Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzaifu wa kupiga Puli?Kuna vitu vya kumuumiza mwanaume sio mbususu aseee ..Yani upwiru umetese wakati now day ni kamata dagaa piga ..awe na moyo wa kiume bana huo ni uzaifu
Sent from my CPH2349 using JamiiForums mobile app
Niambie utaingia lini,basi gani,la saa ngapi utanikuta msamvu nakusubiri nikupokee.mji kasoro bahari, nna mpango wa kuja kihondo, nipokee mkuu
Duuuh wewe ni kubwa la mashangazi🤣🤣🤣🤣Waambie ushangazi mwisho mikese
Kabisaa...shangazi la shangaziDuuuh wewe ni kubwa la mashangazi
😂😂😂YalishapitaPole sana mkuu.
UmekoseaBahati mbaya sana, nilishazifuta mkuu.
Kabisa tumia hayo na utasahau na kujenga negativity juu yake and as days goes...utampotezea tu!Nimependa hapo kwenye kuwaza mabaya yake, na alikuwa nayo kama mimi nilivyokuwa nayo. Sema nilichagua kumvumilia.
MUNGU akubariki Katika vita ya kuachana na uzinzi, ukianza vikao vya harusi naahidi kutoa 50,000 Kwa kuanzia.Sawa mkuu. Nimekuelewa sana.
Poleeee,hayo ni malipo yko piaMaisha ni lazima yaendelee.
Nakiri kwamba nilikuwa malaya sana zamani lakini nikaamua kubadilika baada ya kugundua kwamba mahusiano mengi kwa wakati mmoja yanapoteza muda, rasilimali fedha, yanadhoofisha mwili, akili n.k.
Nimekuwa kwenye mahusiano serious kwa takribani mwaka na nusu na Mwl mmoja wa Shule ya msingi. Mpole, msikivu, mcha Mungu, mnyenyekevu, sio mbinafsi, mshauri mzuri na zaidi ya yote amekuwa mfano bora wa mama wa familia. Nikaamua kumpenda kwa dhati. Nikawaambia hadi ma-x wangu. Nikawa najiachia nae, nikamtambulisha kwa baadhi ya wana.
Nikakaa kitako na Baba nipeleke barua ya posa, binti akaridhia. Barua ikaandikwa, mwanangu mmoja ambaye ameshaoa akakubali kuwa mshenga. Barua ilikuwa ipelekwe tangu j5 ya wiki iliyopita ila nikapata dharura tukaahirisha. Ilikuwa baada ya kupeleka posa ndio nikamtambulishe home.
J'mosi ya juzi akaanza kubadilika kuanzia kwenye mawasiliano na kila kitu. Jana nampigia simu aniambie barua tupeleke lini, akashtuka kama hajui kinachoendelea! Akajibu nisubiri kwanza, mara anaomba tupeane muda kuna mambo ajiridhishe!
Nikajiongeza, nikamwambia muda siwezi kumpa kwasababu tulishalizungumza hili. Aseme tu kama anadhani hatuwezi kuwa pamoja tena nitamuelewa. Akasisitiza nimpe muda! Nikamjaribu kwa kumwambia tuachane ili tusipotezeane muda (kumbuka hapa nilikuwa namjaribu); ili nione anawaza nini.
Lahaulaa, akasema 'SAWA'. Nikaishiwa nguvu. Nilikuwa barabarani nikasimama kwanza kwasababu nilipatwa na wenge nikahisi naweza kusababisha ajali.
Ina maana ile kupenana muda ilikuwa ni gia tu, alishaamua tuachane. Sikumtafuta tena tangu jana na yeye kakaa kimya mpaka muda huu!
Huyu ni msichana aliyeniaminisha kwamba hawezi kuniacha. Kwamba hata nikijaribu kumuacha atafanya jambo baya (ni kama alikuwa anatishia kujiua).
LAWAMA ZANGU ZOTE NAZIELEKEZA KWA RAFIKI YAKE MWENYE JINA LINALOANZA NA HERUFI 'J', ANAYEISHI MKOA UNAOANZA NA HERUFI 'M'. Mpenzi wangu alikuwa anamsikiliza sana, na mara nyingi wamekuwa wakiniongelea, nina kila sababu ya kuamini kwamba ushauri wake umechangia kumfanya mwanamke wangu afikie uamuzi huu. Huyu dada yeye kaolewa, leo kaamua kumfanyia figisu rafiki yake! We dada wewee....
Biblia imesema tushukuru kwa kila jambo. Pengine kuna jambo Mungu ameniepusha nalo. Naumia ila najikaza.
Op... kwa kweli 🙌🙌🙌😂😂😂😂Tunapowaleta kina nani??
Duh noumaaa nanusuuuu hio sio poaa!
Sijaelewa hio Op... !Op... kwa kweli 🙌🙌🙌😂😂😂😂
Hakuna anayemchezea mwenzake dunia ya sasa mkuu, kwani we huingii kwa kutumia akili?Poleeee,hayo ni malipo yko pia
Hata hao ma x wako ulio wachezea na kuwaacha wana maumivu pia.
MUNGU akubariki Katika vita ya kuachana na uzinzi, ukianza vikao vya harusi naahidi kutoa 50,000 Kwa kuanzia.Sawa mkuu. Nimekuelewa sana.
Siyo wote ni wajanja kwenye mapenz,yaan katika ma x wake wote yupo mmoja au wawil waliompenda kwa dhati.Hakuna anayemchezea mwenzake dunia ya sasa mkuu, kwani we huingii kwa kutumia akili?
Halafu Amicuss kaachwa Leo tu ndio kaamini hajui drama za kina dada?huyu hata hajamuacha na yeye anasikilizia simu hukoHaha, yeye atulie tu huyo dada atarudi, atakuwa amedanganywa na huyo rafiki yake kuwa jamaa chenga!!
Uliyoyasema nimeya copy. .✍️✍️✍️Sijaelewa