Nimeachana na mpenzi wangu

Nimeachana na mpenzi wangu

Huyu rafiki yangu (mchepuko) ana ujauzito wa miezi miwili; baada ya kumuona jana jioni hana mishe, nikaamua kumpigia simu ili nimtoe 'out' angalau tukapige kitimoto na maji ya dhahabu.

Tukakubaliana tukutane kiwanja fulani; baada ya kufika tukapiga kilo mbili za kitimoto pamoja na vinywaji, bahati nzuri sisi wote ni wanywaji.

Baada ya kupiga maji sana, tukawa tunajiandaa tuondoke, ile nataka kusimama tu, bi mkubwa (wife) akanipigia simu, tukabadilishana abc na kumuambia kesho nitakutumia kiasi fulani cha salio.

Ile mchepuko kusikia naongea na bi mkubwa kuhusu mikakati, akajawa na wivu na kuanza kulalamika na kusema, ''anayependwa hapa ni mtu mmoja tu''. Nikamuuliza kwa nini unasema hivyo, hakunijibu,matokeo yake akawa ananipa pochi yake nibebe. Nikamwambia mimi ni mwanaume siwezi kubeba pochi/mkoba wako.

Alikuwa ameshikilia chupa ya maji akatupa kule, tukavutana mpaka tukafika nyumbani; ile tumelala kitandani hataki kuguswa, akaamka kwa hasira usiku huo na kusema hatonitafuta tena na anaenda kwake; ikabidi nimwambie sawa hakuna shida.

Baada ya kuondoka usiku huo, nikamtumia ujumbe na kumwambia; mimi niko huru sasa kuwa na mtu mwingine,nawe pia kuwa huru kuwa na mwanaume mwingine.

Mpaka sasa hajajibu huo ujumbe; na sitegemei kumbembeleza arudi kwenye mahusiano.​
Apo umekimbia Kivuli chako mkuu!!! Utarudi tu kama kuna damu yako na utaumia zaidi utakapo gundua ananyanduliwa na mtu mwengine na hili hali ana kiumbe chako!!!!!! Hivi mnawezaje kuwapa mimba michepuko???? Hii kwangu haiwezi kutokea maisha yangu mpaka nife, nazaa na mke wangu Tu. Marufuku mchepuko kubeba mimba yangu sitaaki mizozo
 
Apo umekimbia Kivuli chako mkuu!!! Utarudi tu kama kuna damu yako na utaumia zaidi utakapo gundua ananyanduliwa na mtu mwengine na hili hali ana kiumbe chako!!!!!! Hivi mnawezaje kuwapa mimba michepuko???? Hii kwangu haiwezi kutokea maisha yangu mpaka nife, nazaa na mke wangu Tu. Marufuku mchepuko kubeba mimba yangu sitaaki mizozo
Wengine wanataka mbegu tu; kuna michepuko mitano kila mmoja ana eqnx junior
 
Viwango vyako viko chini sana ukilinganisha na vyangu.
Unachotaka kusema ni sawa ukamfundishe mzee mwenye miaka 95 aliyekulia pale kijijini, maisha yake yote anatumia pombe ya kienyeji, leo hii wewe kijana wa leo hujafikisha ata 70 umuambie hiyo pombe ni chafu ina madhara kwake; atakuambia hiyo elimu ya makaratasi haijakusaidia kitu
 
Unachotaka kusema ni sawa ukamfundishe mzee mwenye miaka 95 aliyekulia pale kijijini, maisha yake yote anatumia pombe ya kienyeji, leo hii wewe kijana wa leo hujafikisha ata 70 umuambie hiyo pombe ni chafu ina madhara kwake; atakuambia hiyo elimu ya makaratasi haijakusaidia kitu
Mpaka sasa hujaelewa kuwa hoja yangu wala si kumfundisha mtu mzima maisha yake asinywe pombe akiwa mjamzito.

Bali, ni wewe kushiriki kunywa pombe na mjamzito.

Yani ni hivi, huwezi kumlazimisha mtu mzima asiwe mwizi akiamua kuwa mwizi.

