Nimeachwa na mpenzi wangu jamani!

Nimeachwa na mpenzi wangu jamani!

Japo nimecheka na sio mazuri ila kuchezea future ya watu sio poa

Kwa hiyo ulitaka akupe mtoto tu ila kuoa aaah, ilipaswa wakati huo uoneshe nia ya kweli na kuwa serious naye


Lazima angekuzingatia tu, miaka miwili unazagamua halafu huoneshi nia ya kujenga kibanda lazima ashtuke


Anyway, tafuta utapata mwengine anaweza asiwe na sifa kama za aliyepita ila ndio hakuna namna zaidi ya kupenda unachopata
Ahsante sana kaka kqa ushauri Ahsante sana tena sana
 
Dah kinachouma ni mda aisee mda wote huo nimepoteza bure
Maumivu unayopitia ww sasa hv ndio nami pia nayapitia kwa sasa, tena Mm huyu wangu n single mother Ila alishanitengeneza na nikamuamini na nikampenda kweli.
Nmewekeza muda na pesa nyingi sana kwake, lkn bado akanifanyia mambo ya ajabu.

But soon ntakuwa Sawa, h nahesabu kama nilikosea njia hvy n funzo kwangu.
 
Siku kama ya 5 hivi mpenzi wangu simuelewi mawasiliano hafifu ubize mwingi si kawaida nikimuuliza ananiambia ni kazi za nyumbani maana ameenda kwao baada ya kufunga chuo so kazi za shambani ni nyingi muda mdogo.

Sasa tokea jana hatukuwa na maelewano mazuri mpka siku inaisha hakuwa sawa. Leo sasa kanitamkia Live kwamba karudi kwa jamaa yake kwa kuwa 'ametoka nae mbali' so ni ngumu kumuacha.

Nyie huyu msichna nina miaka nae miwili leo anakuja kuniacha ghafla hivi mumivu yake sikieni tu ni afadhali hata maumivu ya kutolewa roho😭😭.

Kuchwa kunauma sana hasa muda na pesa nilizowekeza kwake nikifikiria ningekuwa na mtu seriously pengine ningeshapata hata mtoto now.
Pole sana but no way out ila kuna ulichojifunza kizingatie sana utakuj kunishukuru baadae
 
Lakini si uli enjoy kipindi upo nae? Tafuta mwengine uendelee ku enjoy mapenzi usikubali akukatishe raha za dunia
 
Kwamba jamaa kwenye picha n mzoefu wa kunyongwa 😂
Alinyongwa first time dakika za mwisho wakavamiwa huo mji yeye kamba ikakatika akasevu.

Badala ya kuokoka akaendelea na ujambazi.

Akakamatwa, akahukumiwa kunyongwa. Sasa pembeni yake kukawa na mwenzie wananyongwa nae analia lia anasali. Jamaa ndio akamuuliza, First Time?

Il sahivi alikufa.

Hii meme inaishi sana naipenda.
 
Hayo ni maisha ya mpito kuuelekea uanaume. Usipoachwa leo, siku mke atakapobeba mzigo kwenda kwao utachanganyikiwa au kujinyonga kwa vitu vya kijinga. Cha kufanya anza kusambaza bahasha ya CV kama huna akili nzuri utanishukuru baadae.
 
Maumivu unayopitia ww sasa hv ndio nami pia nayapitia kwa sasa, tena Mm huyu wangu n single mother Ila alishanitengeneza na nikamuamini na nikampenda kweli.
Nmewekeza muda na pesa nyingi sana kwake, lkn bado akanifanyia mambo ya ajabu.

But soon ntakuwa Sawa, h nahesabu kama nilikosea njia hvy n funzo kwangu.
Hadi Mpare unamwaga manoti sio POA.
 
Mwamba na wewe una achwa.
Huwez amini, tangu nimeanza mambo ya mapenzi sijawahi kuacha zaidi ya kuachwa tuu.

Hadi Mpare unamwaga manoti sio POA.
Ah sio poa kwel mzee wangu, n vile unamuamni so unaamua kufanya jambo mana unaona itakuwa n kwa manufaa ya wote ila kumbe anakuingiza Shimoni.
 
Suala la yeye kuendelea na wewe lipo nje ya uwezo wako, kwanini ujilaumu? Kwanini ujisumbue?

Angalia kilichopo ndani ya uwezo wako, kama kutafuta mwingine au kuwa single, fanya.

NB: There's no wound that time cannot heal.
 
Dah kinachouma ni mda aisee mda wote huo nimepoteza bure
Kwa 'muda' uongo, unatudanganya wewe.

Watu wameishi miaka elfu wanaachana na hawafikirii muda!

Sema ukweli, kinachokukosesha raha ni pale unapokumbuka jinsi ulivyokuwa 'ukichinja' pamoja na kufunga magoli ya wazi ya mkono na kupewa ushindi?!

Sasa ukiwaza hayo kwanini usilie, pole we!
 
Back
Top Bottom