Nimeachwa na mtu ninayempenda sana, nimeshindwa kukubaliana na hali

Nimeachwa na mtu ninayempenda sana, nimeshindwa kukubaliana na hali

Nme jiskia raha .yani nikiona mwanamke ana lia lia penzi au kavunjwa moyo najisikia raha sana.
 
Yani ukimpa mambo we ndo fala, jifanye unateseka na kuachwa kwake hujapata mbadala akijaa kwenye mfumo mmalize utamsoma kitu gani kinampa maumivu kwenye mapenzi tumia hicho kumpigia halafu mute km sio wewe usimblock ila mpuuze kona zote, kama ni lazima kukutana unamwenya/tabasamu la kulazimisha tu halafu endelea na hamsini zako,,, lazima akuite mama
Dada wewe ni muuaji,,hii mbona sikuona mapema,,wacha nimrukie hewani saiv apa,, aaaalaaah 😂
 
Dada wewe ni muuaji,,hii mbona sikuona mapema,,wacha nimrukie hewani saiv apa,, aaaalaaah 😂
Utamuhurumiaje mtu ambae hakukuonea huruma?? Dawa ikimkolea akaanza kujieleza sana majibu yawe mafupi ya OK, sawa, kumbe, ndio, na akituma sms usiijibu chap kaa hata masaa lazima anyooke
 
Siamini ujue, kwahiyo utanishughulikia? Au kama yanga tu dakika ya tano.....☺️
Mimi nna utaratibu wangu, cha kwanza hata dakika ya 2 fresh maana inatogeag dharura mechi ikaahirishwa, mabao mengine it is for you beibe😂, mpaka niishiwe nguvu kabisa yaani
 
Yani ukimpa mambo we ndo fala, jifanye unateseka na kuachwa kwake hujapata mbadala akijaa kwenye mfumo mmalize utamsoma kitu gani kinampa maumivu kwenye mapenzi tumia hicho kumpigia halafu mute km sio wewe usimblock ila mpuuze kona zote, kama ni lazima kukutana unamwenya/tabasamu la kulazimisha tu halafu endelea na hamsini zako,,, lazima akuite mama
Unataka mtoto wa watu afe
 
Back
Top Bottom