Nimeachwa na mtu ninayempenda sana, nimeshindwa kukubaliana na hali

Nimeachwa na mtu ninayempenda sana, nimeshindwa kukubaliana na hali

Nipe muongozo wako sweetheart... Ushawahi kuchwa...
I love you
I hate you
I know you love me
Thubutuuuuuuuuu
Wewe mimi huwezi niacha
You wish

❤️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

😂😂😂😂😂😂😂😂

Nimwachie nani uweeeeeeehhh😛😛😛
 
I love you
I hate you
I know you love me
Thubutuuuuuuuuu
Wewe mimi huwezi niacha
You wish

❤️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

😂😂😂😂😂😂😂😂

Nimwachie nani uweeeeeeehhh😛😛😛
Hakika hayanaga muongozo sweetheart...
 
Mambo zenu.

Guys nimeachwa na mtu ambaye nampenda sana nashindwa kuaccept situation.

Naombeni Ushauri.

Mambo zenu.

Guys nimeachwa na mtu ambaye nampenda sana nashindwa kuaccept situation.

Naombeni Ushauri.
Ni kawaida....hiyo hali itaisha tu taratibu hata kama mlikua kwenye ndoa. Kama hamkua kwenye ndoa ndio hutakiwi kujiumiza hakua haki yako.
 
Upo sahihi kuto accept kwasababu unampenda. Huo ndio ushauri wangu namba 1

Namba 2, uki accept utakuwa haumpendi tena.

Namba 3, usi accept ku accept utakuwa haumpendi tena
Mm sijaelewa sijui huyo aliyevurugwa km kaelewa😀
 
Tupe historia fupi ya mahisiano yako hadi mlvoachana ndo tujue tunatia neno wapo
 
Mambo zenu.

Guys nimeachwa na mtu ambaye nampenda sana nashindwa kuaccept situation.

Naombeni Ushauri.
Mimi nina suluhishoa tatizo lako.. Fanya kuni Pm Namba yako halafu tuonane pale Kipepeo Beach Kigamboni kwa ajili ya Kuanza kukusaidia tatizo lako Sawa dada?
 
Mambo zenu.

Guys nimeachwa na mtu ambaye nampenda sana nashindwa kuaccept situation.

Naombeni Ushauri.
Njia ya kupona haraka kwenye hiyo hali, tafuta demu mwengine wa kukuweka busy, utamsahau…ukikaa mwenyewe utawaza sana
 
Back
Top Bottom