Nimeachwa na nimekubali, ingawa naumia moyoni

Pole sana.. usijizuie kuumia ila ukubali hiyo imeenda.
Mapenzi yanauma sana [emoji22]
 
Polee sana
 
Ctrl+ C
Amicus Curiae Ctrl + V
✍️✍️✍️✍️✍️
 
Kwenye mapenzi mara nyingi watu wanadandia mahusiano ya watu bila wenyewe kujua......unakuta mtu ana mtu wake wanapendana sema kwa muda huo walikuwa wametofautiana akaamua kuwa na wewe kama njia ya kupunguza upweke na mawazo.....mwisho wa siku akipatana mtu wake wewe unapigwa kibuti mfano wa shuti la Kibu alilomfunga mdaka mishale........


Ogopa sana yule mtu mnaanza tu mahusiano lakini anakuja na mahaba utasema maji yaliyotegeshwa yakamwagika........
 
Jamanj Ua langu la kipekee,sema sipo online kila siku napotea hata siku nne so hutuonani,,,we damu yangu kabisa na unajua Hilo😘
Haya ila mzima ??
[/QUOTE]
Salama vipi wewe?nimeona Kuna sehemu unawanga wanaume wa humu wanaringa imekuwaje tena?
 
Dah! Mkuu, Mimi unanionea bure tu. Sijawahi kumdharau mtu humu.
 
Mkuu umefanya jambo zuri...Wana JF - ukiachwa, kubali kuachika.....Hongera sana..Endelea na Maisha..Na utapata hitaji la moyo yako..
 
Sawa mkuu. Yote kheri.
 
Wewe ndiyo yawezekana kweli umeacha umalaya lkn mwezako bado malaya kama ulivyokuwa wewe! Halafu unataka kummiliki?? Jiongeze na uachane naye.
 
Mkuu umeongea point sana vijana wanakosea sana mwanamke ndo anatakiwa ndo kulazimisha ndoa ila siyo mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…