Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Devil one Lucha mwache mshikaji augulie kwanza kisha "Ushetani uendelee"Kwa uvulana kama huu wa kujilizaliza kwanini usiachwe?
Kwamba ale chakula Aina ya nyeto. Apande minazi kwa wingi 😂Hakuna namna hapo karibu team Bakari Nondo.
Usilazimishe penzi kwa mwanamke ambaye hakutaki utaumia kimwili, kifikra, moyo na nafsi, kiakili, kisaikolojia, na hata nyeti zako hizo zitaumia sana.Yaani hawa wanawake sijui vip na huyo jamaa anaerudiana nae ni kashaoa ana mwezi tu
Kila mara tuanawaambia Usiwekeze chochote kwa jinsia ya kike lakini bado hatuelewani, kinachokuuma wala hata sio mapenzi ni huo uwekezaji uchwara 😂, kubali na jipe muda
Kuna mtu anaenda kuliwa kichwa muda sio mrefu 😆😆Okay sawa, upo tayari kuingia katika penzi jipya, penzi la mtoto mzuri, penzi la moto lisilo na mbambamba wala kuachwa, penzi litakalokufanya ujihisi upo Eden?
Au unasubiri kwanza moyo upoe?
Thubutuuuu!!Nipo tayari kudanganywa....
OKW BOBAN SUNZU nakupa kitengo kwenye chama chetuWanawake mafala. Eti ametoka naye mbali. Mimi mtu akiniacha huwa naona nimetua Zigo, cha msingi kipindi umempata mpige mashine hasa ili iwe ngoma dro
Mashemegi mna nongwa sana 😹Kuna mtu anaenda kuliwa kichwa muda sio mrefu 😆😆
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mashemegi mna nongwa sana 😹
Hii movie siijuagi jina aisee, tupe ata jina lake kiongozi
Siku kama ya 5 hivi mpenzi wangu simuelewi mawasiliano hafifu ubize mwingi si kawaida nikimuuliza ananiambia ni kazi za nyumbani maana ameenda kwao baada ya kufunga chuo so kazi za shambani ni nyingi muda mdogo.
Sasa tokea jana hatukuwa na maelewano mazuri mpka siku inaisha hakuwa sawa. Leo sasa kanitamkia Live kwamba karudi kwa jamaa yake kwa kuwa 'ametoka nae mbali' so ni ngumu kumuacha.
Nyie huyu msichna nina miaka nae miwili leo anakuja kuniacha ghafla hivi mumivu yake sikieni tu ni afadhali hata maumivu ya kutolewa roho😭😭.
Kuchwa kunauma sana hasa muda na pesa nilizowekeza kwake nikifikiria ningekuwa na mtu seriously pengine ningeshapata hata mtoto no
Hii movie siijuagi jina aisee, tupe ata jina lake kiongozi
Vzr sana, Lia weee tena jifungie hata ulie kwa sauti ili uchungu uishe then mshukuru Mungu, wewe ni wathamani na UTAPATA kilicho bora zaidi.Nimetoa ya moyoni maana sina wa kumuhadithia zaidi ya nyinyi