African Geek
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 817
- 1,470
- Thread starter
- #41
Umetema madini matupu.. wewe utakuwa ni mkali sana naomba tulink kwenye hii kaziNaomba na mimi nitoe kidogo mtazamo wangu.
Swala la utumie technology gani kwenye kufanya development ya mobile application inategemeana na project uliyo nayo. Kama project unaona kabisa ni kubwa na itahusisha zaidi kufanya interaction na hardware basi Native development is good option to you. ila kama project ni ndogo na inahusisha just ku display data to mobile then currently flutter is good option sababu single code base utaweza pata application ya Android, iOS pamoja na Desktop.
lakini kuna jetpack compose Multi platform hiii naiona ikija kuuwa soko la flutter sababu with single code base utaweza pata application ya Android, iOS and Desktop. Ila faida yake haiishii hapo maana pia itawapa uwezo wale walio na application zao za native kuweza kufanya migration to kotlin multplatform.
Faida nyingine ni kuwa itakuwa inatoa uhuru zaidi wa kuandika shared code na uwanja wa kufanya specific platform code.
Ushauri wangu kama wewe umeamua kufanya only mobile development basi huna budi kujua Kotlin, Flutter na SwiftUI maana industry kwa sasa bado inazihitaji zote. But for future Kotlin multi platform is best.
Native development haikwepeki kwa mobile developer.