Nimeachwa na mpenzi wangu, naumia sana

Bora umemueleza ukweli.
Don't act a nice guy. Be the MAN
 
fanya umpm kaka Mshana Jr au kaka MziziMkavu akusaidie
 
Bora umemueleza ukweli.
Don't act a nice guy. Be the MAN
Kuna Mwalimu wa sekondar , sijampelekea moto bado sababu nipo mbali naye.


Jana nikawa nachat na Manzi fulan ivi nilishamplekea moto

Kwa bahati mbaya nikaituma neseji moja kwa huyu Mwalimu.


Aiaeee amenitumia mimeseji hiyooo anataka nmjibu nanyingine za kulaumi.

Nikapiga kimyaaa

Akaanza kujisemesha mwenyewe

Nikapiga kimyaa

Akaanza kuniita G, G ,wewe G, inamaana umelala


Nikapiga kimyaaa

Sawa G nilikua nmeshapanga kukupa ,lkn meseji hii imenionyesha ........

Nikapiga kimya

Akaendelea kujiaemesha weee


Baadae nimemjibuje


"Hiyo meseji nilikua namtumia mdada fulan ,tulipotezana miaka miwili nyuma, ............ Ila sio mtu wangu,, mie nmeshakupata wewe, niandilie hiyo K muda mfupi ujao nakuja kuila"

Akajisemesha semesha kutaka kuprove

Nikakomaa hapohapo

Akakubali yakaisha[emoji23][emoji23]

Wiki ijayo kati ya Jtano au Ijumaa, naenda kumpasua mchoro[emoji23][emoji23][emoji23]



Ningesema nikiri kosa kizembe, nianze kulialia nakuomba msamaha, Ingeisha hiyooo, Nisingempasua mchoro.
 
Haahaah haaa ha hahahahhhhaaaaa
Bad Guy.
Angekua nice guy hapo ungeona Uzi. Safi ndo inavotakiwa
 
Kuna huyu mtu anaitwa Lovemewise inabidi umpe ushauri mana ni nice guy
I used to be a Nice guy ..lkn nilikuja gundua ni Valueless inapokuja suala la kucheza na mind ya mwanamke.




Wanawake wanapenda, mwanaume anayependwa na wanawake wengine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na ili wanawake wakupende, hakikisha kila unapopata dakika kumi za mazungumzo naye, basi tumia dakika tano za mwanzo kumfurahisha yaan achekeee kwelikweli.


Achana sijui na pesa au nn

Wewe kua na pesa yako yakuweza kumtoa out za pale na hapa basi.



Ukishupaza shupaza sana shingo


Hauwez kula pisi zenye hela zao, Bali pisi zenye hela zao, zitaliwa na Mbwaa ( bad boys).
 
Haahaah haaa ha hahahahhhhaaaaa
Bad Guy.
Angekua nice guy hapo ungeona Uzi. Safi ndo inavotakiwa
Aiiii linapotokea jambo kama hilo ambalo unampoza mwanamke hisia zake juu yako.

USIKIRI KOSA KIZEMBE

USIMUOMBE MSAMAHAA.

USIJIELEZEE SANA

kwa sababu hayo yoteeeeeee yatazidisha kupooza hisia zake,na trust me , Atajisukumia mbali kutoka kwako na hatorudi.
 
Mke wa mtu ni sumu..yo yoo yooo usijaribu chombeza yoyoyooo
 
Daah..nilijitahidi sana but dem alikuwa alikua mjanja sana kuingia kingi ilikuwa mtihani
 
Daaah...hakika nilifanya kosa kubwa sana na limenigharim pakubwa
 
Nimekubaliana na wewe since now ntabadilika
 
Daah...hii kitu ni kweli kabisa
 
Kwakweli shida ni kwamba una ela ya mawazo ndiyo shida hakuna tatizo zaidi ya hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…