Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
- #101
Dah!!!Hapo mpo kama sita hivi subiri subiri tambua nae anae anaye mpenda anamsubiria ampe jibu lini akatoe barua wewe ni reserve akibounce kule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!!!Hapo mpo kama sita hivi subiri subiri tambua nae anae anaye mpenda anamsubiria ampe jibu lini akatoe barua wewe ni reserve akibounce kule
Asante sana mkuu.Najua mkuu, Pole sana muda ni daktari mzuri. Kupitie Nondo za Dizasta utakua sawa.
Please elaborate...Needy is an attraction killer.
Umejuaje mkuu? Kila nikiwaza nawarudiaje ndo napata kichaa.kitu kinacho umizaga hapo ni watu uliowashirikisha.
Sawa mkuu, ni Mungu tu aingilie kati.Atarudi speed kwako akikosa anapotegemea utoshangaa,kama una Nia nae msubirie akirudi
Bora Huyo alokwambia live unajua na kushika 50 zako .. kuna miamba inaacha kimya kimya no calls no sms no o anything mwisho wa siku ujiongeze mwenyewe tu kuwa nishaachwa. !Sikia tu kwa mtu mkuu.
Kama ana hizo Sifa unazotaka hebu mpe muda kidogo, hujui kafikwa na lipi, usiseme Neno la mwisho!!Biblia imesema tushukuru kwa kila jambo. Pengine kuna jambo Mungu ameniepusha nalo. Naumia ila najikaza.
The pain is real!
Uko sahihi hapo uliposema kwamba haya ni maelezo yangu, hamjajua maelezo yake.Haya ni maelezo ya upande mmoja. Ni ngumu kutoa hukumu katika huu muktadha.
Kabla sijaenda mbali, hiyo wewe unaiita kumjaribu, kumbuka hakujua kama una mjaribu au unamaanisha, ulitaka Binti wa watu apokee namna Gani hizo taarifa?
Kumbuka uliahirisha kwenda kupeleka mahari, haujasema sababu ipi ilitokea na hiyo taarifa uliiwasilishaje upande wa wakwe.
Kama kweli unamhiraji na una maanisha, naamini unaweza kurekebisha makosa Yako mkayajenga.
Utatoa melezo Gani kwamba ulikua unamjaribu? Kwa sababu zipi na malengo Gani?
Aisee!!DJ Piga basi Yatapita
View attachment 2769624
Hapana, usichukue maamuzi ya harakaNdio kazi nimefanya mchana wa leo, manake nilikuwa siachi kutazama picha nilizopiga nae kwenye simu yangu, nikajikuta naumia zaidi.
Mamaaeeeh mkuu mwizi wa kura[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Una hela za kuchezea wewe kuna wanawake kibao wanatamani kukaa na mtu bila ndoa. Achana na kununua mtu. Mungu kakuepusha na mwizi wa kura huyo.
Mkuu, naweza nikalazimisha halafu ikaja kula kwangu mbele ya safari.Kataa kuachika kirahisi, usikubali unyonge....
Nimekuelewa mkuu, ingawa najua kuna namna rafiki yake anahusika.Umezingua hapo uliposema unamlaumu rafiki yake.., acha lawana pita kule.
Futa hizo picha zitakuumiza sana!Ndio kazi nimefanya mchana wa leo, manake nilikuwa siachi kutazama picha nilizopiga nae kwenye simu yangu, nikajikuta naumia zaidi.
Mbona bado ajasema...!!!🤓🤓🤓😂😂😂😂 mpaka useme
Auntie....🤗🤗🤗Futa hizo picha zitakuumiza sana!
Kabla sijaanza nae mahusiano nilishamuelezea historia ya maisha yangu na akakubali kunipokea hivyohivyo, akasema tusahau yaliyopita tugange yajayo kwasababu hata yeye alikuwa na past life yake ingawa haikuwa mbaya kama yangu.Pole mkuu nadhani huyo rafike yake anajua stories zako za huko nyuma maana umekiri wewe mwenyewe kwamba ulikuwa kiwembe hawa wenzetu wakishapata stories zako mbili tatu hata kama umeshabadilika huwa hawanaga kupembua chuya na mchele.