Lakini, ukienda naye kuiba, ukampa bastola, ukampa support kuonesha kuwa wizi ni kitu cha kawaida tu, hapo umefanya kosa la kuwa accomplice katika wizi huo.
 
Huyu rafiki yangu (mchepuko) ana ujauzito wa miezi miwili; baada ya kumuona jana jioni hana mishe, nikaamua kumpigia simu ili nimtoe 'out' angalau tukapige kitimoto na maji ya dhahabu.

Tukakubaliana tukutane kiwanja fulani; baada ya kufika tukapiga kilo mbili za kitimoto pamoja na vinywaji, bahati nzuri sisi wote ni wanywaji.

Baada ya kupiga maji sana, tukawa tunajiandaa tuondoke, ile nataka kusimama tu, bi mkubwa (wife) akanipigia simu, tukabadilishana abc na kumuambia kesho nitakutumia kiasi fulani cha salio.

Ile mchepuko kusikia naongea na bi mkubwa kuhusu mikakati, akajawa na wivu na kuanza kulalamika na kusema, ''anayependwa hapa ni mtu mmoja tu''. Nikamuuliza kwa nini unasema hivyo, hakunijibu,matokeo yake akawa ananipa pochi yake nibebe. Nikamwambia mimi ni mwanaume siwezi kubeba pochi/mkoba wako.

Alikuwa ameshikilia chupa ya maji akatupa kule, tukavutana mpaka tukafika nyumbani; ile tumelala kitandani hataki kuguswa, akaamka kwa hasira usiku huo na kusema hatonitafuta tena na anaenda kwake; ikabidi nimwambie sawa hakuna shida.

Baada ya kuondoka usiku huo, nikamtumia ujumbe na kumwambia; mimi niko huru sasa kuwa na mtu mwingine,nawe pia kuwa huru kuwa na mwanaume mwingine.

Mpaka sasa hajajibu huo ujumbe; na sitegemei kumbembeleza arudi kwenye mahusiano.​
kwahiyo gentleman,
unategemea akujibu nini kwenye huo ujumbe kwa mfano?๐Ÿคฃ

staki na taka ni mzigo mzito sana moyoni pa wengi aise ๐Ÿ’
 
Huyu rafiki yangu (mchepuko) ana ujauzito wa miezi miwili; baada ya kumuona jana jioni hana mishe, nikaamua kumpigia simu ili nimtoe 'out' angalau tukapige kitimoto na maji ya dhahabu.

Tukakubaliana tukutane kiwanja fulani; baada ya kufika tukapiga kilo mbili za kitimoto pamoja na vinywaji, bahati nzuri sisi wote ni wanywaji.

Baada ya kupiga maji sana, tukawa tunajiandaa tuondoke, ile nataka kusimama tu, bi mkubwa (wife) akanipigia simu, tukabadilishana abc na kumuambia kesho nitakutumia kiasi fulani cha salio.

Ile mchepuko kusikia naongea na bi mkubwa kuhusu mikakati, akajawa na wivu na kuanza kulalamika na kusema, ''anayependwa hapa ni mtu mmoja tu''. Nikamuuliza kwa nini unasema hivyo, hakunijibu,matokeo yake akawa ananipa pochi yake nibebe. Nikamwambia mimi ni mwanaume siwezi kubeba pochi/mkoba wako.

Alikuwa ameshikilia chupa ya maji akatupa kule, tukavutana mpaka tukafika nyumbani; ile tumelala kitandani hataki kuguswa, akaamka kwa hasira usiku huo na kusema hatonitafuta tena na anaenda kwake; ikabidi nimwambie sawa hakuna shida.

Baada ya kuondoka usiku huo, nikamtumia ujumbe na kumwambia; mimi niko huru sasa kuwa na mtu mwingine,nawe pia kuwa huru kuwa na mwanaume mwingine.

Mpaka sasa hajajibu huo ujumbe; na sitegemei kumbembeleza arudi kwenye mahusiano.​
Visilani vya mimba hivyo ni kawaida, wewe umepaniki, Hamisha na mimba pia ije kwako ili uwe huru zaidi.
 
Back
Top Bottom