Nimeachana Rasmi na Flutter. Sasa ni ios/SwiftUI

Nimeachana Rasmi na Flutter. Sasa ni ios/SwiftUI

Mkuu issue ya payment inanipa usingizi sana kwenye project zangu za flutter
 
Shukrani kwa mawazo yako mkuu, so kwa ushauri wako baada ya JS, inabidi nikasome tu php na nisiende node.js.
kama sijakwelewa vibaya.
1. kabla ya node/express, anza na raw JS

unaanza na zile static web(front-end tupu), ni mwendo wa raw html, raw css and raw JS
kisha utapata msukumo wa kujifunza dynamic web,

hapa ndipo utapata msukumo wa kujifunza php ku handle data(kupokea na kurudisha) upande wa back-end, utapata msukumo wa kuhitaji kutunza hizo data, hapa tena utajikuta unajifunza SQL moja kwa moja

binafsi nilijifunza kwa mtindo huo
 
Brother hujaridhishwa na Performance?
Oya upo serious???
Una develop App gani? Inayo simulate Black holes?

Check codes zako
 
Baada ya kutumia Flutter kwa takribani miezi 6. Nimeamua kuachana nayo rasmi na kufanya Native Mobile App Development.

Hii ni kutokana na kutoridhishwa na performance ya Apps zinazotengenezwa kwa Flutter kulinganisha na Native Apps.

Kwa sasa nina wiki moja tangu nianze kujifunza kutengeneza IOS Apps kwa kutumia SwiftUI.

So far nimependa jinsi SwiftUI inavyofanania na Flutter kwenye upande wa kutengeneza UI. Zaidi nimependa State Management ya SwiftUI haichanganyi kama ile ya BLoC au Riverpod. Japo naimiss ile hot reload feature ya Flutter.
Good tunataka wabunifu kama wewe
 
Kwahiyo unatushaurije kwasababu wewe mwenyewe ndo uliisifia na kutuaminisha kuwa flutter na dart ni baba lao saivi unaikana tena kumbe ulikua ujaifahamu vizuri kwahiyo unashauri turudi kwenye Kotlin,java??

Btw
Mimi sio App dev ni web dev ila kwa mda mrefu natamani kujifunza App dev na nilitaka nianze na flutter due to its simplicity
Nitakuwa na wewe pamoja mi napenda kujifunza sn
 
Brother hujaridhishwa na Performance?
Oya upo serious???
Una develop App gani? Inayo simulate Black holes?

Check codes zako
Performance iko vizuri kwenye kuscroll, kufanya navigation etc, ila kuna stability issues unapotaka kutumia hardware ya platform husika.. inakubali, ila sio reliable.

Kiufupi sijapata ile user experience ninayopata nikitumia native apps

Code zangu naziandika vizuri, natumia reusable components, natumia architecture patterns, nafuata best practices kuhakikisha siandiki uchafu
 
Back
Top Bottom