Nimeachwa na mpenzi wangu, naumia sana

Nimeachwa na mpenzi wangu, naumia sana

Kwanza pole sana ila pia huu ni uzembe kazini kama mvulana maana wanaume tusha kubaliana kwanza tafta hela mbili weka mazingira ya gheto kama kuna mwanaume sio mvulana. Wewe ni mvulana nani kakuambia kuitwa kila saa ndio mapenzi? pochi nene ndio habari ya mujini, weka geto safi hata manzi akija ana vutiwa, wewe mwenyewe jijali kwanza lazima manzia ata vutiwa na wewe. sasa utakuta nje kweli una pendeza manzi umekuja mpeleka geto ana kutana na sufuria mpka mlangoni shuka hujafua nguo umeweka kwenye msumari nyuma ya mlango, chini kuna michanga kama unapiga plaster hiyo yamu anatoa wapi zaidi ya kinyaa tu.
Narudia tena vijana wenzangu jipendeni kwanza manzi atakuja mwenyewe tu kama mbuzi kwa chatu.
 
Komaa nae tumia hata marafik zake kwa jeur ukimgonga tu mteme ataumia sana
 
Kwanza pole sana ila pia huu ni uzembe kazini kama mvulana maana wanaume tusha kubaliana kwanza tafta hela mbili weka mazingira ya gheto kama kuna mwanaume sio mvulana. Wewe ni mvulana nani kakuambia kuitwa kila saa ndio mapenzi? pochi nene ndio habari ya mujini, weka geto safi hata manzi akija ana vutiwa, wewe mwenyewe jijali kwanza lazima manzia ata vutiwa na wewe. sasa utakuta nje kweli una pendeza manzi umekuja mpeleka geto ana kutana na sufuria mpka mlangoni shuka hujafua nguo umeweka kwenye msumari nyuma ya mlango, chini kuna michanga kama unapiga plaster hiyo yamu anatoa wapi zaidi ya kinyaa tu.
Narudia tena vijana wenzangu jipendeni kwanza manzi atakuja mwenyewe tu kama mbuzi kwa chatu.
Gheto kwangu ajawahi ingia japo kimazingira sipo vibaya
 
ananilisha chakula napokuwa ofisini kwake.
Hapa alikulisha chakula
nilimlazimisha sana kumla denda akakataa
_Hapa unataka kula denda kwani hukushiba chakula
_Alafu denda kwani chakula wee kichaa
kumshika kama dakika 5hv
Wewe ukishikwa kwa dakika 5 utakubali
nikaanza kuichezea mbunye bac dem akaanza kutoa vilio
Wewe ni mkorofi tu
sijamgonga
wewe ukigongwa utakubali
kashakula baadhi ya visenti vyangu
Kwani wewe hukula ubwabwa wake ofisini kwake
napomuona nazidi kuumia.
Toboa macho usimuone
 
Hawa watu c wa kuamin,jana usiku sina hili wala lile dem ananitext P "cwez endelea na ww,nmekucheat na nakuwa na guilty cz naona nmefanya kosa sifai kua gf wako ckuwa na la kujibu maana keshaamua kwenya kwa madungangembe nitafanyaje ss?
 
Hapa alikulisha chakula

_Hapa unataka kula denda kwani hukushiba chakula
_Alafu denda kwani chakula wee kichaa

Wewe ukishikwa kwa dakika 5 utakubali

Wewe ni mkorofi tu

wewe ukigongwa utakubali

Kwani wewe hukula ubwabwa wake ofisini kwake

Toboa macho usimuone
Unayumba ndugu yangu
 
Back
Top Bottom