Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh wewe acha basi, mbona nishayakoroga😂Dadaetu huyooo 😂😂😂😂
Habari, unanikumbuka?Sa itakuaje?
🤣🤣🤣🤣🤣Sawa bei gani kusuka na kunyoa Vuzi? Ni kipiripiri au limechangamka kibude?
Nenda kamshtaki kwa mama Samia.Mambo zenu.
Guys nimeachwa na mtu ambaye nampenda sana nashindwa kuaccept situation.
Naombeni Ushauri.
Au ndo tayariii kubabakeMmmh wewe acha basi, mbona nishayakoroga😂
Sijamtongoza bado, af anaonekana anapenda sana hela, wacha ale japo kidogoAu ndo tayariii kubabake
We jamaa una mahesabu marefu, watu kama nyinyi mna maisha fulani amazingJust kill yourself 🔫
Mpenz wako just 55%, then 30% kwa watoto na remaining 5% friends then 5% trust yourself, 5% kwa ndugu zako wa damu
Nimeona aseeee kaz kazNimeongeza dozi hapo soma tena hiyo comment
Chuma kilicholeta mada hukioni mkuu 😂😂Sijamtongoza bado, af anaonekana anapenda sana hela, wacha ale japo kidogo
Usiskilize ya watu beinipo tayari kufanya ushauri wako wowote 😌😌
Hakireply chats 😂Chuma kilicholeta mada hukioni mkuu 😂😂
😂😂Usiskilize ya watu bei
Njoo PMUtamuhurumiaje mtu ambae hakukuonea huruma?? Dawa ikimkolea akaanza kujieleza sana majibu yawe mafupi ya OK, sawa, kumbe, ndio, na akituma sms usiijibu chap kaa hata masaa lazima anyooke
We yamwage hapahapaNjoo PM