Mkuu lengo limetimia?mimi
nabet basketball
VOLLEYBALL
handball
ice hockey
Water polo
Betting nyepes kuliko zote hapo ni
1.VOLLEYBALL
2.BASKETBALL
3.HANDBALL
4.ICE HOCKEY
5.FUTSAL
saiz nna mbinu ya kula kila game nataka mpakwa mwez wa 6 niwe na 10m
NI MUHIMU KUJUZANAMkuu lengo limetimia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimeamini wabetishaji wanachezea wabetiji..yaani dortmund kakausha kipindi cha kwanza,cha pili akapigwa..mwishooni akarudisha..zilipoongezwa 30 akashinda..nikakossa laki 7.50
nimeamini wabetishaji wanachezea wabetiji..yaani dortmund kakausha kipindi cha kwanza,cha pili akapigwa..mwishooni akarudisha..zilipoongezwa 30 akashinda..nikakossa laki 7.50eti dk ya 80 kapgwa,94 karudisha,120 kashinda..hela yangu ya luku inaniuma na ni zamu yangu..sijui nitawaambia nini wapangaji
Juzi kaja jamaa kanikuta nakula bia ch nji nimeweka mezani. Jamaa kalazimisha akaichukua achezee kamari ya mchina kwenye mashine azalishe ...huez amin 3000 yote imeliwa na bia ya pili nlikua sijalipia.nimeamini wabetishaji wanachezea wabetiji..yaani dortmund kakausha kipindi cha kwanza,cha pili akapigwa..mwishooni akarudisha..zilipoongezwa 30 akashinda..nikakossa laki 7.50
nimeamini wabetishaji wanachezea wabetiji..yaani dortmund kakausha kipindi cha kwanza,cha pili akapigwa..mwishooni akarudisha..zilipoongezwa 30 akashinda..nikakossa laki 7.50eti dk ya 80 kapgwa,94 karudisha,120 kashinda..hela yangu ya luku inaniuma na ni zamu yangu..sijui nitawaambia nini wapangaji
hahahahaaaaJuzi kaja jamaa kanikuta nakula bia ch nji nimeweka mezani. Jamaa kalazimisha akaichukua achezee kamari ya mchina kwenye mashine azalishe ...huez amin 3000 yote imeliwa na bia ya pili nlikua sijalipia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tufundishane kakakama ningejua tangu mwanzo ningeifuta mbali football coz nilikuwa nabet mwaka na nusu nilishinda mara 2 tu...lakini basketball nimeanza juzi tu nimeshinda mara 8 tena pesa nzuri