Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja yamkute mazito labda akili ndio itamkaa sawa.Huyo demu wako kama namuona anavoutafuta u-single mother kwa nguvu, sasa amekuacha wewe, anaenda kujenga future/familia gani na mume wa mtu 🤔 si heri angeenda kwa mwanaume ambae bado hana familia, na kuna 80% chance huyo mme wa mtu hana mpango wa kumwacha mkewe, anamdanganya tu huyo mdada ili apate access ya papuchi. Raia mpya
Labda kina dada Kelsea waje watushauri kwenye hili, unamwacha mwanaume single anaekupenda, unaenda kwa mme wa mtu Kelsea To yeye
Wewe huwa unakashifu wenzako wakiachwa kumbe nawewe sio GentlemanAsa alpha male gani upo hivyo ukiachwa achika mazima ajilaumu yeye
Hapo kakuona bwege anagongwa na wengine hela umpe wewe
Ngoja tuone maana wanawake akili zao wanajua wenyewe maana anasema eti jamaa alilazimishwa kumuoa huyu wa kwanza sio hamtaki ndio anataka kumuoa yeyeHuyo demu wako kama namuona anavoutafuta u-single mother kwa nguvu, sasa amekuacha wewe, anaenda kujenga future/familia gani na mume wa mtu 🤔 si heri angeenda kwa mwanaume ambae bado hana familia, na kuna 80% chance huyo mme wa mtu hana mpango wa kumwacha mkewe, anamdanganya tu huyo mdada ili apate access ya papuchi. Raia mpya
Labda kina dada Kelsea waje watushauri kwenye hili, unamwacha mwanaume single anaekupenda, unaenda kwa mme wa mtu Kelsea To yeye
KAZASiku kama ya 5 hivi mpenzi wangu simuelewi mawasiliano hafifu ubize mwingi si kawaida nikimuuliza ananiambia ni kazi za nyumbani maana ameenda kwao baada ya kufunga chuo so kazi za shambani ni nyingi muda mdogo.
Sasa tokea jana hatukuwa na maelewano mazuri mpka siku inaisha hakuwa sawa. Leo sasa kanitamkia Live kwamba karudi kwa jamaa yake kwa kuwa 'ametoka nae mbali' so ni ngumu kumuacha.
Nyie huyu msichna nina miaka nae miwili leo anakuja kuniacha ghafla hivi mumivu yake sikieni tu ni afadhali hata maumivu ya kutolewa roho😭😭.
Kuchwa kunauma sana hasa muda na pesa nilizowekeza kwake nikifikiria ningekuwa na mtu seriously pengine ningeshapata hata mtoto now.
Story yako inataka kufanana kidogo na ya kwangu, kuna mdada alimaliza form 4 nlimtongoza, akanikataa, baada ya mda mfupi akaenda kuzaa na mme wa mtu mwenye miaka 40+ sijajua reasoning process ya wadada ikoje, si heri angeenda kuzaa na kijana anaejielewa 🤣 Raia mpyaNgoja tuone maana wanawake akili zao wanajua wenyewe maana anasema eti jamaa alilazimishwa kumuoa huyu wa kwanza sio hamtaki ndio anataka kumuoa yeye
Si rahisi mtu atoe mahali aoe halafu hata miez 2 haijapita aache mke kirahisi sio kweli.
Siombei mabaya ila ngoja tuone mwisho wakeStory yako inataka kufanana kidogo na ya kwangu, kuna mdada alimaliza form 4 nlimtongoza, akanikataa, baada ya mda mfupi akaenda kuzaa na mme wa mtu mwenye miaka 40+ sijajua reasoning process ya wadada ikoje, si heri angeenda kuzaa na kijana anaejielewa 🤣 Raia mpya
Mshamba ni wewe unaachwa na mwanamke unalia lia mbele za wanaume.Mshamba huwezi elewa hivi vitu
Inashangaza.... tatizo upendoHuyo demu wako kama namuona anavoutafuta u-single mother kwa nguvu, sasa amekuacha wewe, anaenda kujenga future/familia gani na mume wa mtu 🤔 si heri angeenda kwa mwanaume ambae bado hana familia, na kuna 80% chance huyo mme wa mtu hana mpango wa kumwacha mkewe, anamdanganya tu huyo mdada ili apate access ya papuchi. Raia mpya
Labda kina dada Kelsea waje watushauri kwenye hili, unamwacha mwanaume single anaekupenda, unaenda kwa mme wa mtu Kelsea To yeye
Matatizo yake tujiandae kupopolewa singlemoms wa jf....twafwaa🙆Maumivu unayopitia ww sasa hv ndio nami pia nayapitia kwa sasa, tena Mm huyu wangu n single mother Ila alishanitengeneza na nikamuamini na nikampenda kweli.
Nmewekeza muda na pesa nyingi sana kwake, lkn bado akanifanyia mambo ya ajabu.
But soon ntakuwa Sawa, h nahesabu kama nilikosea njia hvy n funzo kwangu.
Inauma bro halafu mpka ndugu baadhi washamjua yaani kila nikifukiria bora tusingetambulishanaHuyo demu wako kama namuona anavoutafuta u-single mother kwa nguvu, sasa amekuacha wewe, anaenda kujenga future/familia gani na mume wa mtu 🤔 si heri angeenda kwa mwanaume ambae bado hana familia, na kuna 80% chance huyo mme wa mtu hana mpango wa kumwacha mkewe, anamdanganya tu huyo mdada ili apate access ya papuchi. Raia mpya
Labda kina dada Kelsea waje watushauri kwenye hili, unamwacha mwanaume single anaekupenda, unaenda kwa mme wa mtu Kelsea To yeye
Kutambulishana kwio.....watu wanatemwa siku ya harusiInauma bro halafu mpka ndugu baadhi washamjua yaani kila nikifukiria bora tusingetambulishana
🤣🤣🤣Ivo yaanEh kumbee haya bhna 😁 itabidi nicheke sasa
Pole sana kijana, jikaze angaza macho unyakue mwingineSiku kama ya 5 hivi mpenzi wangu simuelewi mawasiliano hafifu ubize mwingi si kawaida nikimuuliza ananiambia ni kazi za nyumbani maana ameenda kwao baada ya kufunga chuo so kazi za shambani ni nyingi muda mdogo.
Sasa tokea jana hatukuwa na maelewano mazuri mpka siku inaisha hakuwa sawa. Leo sasa kanitamkia Live kwamba karudi kwa jamaa yake kwa kuwa 'ametoka nae mbali' so ni ngumu kumuacha.
Nyie huyu msichna nina miaka nae miwili leo anakuja kuniacha ghafla hivi mumivu yake sikieni tu ni afadhali hata maumivu ya kutolewa roho😭😭.
Kuchwa kunauma sana hasa muda na pesa nilizowekeza kwake nikifikiria ningekuwa na mtu seriously pengine ningeshapata hata mtoto now.