Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
yeah muda ni tibaPole mno kuna mda hiyo hali itaisha na utasonga mbele halafu utajicheka sana, ila kwa sasa umia kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeah muda ni tibaPole mno kuna mda hiyo hali itaisha na utasonga mbele halafu utajicheka sana, ila kwa sasa umia kwanza.
Siwezi kujiua ila maumivu hayafichiki"Umeachwa we umeachwa.....kubali kubaliiii.....utampata wako mtapeana kwa dhati.......
Wala usiwaze kujipiga risasi usijinyonge......usijighasi kwenye moyo wake huna nafasi ize....usilazimishe......
Okay sawa, upo tayari kuingia katika penzi jipya, penzi la mtoto mzuri, penzi la moto lisilo na mbambamba wala kuachwa, penzi litakalokufanya ujihisi upo Eden?Nimeachwa ghafla unapataje mwengine?
Halafu mi huwa na deal na mtu mmoja huyo huyo sina mambo mengi na hii ndio imeniponza
Kihasibu: broke up ni faidaWanawake mafala. Eti ametoka naye mbali. Mimi mtu akiniacha huwa naona nimetua Zigo, cha msingi kipindi umempata mpige mashine hasa ili iwe ngoma dro
Ha hahahahahah haya bhna nitakudanganya bure kwa sasa akili hata haipo sawa nimeachwa leo asubuhi nikikwambia nakupenda itakuwa uongo.Okay sawa, upo tayari kuingia katika penzi jipya, penzi la mtoto mzuri, penzi la moto lisilo na mbambamba wala kuachwa, penzi litakalokufanya ujihisi upo Eden?
Au unasubiri kwanza moyo upoe?
Anhaa bhas kaza mwanangu tafuta wengine muda na pesa ulizopoteza wew samehe tu.Yeye ndio anasoma
Mkuu tema mate chini....Mtoto wa kiume kulilia mapenzi ni dalili mbaya. Mabinti wazuri wamejaa kibao mtaani, unaanzaje kumlilia binti aliyeamua kumrudia jamaa yake wa zamani?
Bahati yako! Ungekuwa karibu ningekunasa vibao.
Ghafla ni kwako wewe lakini kwake yeye ni tangu zamani alishakuweka kwenye kundi la kukuumiza ilikuwa suala la muda tu....na muda umetumia......Yeah inauma kwa kuwa nishakuwanae halafu ni ghafla tu
Ahsante sana nimejifunza na hili ni funzo kwanguTake time, yameshatutokea sana hayo. Mimi enzi za " mabadiliko, lowaaaasa" "lowaaaasa, mabadiliko" nilikuwa kwenye maumivu makali kama wewe lakini muda uliniponya. Nikapata mke mzuri aliyekamilika na kumzidi mbaaali sana yule mwanamke na mbaya zaidi alishakuwa na mtoto.
Akili pia ilishaniambia kuwa huyu sio lakini upofu wa utelezi ulikuwa na nguvu mno kwangu. Badaye nilikuja kutambua kwamba ule ulikuwa ni utoto. Nilikuja kukutana naye alishazalishwa mtoto mwingine na jamaa halafu akamtelekeza.
NOTE: USIJE UKARUDIANA NAYE HUYO MWANAMKE, NI HATARI SANA KWAKO.
Enjoy maisha, hakuna raha duniani kama kuwa singleNdio nishakuwa single kuanzia leo
Nipo tayari kudanganywa....Ha hahahahahah haya bhna nitakudanganya bure kwa sasa akili hata haipo sawa nimeachwa leo asubuhi nikikwambia nakupenda itakuwa uongo.
Kwanza sasa hivi naona wasichana wote matapeli tu.