wakazipata, sikia maneno Yao " Huyu sio xxx ninae mjua Mimi, huyu WA kwenye picha mbona mwarabu kabisa".
Siku zote mindset ya mchawi huwa Ni kuwa around Na watu ambao Wana fit kwenye category ya partners in sufferance. Kwa Bahati mbaya Sana hivi ndivyo ilivyo akili ya shabiki WA mpira wa MIGUU.
Itaendelea
2. Tofauti Kati ya roho ya uchawi na mindset ya shabiki WA mpira wa MIGUU Ni sifuri. Ukitaka kujua wachawi huwa Wana waza Nini kuhusu wewe , wewe jitazame unawaza Nini kuhusu timu yako pinzani.. HII roho ya uchawi miongoni mwa shabiki WA mpira wa MIGUU inafanya mpira usiwe mchezo WA furaha. Kwa mfano shabiki WA Yanga kuchukia Simba kufika robo fainali au shabiki WA Simba kufurahia Yanga kutolewa makundi. I don't want to share my energy with these kind of people.
3. Mashabiki wa mpira kutokuubali ukweli Kwa Sababu ya roho ya KICHAWI inayo fanya Kazi ndani yao. Kwa mfano shabiki WA Yanga anaweza kusema Huyu Mikson au Chama Ni bonge la garasa au kumsikia shabiki WA Simba akisema " Aucho nae mchezaji? Ukitumwa mchezaji unaweza kumpeleka Aucho Kweli? I am not feeling comfortable to stay around people who think this way.
Hivi ndivyo wachawi wanavyo kataaga Kwa maneno mafanikio ya watu wengine... Mwaka 97 Kuna ndugu yangu Fulani alipata nafasi ya kwenda kusoma Scotland mtaani ikawa inasemwa anaenda kusoma Uingereza basi mchawi mmoja WA mtaani akawa anasema " Nyie Uingereza mnapajua au mnapasikia? Huyu mwanafudenge kaenda kusoma Scotland, Scotland sio Uingereza, unafanya mchezo Na Uingereza wewe..
One year later jamaa akamtumia mama Ake picha zake akiwa Scotland, Bahati mbaya picha zikavuja wachawi wakazipata, sikia maneno Yao " Huyu sio xxx ninae mjua Mimi, huyu WA kwenye picha mbona mwarabu kabisa".
Siku zote mindset ya mchawi huwa Ni kuwa around Na watu ambao Wana fit kwenye category ya partners in sufferance. Kwa Bahati mbaya Sana hivi ndivyo ilivyo akili ya shabiki WA mpira wa MIGUU.
Itaendelea