Nimeachwa na mpenzi sababu anataka tuishi pasipo ndoa (sogea tuishi)

We nae unaleta mambo ua iddi makengo humu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mpaka sasa hv bado unafikiria tu utoe maamuz gani katika ilo swala?. Yani uende kuishi getoni kwa mwanaume bila wazazi wako kujua?, afu bado wasema wampenda tu?. Pole sana huyo hakupendi, ngoja upate mimba ndiyo uje uone rangi yake ipoje. Mimi ata iweje, ata nikiachwa Mara 20 lakini sitakubali sogea tuishi ata siku moja.

Hiifadhi heshima yako na ondoka kwenu kwa heshima, weka historia njema mtaani. Ata kama hujafunga ndoa lkn amekuja amejitambulisha na ametoa posa kama tamaduni yetu ya kiafrika inavyosema. Ss ya nini ujishushie heshima sbb ya mwanaume asiyekupenda wala kukujali?. Kwani yuko peke yake?, jiamini utapata mwingine achana naye. Yani ukamfulie, ukampikie, na huduma ya papuchi umpe kwa kukutorosha bila wazazi wako kujua?. Amka we mdada hizi si zama za kulazimisha mapenz kwa mtu.
 
Nimekuelewa sana mkuu sikuwa tayari kabisa kutoroka kwetu niende kwa mwanaume pasipo kufuata utaratibu
Kweli huyu mwanaume hana complication za sherehe, ila nilimshauri anitolee posa nikiwa bado kwetu hakutaka kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vizuri sana kwa msimamo ulio nao. Usitoke kwenu mpk atoe posa.
 
Iko hivi unapopenda kwa dhati hupendwi na pale unapopendwa kwa dhati hupendi.
Sio lazima iwe hivii,Kuna wakati unapopenda kwa dhati,unapendwa piah kwa dhati

Sent using Jamii Forums mobile app,using POP 2 power
 
Hizo ni gia za kuachwa kama gia zingine, alishausoma huo udhaifu ndio akapitia hapo hapo.
 
Unajua nyie wanawake mkishauriwa mnaenda kufanya opposite, mtu kashakuonyesha kuwq wewe huna thamani kwake ya nini kuupa kiherehere moyo!?. It's better uumie utakuwa fine baada ya muda coz no love pains inadumu maisha, wounds heal. Inaonekana unampenda na anachukulia for granted, jitambue thamani yako na mapenzi yasibadilishe misimamo.

Man of the hour.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…