Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Una miaka mingapi na jamaa yako ana miaka mingapi...mnakwaruzana kila mara katika mahusiano yetu. Hivi umemaliza chuo kama ndio unaufaulu wa GPA ngapi? Maana hautakiwi hauelewi kapu limeshavuja hilo endeleaKwao najulikana sana kwetu baadhi ya ndugu wanamfahamu. Yaani mimi baada ya kwenda kwa mwanaume wazazi wa mwanaume waende kwetu kusema kuwa nimeolewa na mtoto wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko hivi unapopenda kwa dhati hupendwi na pale unapopendwa kwa dhati hupendi.Naona binti anajiaminisha anapendwa kwa dhati! Dah!
Hili ni kweli ndugu zake wanashauri nikubali kuolewa bila kufuata utaratibu hata kama wazazi wangu watasononeka sitarudi tena kwetu kwa sababu nitakuwa tayari nimeshaolewaHata kama anakupenda yaelekea huyu jamaa yako hawathamini wala kuwaheshimu wazazi wako. Wazazi wa jamaa yako kama nao wanaafikiana naye basi nao pia hawawaheshimu wazazi wako.
Kipara ππMcheki Rufiji dam anatafuta mke nimeona kaanzisha uzi tafutaneni mtengeneze bond
Hakika mkuuIko hivi unapopenda kwa dhati hupendwi na pale unapopendwa kwa dhati hupendi.
Nahisi ana sababu alikuwa anaitafuta... kaipata sasa.. Binafsi sioni kwanini uolewe kimya kimya kwa maana hata taarifa isitolewe.. WHY...?? Kimya kimya inayokubalika ni ile ya kutokuwa na sherehe kabisa au kuwa na sherehe inayohusisha wachache wa karibu.. Lakini ukimwa wa kutotoa taarifa na huku unaenda kuolewa..!! hell NOOOO.... HUYU, kama nilivyosema, alikuwa anakutafutia sababu ya kukuacha... na kasimamia hiyo ambayo binafsi naona haina mashiko....
Nina miaka 27 mwanaume 33 hatujawahi kukwaruzana katika mahusiano yetu. Ndiyo nimemaliza chuo GPA haina mashiko hapaUna miaka mingapi na jamaa yako ana miaka mingapi...mnakwaruzana kila mara katika mahusiano yetu. Hivi umemaliza chuo kama ndio unaufaulu wa GPA ngapi? Maana hautakiwi hauelewi kapu limeshavuja hilo endelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuuNahisi ana sababu alikuwa anaitafuta... kaipata sasa.. Binafsi sioni kwanini uolewe kimya kimya kwa maana hata taarifa isitolewe.. WHY...?? Kimya kimya inayokubalika ni ile ya kutokuwa na sherehe kabisa au kuwa na sherehe inayohusisha wachache wa karibu.. Lakini ukimwa wa kutotoa taarifa na huku unaenda kuolewa..!! hell NOOOO.... HUYU, kama nilivyosema, alikuwa anakutafutia sababu ya kukuacha... na kasimamia hiyo ambayo binafsi naona haina mashiko....
Ndoa za kiafrika familia lazima ihusike.. ahata kama ni kwa taarifa tu
Anaishi kwake au anaishi kwao?Hilo nimemwambia ila anataka kwanza nikae kwake ili wazee wake watakapo kwenda waseme kuwa tayari nimeshaolewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema wazi tu kuwa unataka upate leseni rasmi ya kuzini au kwa kiswahili rahisi ni leseni ya kungonoka bila woga tena. Ati upate baraka za wazazi. Kwani sasa mnapo ngonoka huwa unaenda kuomba radhi kwao asubuhi au huwa unaenda tu kuoga na kubadili nguo??Siwezi legeza huu msimamo wangu ni kitu ambacho hakiwezekani ila napenda anielewe umuhimu wa kufunga ndoa rasmi , pia atambue nahitaji baraka za wazazi wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Amtumie mara ngapi? Women always learn the hard way!!Acha ujinga. NEVER compromise your values kwa ajili ya ujinga wa aina hiyo hata siku moja.
Huyo most likely anataka kukutumia tuu (naongea hivi kwa experience binafsi kama mwanaume). Mwanaume anaekupenda from the bottom of his heart, hawezi kufanya hicho anachofanya jamaa yako.
Stick to your values, do not degrade yourself kisa tu kuolewa (tena bila utaratibu).
Upendo iswa
Anaishi kwake, nia ya kuoa anayo ila kuchukuana pasipo utaratibu hapanaAnaishi kwake au anaishi kwao?
Kama anaishi kwake tu tena ikiwa ni mbali na home itakuwa ngumu kidogo kwako kuamini lengo lake. Lakini kama anaishi kwao au mazingira ya karibu na home kwao. Inaweza kuwa ana nia ya kuoa kweli. Tatizo hamjaaminiana tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo leseni rasmi ina umuhimu sanaSema wazi tu kuwa unataka upate leseni rasmi ya kuzini au kwa kiswahili rahisi ni leseni ya kungonoka bila woga tena. Ati upate baraka za wazazi. Kwani sasa mnapo ngonoka huwa unaenda kuomba radhi kwao asubuhi au huwa unaenda tu kuoga na kubadili nguo??
Mambo ingine Tz ni kama kuivuruga akili tu.
Amua uende kwake haraka sana la sivyo usije hapa ukilia kuwa; Aliniacha jana tu leo ako na wawili
Asante nitajitahidi kutulia ila ni ngumu [emoji26]Weee mdada, kwann unalazimisha kufit mahali ambapo sio kwako.
Tulia kua kimya...kama anakupenda atarudi tuu mwenyewe.
Hana mwanamke huyoNina miaka 27 mwanaume 33 hatujawahi kukwaruzana katika mahusiano yetu. Ndiyo nimemaliza chuo GPA haina mashiko hapa
Sent using Jamii Forums mobile app