Raia mpya
JF-Expert Member
- Apr 12, 2022
- 673
- 1,915
- Thread starter
- #101
Ahsante sana dada kwa ushauri wako mzuri umenitia nguvu sana leo siku yangu kazini imekuwa mbaya sana siitamani tena hii sikuVzr sana, Lia weee tena jifungie hata ulie kwa sauti ili uchungu uishe then mshukuru Mungu, wewe ni wathamani na UTAPATA kilicho bora zaidi.
Ktk mahusiano yatupasa tutambue kuwa mambo MAWILI yaweza kutokea, ndoa au kubaki na jambo la kujifunza ili uwe bora zaidi. Usijihukumu wala kujuta, mbele Kuna maisha bado yanahitaji kukamilishwa na amani ya moyo wako.
Stay happy bro.
Happiness is a choice.