Nimeachwa na mpenzi wangu jamani!

Nimeachwa na mpenzi wangu jamani!

Siku kama ya 5 hivi mpenzi wangu simuelewi mawasiliano hafifu ubize mwingi si kawaida nikimuuliza ananiambia ni kazi za nyumbani maana ameenda kwao baada ya kufunga chuo so kazi za shambani ni nyingi muda mdogo.

Sasa tokea jana hatukuwa na maelewano mazuri mpka siku inaisha hakuwa sawa. Leo sasa kanitamkia Live kwamba karudi kwa jamaa yake kwa kuwa 'ametoka nae mbali' so ni ngumu kumuacha.

Nyie huyu msichna nina miaka nae miwili leo anakuja kuniacha ghafla hivi mumivu yake sikieni tu ni afadhali hata maumivu ya kutolewa roho😭😭.

Kuchwa kunauma sana hasa muda na pesa nilizowekeza kwake nikifikiria ningekuwa na mtu seriously pengine ningeshapata hata mtoto now.
Hahahahahha.... Nimecheka kwa sauti.

Hivi kumbe mpaka Leo Kuna watu wanapenda 😅
 
Wewe ni mpumbavu, miaka yote hiyo umeishi nae hukujua kuwa ana mtu wake? Kama ulishindwa kuyachallenge mahusiano yake na jamaa wake kipindi mkiwa wote, je utaweza kwa sasa mkiwa mbali?

Kosa kubwa wanafunzi wa vyuo mnalofanya baada ya kumaliza mnawapoteza wapenzi wenu kwa sababu hamkujiandaa wala hamuwaandaa maisha yenu yaweje after school.
Alafu inaonekana kwako alipenda kamserereeeeko huku akijua ipo day atarudi kwa mtu wake, nawewe kwa upumbavu hukujua, ilitakiwa uishi nae kiunafiki mpeleleze mambo yake, then kama kuna threats zozote za kuhatarisha mahusiano yenu ungeharibu.

Sasa ninyi watoto mnaishi na madem zenu wa chuo mkijua ni malaika kumbe wadangaji tu, kwasasa pambana kutafuta hela, huyo sio wako tena, mwanamke mpka anakutamkia hivyo ujuwe wew kwake ulikuwa option tu, yaani kwako kukurudia labda bwanaake amzingue, kama vip kubali uwe sidechik wake😀.
 
fd2da4fd4d374e62a40002e6c81ba318.jpg
 
Siku kama ya 5 hivi mpenzi wangu simuelewi mawasiliano hafifu ubize mwingi si kawaida nikimuuliza ananiambia ni kazi za nyumbani maana ameenda kwao baada ya kufunga chuo so kazi za shambani ni nyingi muda mdogo.

Sasa tokea jana hatukuwa na maelewano mazuri mpka siku inaisha hakuwa sawa. Leo sasa kanitamkia Live kwamba karudi kwa jamaa yake kwa kuwa 'ametoka nae mbali' so ni ngumu kumuacha.

Nyie huyu msichna nina miaka nae miwili leo anakuja kuniacha ghafla hivi mumivu yake sikieni tu ni afadhali hata maumivu ya kutolewa roho😭😭.

Kuchwa kunauma sana hasa muda na pesa nilizowekeza kwake nikifikiria ningekuwa na mtu seriously pengine ningeshapata hata mtoto now.
Pole sana. Huna budi kukubali. Sio njema kulazimisha penzi
 
Kuwa Mwanaume acha ujinga. Eti unaumia kuliko maumivu ya kutolewa roho ni udhaifu kbs. Na haya ndio madhara ya kutahiriwa na ganzi.
 
Kuwa Mwanaume acha ujinga. Eti unaumia kuliko maumivu ya kutolewa roho ni udhaifu kbs. Na haya ndio madhara ya kutahiriwa na ganzi.
Maumivu lazima acha ujuaji labda kama si binadamu.
Muhimu ni kutoonesha kuumia mbele yake au mbele za watu
 
Mimi tabia ya unafiki sinaga kwakweli nikisikia au kuona mwanaume ameachwa huwa nafurahi sana. kuna mtoto wa mwanamke mwenzangu uliniachaga na kunipiga tukio moja takatifu yaani mbwa yule popote alipo naomba awe anaachwa kila siku.
 
Maumivu unayopitia ww sasa hv ndio nami pia nayapitia kwa sasa, tena Mm huyu wangu n single mother Ila alishanitengeneza na nikamuamini na nikampenda kweli.
Nmewekeza muda na pesa nyingi sana kwake, lkn bado akanifanyia mambo ya ajabu.

But soon ntakuwa Sawa, h nahesabu kama nilikosea njia hvy n funzo kwangu.
😃😃😃😃😃😃😃
 
Maumivu unayopitia ww sasa hv ndio nami pia nayapitia kwa sasa, tena Mm huyu wangu n single mother Ila alishanitengeneza na nikamuamini na nikampenda kweli.
Nmewekeza muda na pesa nyingi sana kwake, lkn bado akanifanyia mambo ya ajabu.

But soon ntakuwa Sawa, h nahesabu kama nilikosea njia hvy n funzo kwangu.
Single maza bila shaka itakuwa karud kwa baba mtoto wake
 
Eenh ndio ndio napia jamaa nasikia anataka kumuacha mkewe arudiane na ex wake waowane
Huyo demu wako kama namuona anavoutafuta u-single mother kwa nguvu, sasa amekuacha wewe, anaenda kujenga future/familia gani na mume wa mtu 🤔 si heri angeenda kwa mwanaume ambae bado hana familia, na kuna 80% chance huyo mme wa mtu hana mpango wa kumwacha mkewe, anamdanganya tu huyo mdada ili apate access ya papuchi. Raia mpya

Labda kina dada Kelsea waje watushauri kwenye hili, unamwacha mwanaume single anaekupenda, unaenda kwa mme wa mtu Kelsea To yeye
 
Back
Top Bottom