Nimeachwa na mtu ninayempenda sana, nimeshindwa kukubaliana na hali

Nimeachwa na mtu ninayempenda sana, nimeshindwa kukubaliana na hali

images (1).jpeg
 
Because you don't want it to be over or you believe there is still a chance that you could make it work.

But sometimes you have to simply accept the fact that things do come to an end. And this endings are important to make us realise that everything around us is temporary. We are so attached to people that when they leave us we believe they are taking a part of us with them but what they are simply doing is making more room for ourselves so that we can grow, evolve. It is okay to relive your memories but if they make you feel stuck then it's a problem. The reason you couldn't get over something could not be as strong as the fact that your life is not yet over. It takes time. And you simply cannot forget someone that's been a part of your life. All you can do is forgive them & yourself.

When you forgive someone, you unintentionally leave behind those feelings that doesn't let you get over. Forgiving is an acceptance in itself. You accept that you can't force onto people to stay with you. The moment you accept that you don't belong to anyone nor does anyone to you, you will truly be able to move on…
Love yourself and know your values…
Shida yako wengine tusielewe sio😢hebu andka kiswahili, wengi tumeachwa na tutachukua ushauri kupitia huu uzi😰
 
Siku zote mwanamke anaeanza jiita nick name anaanzia na CUTE ujue ni tatizo hilo.. anaamini katika sura,umbo,sauti na physical appearance yake wanasahau mwanaume huviangalia hivyo akiwa hajakuchomeka mbooo yake.

Akishakuvua nguo tu wanaume wanarudi kwenye DEFAULT SETTING anaanza tafuta sababu ilomfanya akuvue nguo nnje ya uzuri wako muonekano wako.

Akikosa tu ujue mtu kaachwa au anatafutiwa Mwenzake.

Kina Cute nani ichukueni hiyo
Hata wasojiita cute wanapigwa matukio kama kawa
 
Kwani ulimzaa wewe hadi utake asikuache?
Kitu gani cha thamani amekupatia kiasi usiweze kumuacha aende zake ???

Hakua wako,

Riziki yako kwake imeishia hapo,

Dunia bado Ina watu wengi wema na wenye upendo mwingi

Siku moja ukibahatika kukutanaye m,moja wapo hata utajiona fala kupoteza muda kumlilia mtu ambaye ni hakua sahihi kwako.
 
Mkiona watu wapo kwenye mahusiano mwaka wa 10 sijui 20 wapo tu msifikiri wamefika kimiujiza.

Unaachwa unatafuta shida nn una solve, mnarudiana, ukiachwa ukakubali kuachika maana yake hata wewe ulipanga muachane lilikua ni swala la muda tu.

Ndio mana kuna marafiki,ndugu,majirani, tafuta msaada kwa watu wapembeni wawasaidie mrudiane kama kweli unamuhitaji Fanya kwa ajili yako na moyo wako.

Mna kazi ya kufungua nyuzi JF ila unashindwa mtafuta mwenzio mkayaongea, si ana marafiki,ndugu zake je, washirikishe wakusaidie kukuombea msamaha.

Kukubali muachane kila ukiachwa utaachika na wangapi? Hamnaga mahusiano yenye barabara iliyonyooka jifunzeni kutatua changamoto zenu katika mahusiano,

Sio mtu anakwambia Nimekuacha na wewe eti unaachika, ndio mana mna list ya WANAUME kibao kwenye historia zenu za mahusiano.
 
Back
Top Bottom