Kupoteza ndio kupata, Man Up kulia lia hakubadilishi kilichotokea, sasa hivi yupo kwa Bwana ake wa Shambani akrudi chuo atakuja kwako Bwana wa Mjini. Maamuzi ni yako kusuka au kunyoaDah kinachouma ni mda aisee mda wote huo nimepoteza bure
Ahsante sana najua ni ngumu ila naamini nitavuka hichi kipindi Mungu nisaidie🙏Futa namba zake na kila kumbukumbu uliyobaki nayo kuhusu yeye iondoe, jibu la mwisho ulilompa la kukubaliana na wazo la kuachana nae ndo iwe meseji yako ya mwisho kwake usitake tena kujua chochote kuhusu yeye endelea na maisha yako.
Usimpigie simu wala kutuma meseji yoyote ya kuonyesha bado unamuhitaji huo ni udhaifu, ukiweza kufanya hivyo ndani ya mwezi mmoja tu unamsahau akiona matokeo hayo asiyo yatarajia ataanza kukutafuta yeye lakini usirudi nyuma akituma meseji usijibu chochote zifute pamoja na namba yake, jenga maisha yako.
Nikutumie namba ake umpeti peti ? 😆😆😆Masikini pole sana kwahiyo sahivi uko wapi.....
Jitowe roho basi, umalize machungu.Siku kama ya 5 hivi mpenzi wangu simuelewi mawasiliano hafifu ubize mwingi si kawaida nikimuuliza ananiambia ni kazi za nyumbani maana ameenda kwao baada ya kufunga chuo so kazi za shambani ni nyingi muda mdogo.
Sasa tokea jana hatukuwa na maelewano mazuri mpka siku inaisha hakuwa sawa. Leo sasa kanitamkia Live kwamba karudi kwa jamaa yake kwa kuwa 'ametoka nae mbali' so ni ngumu kumuacha.
Nyie huyu msichna nina miaka nae miwili leo anakuja kuniacha ghafla hivi mumivu yake sikieni tu ni afadhali hata maumivu ya kutolewa roho😭😭.
Kuchwa kunauma sana hasa muda na pesa nilizowekeza kwake nikifikiria ningekuwa na mtu seriously pengine ningeshapata hata mtoto now.
Namba yake nnayo namalizia kupalilia majani hapa nimpigie.....Nikutumie namba ake umpeti peti ? 😆😆😆
Tukiwaambia muende chuo kusoma hamtaki kazi mapenzi tuSiku kama ya 5 hivi mpenzi wangu simuelewi mawasiliano hafifu ubize mwingi si kawaida nikimuuliza ananiambia ni kazi za nyumbani maana ameenda kwao baada ya kufunga chuo so kazi za shambani ni nyingi muda mdogo.
Sasa tokea jana hatukuwa na maelewano mazuri mpka siku inaisha hakuwa sawa. Leo sasa kanitamkia Live kwamba karudi kwa jamaa yake kwa kuwa 'ametoka nae mbali' so ni ngumu kumuacha.
Nyie huyu msichna nina miaka nae miwili leo anakuja kuniacha ghafla hivi mumivu yake sikieni tu ni afadhali hata maumivu ya kutolewa roho😭😭.
Kuchwa kunauma sana hasa muda na pesa nilizowekeza kwake nikifikiria ningekuwa na mtu seriously pengine ningeshapata hata mtoto now.
Nakupigia muda si mrefu, tuongee tuone nini cha kufanya.....Nipo dsm
Umesema hauna mpenzi mwingine si ndio?Ahsante sana ntashukuru japo ushauri tu
Maumivu ya kuachwa sijawahi ndio nimejua kumbe wasanii huimbaga kweli kina marioo
Yaani hawa wanawake sijui vip na huyo jamaa anaerudiana nae ni kashaoa ana mwezi tuKwani kidudu chako kaking'oa akaondoka nacho?
Shukuru kakuumbia mapema kabla mambo hayajaenda hatua ya mbali kama kimchumbia au kumuoa.
Ni suala la muda tu utazoea na utaona kawaida sana