Mi sio nabii ila huyo demu wako alishalengeshwa kwa mwamba mwengine ambaye kakuzidi kidogo maisha au ana cheo. Na si muda mrefu sana but likely ni kipindi hiki hiki ambacho we umeanza habari za kutaka kupeleka mshenga uoe.π€£Hatujawahi, hali ilikuwa ni shwari kabisa, upepo ukabadilika ghafla.
Hamna cha moto wala nini, walimu wa UPE ni low thinking huwa hawajielewi hata. Its too risky ku deal na mtu ambaye hana msimamo na mwenye akili za kukopa. π€£Itakua kampata anayempelekea moto zaidi yake
I am not kidiing, siku ukianza vikao vya harusi ujue una kianzio cha mpwao Elli cha 50,000. Lazima tuwatie moyo wadogo zetu muoe, kuna raha una safiri au unaenda kazini unajua nina watu wananitegemea, kuna raha na baraka zake.[emoji28]
Asante sana mkuu..
Huyo kurudi atajirudi tu ila kashavunja trust. Kama uko tayari kuishi na mtu ambaye huwezi kum trust then msubirie kidogo haitapita miezi miwili lazma atajirudisha tu baada ya kutoswa huko alikokimbilia. Still uko reserved.Nitazingatia ushauri wako mkuu.
Kumbe [emoji23][emoji23]Sasa Kwa uelewa na exposure walizonazo unazani ukisema wewe ni Wakili watakuelewa?!
Lakini akiambiwa na Mwanaume anafanya kazi bank utaona faster analazimisha ndoa hata ya bomani bila ndugu kujua [emoji1787][emoji1787]
Yaani hawajali huko bank ni Teller wa kawaida au hata mfagizi ilimradi unafanya kazi bank [emoji3][emoji28]
Mkuu, nakuomba PM..[emoji28]Pole sana mkuu ila kiufupi ulikuwa unaishi na jini kwenye chupa[emoji3]! Hapo ni kama amechoropoka.
Good morning..Miss you pia rafiki [emoji8][emoji8]
Good Morning!!
Usiwaze mzee dakk 0Mkuu, nakuomba PM..[emoji28]
Dah..[emoji28]Yaani jumamosi hadi leo jumanne unasema umeachwa. Kwa taarifa yako kuachana sio rahisi kama unavyodhani. Kuachana na demu ni mchakato unaweza kuchukua zaidi ya mwaka au zaidi. Wewe umepumzishwa tu kuachana sijapaona bado. Kwanza hakuna sababu yoyote ya kuachana hapo sema tu unagongewa ambayo sio issue ya kusababisha usipeleke barua. Unagongewa na unaoa hivyo hivyo mambo yatajirekebisha mbele kwa mbele
[emoji28][emoji28]Hivi kuna wanaume malaya ama malaya ni wanawake?
Kwakweli..Labda amekutana na MASTER zaidi yake. (Jokes)
Nashukuru sana mkuu.Pole sana mkuu hio feeling Naijua yani. Dead [emoji1652] kifua kama imefungwa jiwe zito
Sawa mkuu..Usisahau kuleta mrejesho
Acha kujiliza kisenge, unakumbuka uliwaumiza wasichana wangapi? Hiyo ni fate ya kuumiza mioyo ya wasichana na wao waliumia hivyo hivyo kama unavyoumia wewe.Mkuu, sijui hata imekuaje tena. Ninavyojisikia hapa ni Mungu pekee anajua.
Madam To yeye πππ!Waalimu ni moja ya kada zenye watu wasio na shida sana in some percent.Namna wanavyoandaliwa ina wasaidia kuwa watu wa tofauti sana na kada nyingine lakini zaidi kwa Waalimu wa miaka kidogo ya nyuma,siku hizi kidogo mambo si mambo unaona huyu brother amepatikana hapa.Walimu nasi tumekengeuka,sa itakuwaje?π€
Akili kubwa sana hii mkuu..Mi sio nabii ila huyo demu wako alishalengeshwa kwa mwamba mwengine ambaye kakuzidi kidogo maisha au ana cheo. Na si muda mrefu sana but likely ni kipindi hiki hiki ambacho we umeanza habari za kutaka kupeleka mshenga uoe.[emoji1787]
Trust your instincts, huyo shosti yake ndio atakuwa remote controller. Next time ukianza mahusiano serious na mtu mwenye akili za kukopa kwa shoga yake hakikisha huo ushoga wao haupo kabisa. Au kwa namna ingine achana nae kama hakuelewi.
Tuseme wewe ni kungwiπ€π€π€π€π€π€π€π€ umebobea au π€π€π€Mi sio nabii ila huyo demu wako alishalengeshwa kwa mwamba mwengine ambaye kakuzidi kidogo maisha au ana cheo. Na si muda mrefu sana but likely ni kipindi hiki hiki ambacho we umeanza habari za kutaka kupeleka mshenga uoe.π€£
Trust your instincts, huyo shosti yake ndio atakuwa remote controller. Next time ukianza mahusiano serious na mtu mwenye akili za kukopa kwa shoga yake hakikisha huo ushoga wao haupo kabisa. Au kwa namna ingine achana nae kama hakuelewi.
MhAya acha kumpoteza mdogo wetuPiga Puchu tu ofisaa... Achana na wanawake utakufa kibudu... Sabuni nyingi sana madukani