bingo7
Member
- Nov 8, 2016
- 81
- 22
Na me naomba unitag kiongozikampuni nzuri ni meridian unaweza kubet ata sh 100 na kuna option nyingi tu...maelezo zaidi tayari nimekutag kwenye uzi unaozungumzia basketball betting
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na me naomba unitag kiongozikampuni nzuri ni meridian unaweza kubet ata sh 100 na kuna option nyingi tu...maelezo zaidi tayari nimekutag kwenye uzi unaozungumzia basketball betting
Mkuu basket huwa sio kazi kuotea, ina chaguzi mbili tuFootball matokeo ya draw huwa yanalilostisha sana. Natafuta mchezo wenye option mbili tu yaan win or lose
Naomba nitag namimi mkuukuna uzi unaelezea vizuri jinsi ya kubet basketball..nimeshaku tag
Nitag namimi aisehkampuni nzuri ni meridian unaweza kubet ata sh 100 na kuna option nyingi tu...maelezo zaidi tayari nimekutag kwenye uzi unaozungumzia basketball betting
Na mimi nitagNaomba nitag namimi mkuu
kama ningejua tangu mwanzo ningeifuta mbali football coz nilikuwa nabet mwaka na nusu nilishinda mara 2 tu...lakini basketball nimeanza juzi tu nimeshinda mara 8 tena pesa nzuri
Mkuu basket huwa sio kazi kuotea, ina chaguzi mbili tu
Mfano mimi kila nikilala huwa natupia mikea kumi ya buku buku, kila mkeka timu mbili au tatu.
Hakuna siku basket ball imeniangusha. Kikubwa usiwe na tamaa ya kupata pesa nyingi kwa hela ndogo
usibishe mm 500 ilinipa 750000 daa sikuamini asee ni football ilikuakama sitaki kuamini yaani hizi mia mia 3 zikupe laki 5??
Kweli kabisa mkuu. Unajua kinachowaangusha wengi ni ile tamaa tu, mfano mtu anaweka jero anataka apate laki sita. Mwisho wa siku unakuta anakula siku moja halafu anatafunwa miezi thelathiniwewe una akili ya kubet,hizo odds ndio zinayumbisha watu!tena ukiwa na akili nenda kinyume na odds,wakiweka nyingi wewe chagua odds ndogo maana hao ni wataalam wametumia utaalam kuweka odds ili wakuvute dawa nenda kinyume nao...chagua odds ndogo,cheza mara nyingi pesa ndogondogo
Unaweza pia ukajaribu Ice Hockey. Ni rahisi sana kubet na kupata matokeo kuliko football. Meridian bets ndipo pazuri zaidi.Let me try basket maana football majanga
Nitag na mm mkuuweka link chief nasi tuupitie