Nimeachwa na mtu ninayempenda sana, nimeshindwa kukubaliana na hali

Mkuu mbona essay
 
Asante ❤️

ila vip huwezi andika kwa kisukuma ili na wao wakuelewe😌
 
si umeona yenyewe yanavyojitapa kutunyoosha,

we tafuta mtu mpige tukio mpaka akuite mama halafu njoo nikupe pole ya huyo kunguru

Mi nishapiga watu matukio mmoja alilia stendi, kwahiyo sidaiwi
We mwanamke 😂 😂 😂 😂 🙌🏾,,hili wacha nfanyie kazi,,nilianza kumuonea huruma ila kwa huu ushaur,, ngoj ntakuja na majibu
Dadeqiiiiiiiiiii
 
Mambo zenu.

Guys nimeachwa na mtu ambaye nampenda sana nashindwa kuaccept situation.

Naombeni Ushauri
Pole sana mkuu.Mimi nimeachika sana miaka ya nyuma hadi waliacha kuniita x tena.Siku hizi wameamua tu kuniita "X-PLASTER SUGU"!Ni mienendo ya maisha ili ukue na uyajue mahangaiko ya mapenzi.Huyo si wako.Kubali muheshimiwa.
 
ushaur na nyongeza juu,nishindwe mimi tu,,,hapewi hata mambo😌
Yani ukimpa mambo we ndo fala, jifanye unateseka na kuachwa kwake hujapata mbadala akijaa kwenye mfumo mmalize utamsoma kitu gani kinampa maumivu kwenye mapenzi tumia hicho kumpigia halafu mute km sio wewe usimblock ila mpuuze kona zote, kama ni lazima kukutana unamwenya/tabasamu la kulazimisha tu halafu endelea na hamsini zako,,, lazima akuite mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…