Nimeachwa na mpenzi sababu anataka tuishi pasipo ndoa (sogea tuishi)

Nimeachwa na mpenzi sababu anataka tuishi pasipo ndoa (sogea tuishi)

Labda kweli ametafuta kisingizio cha kuniacha. Ila alikuwa anasisitiza sana niolewe kimyakimya ila hili halikuniingia akilini

Sent using Jamii Forums mobile app
Meli imeanza kuzama hiyo..tafuta mitumbwi ambayo ipo pembezoni mwa meli ufike nchi kavu salama. Nicheki tuyajenge ila kama unalilia unampenda jitayarishe kushuhudia ndoa ya mwenzio soon. Kwani mlikutana wapi na katika mahusiano yenu anajulikana kwenu na wewe unajulikana kwao?

Mpo katika mahusiano kwa muda gani..kuna sehemu sijaelewa ama sijui kusoma. Umesema anataka familia yenu iende kwao kutoa taarifa kuwa ww unaolewa na mtoto wao ama nipe ufafanuzi. Ila pokea ushauri wa wengi mara nyingi tamaa inauwezo mkubwa wa kuudanganya moyo. Jambo lingine mna umri gani wewe na muoaji kimyakimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Meli imeanza kuzama hiyo..tafuta mitumbwi ambayo ipo pembezoni mwa meli ufike nchi kavu salama. Nicheki tuyajenge ila kama unalilia unampenda jitayarishe kushuhudia ndoa ya mwenzio soon. Kwani mlikutana wapi na katika mahusiano yenu anajulikana kwenu na wewe unajulikana kwao? Mpo katika mahusiano kwa muda gani..kuna sehemu sijaelewa ama sijui kusoma. Umesema anataka familia yenu iende kwao kutoa taarifa kuwa ww unaolewa na mtoto wao ama nipe ufafanuzi. Ila pokea ushauri wa wengi mara nyingi tamaa inauwezo mkubwa wa kuudanganya moyo. Jambo lingine mna umri gani wewe na muoaji kimyakimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwao najulikana sana kwetu baadhi ya ndugu wanamfahamu. Yaani mimi baada ya kwenda kwa mwanaume wazazi wa mwanaume waende kwetu kusema kuwa nimeolewa na mtoto wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona tishio la RC limemwingia mchizi kaona isiwe kesi, 40% usawa huu si mchezo.... hapo vumbi tu.
 
La maana kama kijana anakupenda kwa dhati (japo hatuna kipimo cha upendo) msikilize na wazazi wanaelewa hili " kuna siku utaachana na wazazi wako na utaambatana na umpendae". Kisheria ukikaa na mwanaume zaidi ya miezi 6 ni mke na mme . Wazazi watajulishwa kwa kutumia hekima za wazee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usingomaza ulkua unakuita

Sent from my Infinix X606B using Tapatalk
 
La maana kama kijana anakupenda kwa dhati (japo hatuna kipimo cha upendo) msikilize na wazazi wanaelewa hili " kuna siku utaachana na wazazi wako na utaambatana na umpendae". Kisheria ukikaa na mwanaume zaidi ya miezi 6 ni mke na mme . Wazazi watajulishwa kwa kutumia hekima za wazee

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli ananipenda kwa dhati ila kutokana na msimamo nilionao amekata tamaa kabisa hana upendo kama zamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu kuna jambo linanitatiza.
Nimekuwa na mahusiano kwa miaka miwili sasa huyu mwenzangu anataka tuchukuane kimya kimya (sogea tuishi) pasipo ndoa rasmi. Anaeleza kuwa baada ya mimi kwenda kwake wazazi wake waende nyumbani kwetu kutoa taarifa kuwa nimeolewa!

Kwa upande wangu nimejaribu kumueleza kuwa siyo jambo la busara mimi kufanya hivyo nahofia wazazi wangu kusononeka (nitakosa baraka za wazazi)

Nimejaribu kumweleza tutambulishane rasmi tufunge ndoa simple tu isiyokuwa na shamrashamra ila amekuwa mgumu kuelewa.

Ameamua kuniacha kisa nimekataa kuolewa kimyakimya pasipo kuwaeleza wazazi kuwa nimepata mchumba.

Bado nampenda sana nifanyeje ili tuweze kufikia suluhu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunda ashawahi kulila?
 
Back
Top Bottom